Mbaga kovic
Member
- Apr 15, 2020
- 33
- 38
Huyu Mbowe anawanyima watu rahaMmekaririshwa wimbo mmojatu, mbona albamu ina nyimbo nyingi, ? Kweli ukiwa ccm akili zihama kichwani nikwenda makalioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mbowe anawanyima watu rahaMmekaririshwa wimbo mmojatu, mbona albamu ina nyimbo nyingi, ? Kweli ukiwa ccm akili zihama kichwani nikwenda makalioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nini kilimliza bungeni mtu mzima kama sio masempele kumuanguka hadharani?!Kavuliwaje nguo sasa hapo. Cdm mnatumika sana na Mbowe.
Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Hoja yako ni Lissu au Corona ?Mwamie Lisu atoke mafichoni, anatuchosha sisi huku tuko juani yeye anogelea huko kivulini, aje aungue na jua ili tuchange mawazo pamoja,
Kwa sasa anatakiwa kuchangia mawazo ya huko aliko.
Kama anaipenda tz aje ili afe au aokoke na hili gonjwa la corona maana kila siku wanasema hakuna hatua zinazochuliwa na serikari. Aje atusaidie kupambana nayo hiyo corona.
Walikuwa Hawana uwezo hata ya kununua boxr ya ndani Leo hii eti wanajiona wakoo juuKuna vijana wasingekaa wakawa wabunge au hata udiwani tu katika maisha yao... Chadema imewasaidia kutimiza ndoto zao. Leo wanatumika kusema uongo, uzushi, unafiki na uzandiki dhidi ya viongozi waliojenga taasisi iliyowapa heshima. Kwasababu ya vipande 30, Tuwe na akiba ya maneno
Hoja yako ni Lissu au Corona ?
Lissu nae kama mwanamke wa baa, yeye sasa anatofauti gani na huyo Lijuakali,mbona hayo anayosema sasa hakuyasema huko nyuma wakati Lijuakali yupo huko kwenye SACCOS yenu.Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Ushajifukiza ?Lissu nae kama mwanamke wa baa, yeye sasa anatofauti gani na huyo Lijuakali,mbona hayo anayosema sasa hakuyasema huko nyuma wakati Lijuakali yupo huko kwenye SACCOS yenu.
Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Si afadhali Jiwe katununulia ndege.Leta ushahidi mkuu coz nikisema jiwe alete 1.5tr utalaaumu accusation yangu?
Siku Tundu akiondoka Chadema mtalia sanaMadai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Kabla ya uchaguzi kunakuwa na muda wa kampeni na watu mbalimbali hupangiwa ratiba ya kumuombea kura mgombea lakini hiyo haimaanishi kuwa mgombea mwenyewe hachachariki. Huyo Lissu alikampeni kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho? Lijuakali yeye mwenyewe hakujiangaikia kupiga kampeni siku zote kuliko afisa yeyote wa chama? Kati ya Lijuakali na Lissu nani anajua mazingira ya Ifakara?Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
wewe unajua kuliko CAG ?Kabla ya uchaguzi kunakuwa na muda wa kampeni na watu mbalimbali hupangiwa ratiba ya kumuombea kura mgombea lakini hiyo haimaanishi kuwa mgombea mwenyewe hachachariki. Huyo Lissu alikampeni kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho? Lijuakali yeye mwenyewe hakujiangaikia kupiga kampeni siku zote kuliko afisa yeyote wa chama? Kati ya Lijuakali na Lissu nani anajua mazingira ya Ifakara?
Kuhusu kumtetea mahakamani elewa Lissu ni wakili kama maelfu ya mawakili nchini wanaochukua kesi na kulipwa ujira kwa kumtetea mtu na huwa sio siri kila mtu anayefuatilia kesi hujua kuwa fulani anatetewa na wakili gani; hivyo haikuwa ajabu baba yake Lijuakali kujua jina la wakili wa mwanawe. Kwa wakili kumtetea mtu hiyo ni fursa ya kuingiza kipato na inawezekana kampuni ya Lissu inalipwa gharama za uwakili na CHADEMA na zinaweza kuwa kubwa kuliko hata gharama za wastani. Lijuakali hata asingetetewa na Lissu angeweka wakili mwingine yeyote na akatetewa.
Kuhusu suala la CAG, hoja sio matumizi ila hela zimetumikaje je kwa lengo lililokusudiwa? Unaweza ukafanya manunuzi hewa au ukanunua vitu tofauti kwa bei juu tena toka kampuni yako mwenyewe au ya jamaa yako na vitabu vya uhasibu na manunuzi vikawekwa sawa kiasi visiibue hoja ya CAG.