Tundu Lissu amvua nguo Lijualikali

Ni kweli hela za vyama hukaguliwa na CAG, ndiyo maana ripoti za CAG za mwaka 2017, 2018 na 2019 zinaonyesha kuwa hela za vyama vya siasa zimekuwa zinatumika kinyume cha sheria.
 
Lissu ameshuka chati,kutoka kubishana na Magufuli mpaka kubishana na juakali
 
Ana tuhuma zishizo na ushahidi chadema kifanye uhuni msajili awe ana kiangalia tu
 
Lijualikali kajidhalilisha sana
In God we Trust
 
Kuna vijana wasingekaa wakawa wabunge au hata udiwani tu katika maisha yao... Chadema imewasaidia kutimiza ndoto zao. Leo wanatumika kusema uongo, uzushi, unafiki na uzandiki dhidi ya viongozi waliojenga taasisi iliyowapa heshima. Kwasababu ya vipande 30, Tuwe na akiba ya maneno
 
Mbowe rudisha billion 8 ulizoibia wabunge


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi inawezekana MTU mmoja akatafuna TSH 8bn na wadau waliomzunguka wanahesabu kuanzia shilling 100 Hadi zinafika 8bn?..kama ni kweli tatizo hapa sio Mbowe, tatizo ni kamati kuu ambayo ndio watchdog wa Mali za chama na wenye uwezo wa kumdhibiti Chairman.. wengine wata argue hapa kwamba wanazidiwa mbinu na Mbowe but nadhani pamoja na brilliance zake still watu anaowaongoza Wana matatizo.(kama yanayoelezwa Yana chembe za ukweli)
 
Watalipwa kwa kadri ya matendo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…