misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Kuna wimbo mwingine ruzuku,mukya etcMmekaririshwa wimbo mmojatu, mbona albamu ina nyimbo nyingi, ? Kweli ukiwa ccm akili zihama kichwani nikwenda makalioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wimbo mwingine ruzuku,mukya etcMmekaririshwa wimbo mmojatu, mbona albamu ina nyimbo nyingi, ? Kweli ukiwa ccm akili zihama kichwani nikwenda makalioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hela za vyama hukaguliwa na CAG, ndiyo maana ripoti za CAG za mwaka 2017, 2018 na 2019 zinaonyesha kuwa hela za vyama vya siasa zimekuwa zinatumika kinyume cha sheria.Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Kuna mbunge mmoja Sahv alipokuja chadema kutwa anavaa sandles tu viatu hana mpaka Ada ya chuo Chama kilikuwa kinamlipia eti naye Leo anavimbaLissu ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema
Lissu ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema
Lijualikali limeukata mbuyu kwa shoka moja tu!
Shoka moja mbuyu chini!
Mh raisi vipi utatualika Tena ikulu kunywa chai _mbowe
Usijali nitawaita Tena najua nyie chadema mnapenda kulakula _ kikwete
Ana tuhuma zishizo na ushahidi chadema kifanye uhuni msajili awe ana kiangalia tuKumbe kweli CHADEMA ilimpigania Lijualikali hadi akafanikiwa kuwa mbunge kama alivyosema mwenyewe namba zilichezewa kwenye ujumulishaji kura za wabunge.
Mengine wana CDM kausheni yule kijana anamwaga mboga mwanzo mwisho. Inaitwa ninyime ugali nimwage mboga, au niguse ninuke.
Sema Lijualikali nae kajiharibia sana kwa kufunguka mambo yale.
Huku Silinde, kule Lijualikali na pale Peter Msigwa, jahazi linapigwa mawimbi kila kona.
Huu mwaka wa mateso sana kila upande.
Episode moja baada ya nyingine vyama vyote. Coronavirus kaja kuchochea moto.
Miezi michche iliyopita CDM walikuwa wanashangilia tamthilia ya CCM na jasusi my uncle Bernad.
Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Hivi inawezekana MTU mmoja akatafuna TSH 8bn na wadau waliomzunguka wanahesabu kuanzia shilling 100 Hadi zinafika 8bn?..kama ni kweli tatizo hapa sio Mbowe, tatizo ni kamati kuu ambayo ndio watchdog wa Mali za chama na wenye uwezo wa kumdhibiti Chairman.. wengine wata argue hapa kwamba wanazidiwa mbinu na Mbowe but nadhani pamoja na brilliance zake still watu anaowaongoza Wana matatizo.(kama yanayoelezwa Yana chembe za ukweli)
Mwanasheria mkuu wa chamaOkay.
Wakati anamponda Zitto kipindi kile alikuwa nani?
Watalipwa kwa kadri ya matendo yaoKuna vijana wasingekaa wakawa wabunge au hata udiwani tu katika maisha yao... Chadema imewasaidia kutimiza ndoto zao. Leo wanatumika kusema uongo, uzushi, unafiki na uzandiki dhidi ya viongozi waliojenga taasisi iliyowapa heshima. Kwasababu ya vipande 30, Tuwe na akiba ya maneno
Wewe ndio pangu pakavu nadhani pia kazaliwa kutafuna ruzuku na michango ya wabunge na kuwatafuna viti maalumu [emoji23][emoji1787][emoji2960]We Chakubanga huyo kazaliwa na kukulia ktk familia ya kishua co ww pangu pakavu tia mchuzi zumbukuku ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio pangu pakavu nadhani pia kazaliwa kutafuna ruzuku na michango ya wabunge na kuwatafuna viti maalumu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Ndio maana kila mtu ana fursa zake mimi Nina fursa zangu nawe unazako na DJ wako ana zakeNaww tafuta fursa kama hiyo kama uwezo unao?kila mmoja anapambana kwa kadri ya uwezo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana kila mtu ana fursa zake mimi Nina fursa zangu nawe unazako na DJ wako ana zake