Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Yaani Jamaa Kafa Aisee. Imagine.

Daah. Kama Utani Yaani Ila Kafa saa Hivi wadudu wanashambulia Hatari.

Mambo ya Kusimamisha sina Uhakikà sina Ila Kufa Jamaa Kafa na Nilienda Kirumba Kumshangaa.
Wamekufa mitume wa Mungu ila shetani anadunda hadi sasa.
 
kamtaja?.

jaribu kuwa siriazi basi.
AMEMTAJA yaani unataka utafuniwe kila kitu? wakati Clip inajieleza?
fungua na usikilize, keani ukiambiwa Rais wa sasa wa TZ ni wa jinsia ya kike ni mpaka akutajie kuwa ni Bibi Titi Mohamedi? mbona kuna ubishi wa kitoto?
 
What God did to your pompous man and Lissu justifies who righteous was. Imagine 16 bullets never killed a righteous person but just a flue and an electric shock of 0.0001 voltage killed a bad man.
To you, it means that anyone who dies of anything natural is a bad man! Am I correct?
 
Sasa kama yeye hajamtaja inakuwaje nyie mnamlisha maneno? Ka Nyani nimekapuuza sana!
Ndio maana nikauliza yeye alitaka sisi tuelewe vp kwa kutokumtaja huyo mlinzi? walinzi waliyokuwa wanakaa nyuma ya Magufuli wapo tumeona picha zao wakiwa msibani.
 
Katangulia yeye ilihali alitaka wenzie wafe wakiwa bado na nguvu
Hakuna cha ajabu hapo,kila mtu ana siku yake ya kifo na aina ya kifo chake na uzuri kila mtu anakubali kwamba kuna siku atakufa.
 
Mtego
mlinzi mweusi.......................................... upi?
wewe umeweka picha
 
AMEMTAJA yaani unataka utafuniwe kila kitu? wakati Clip inajieleza?
fungua na usikilize, keani ukiambiwa Rais wa sasa wa TZ ni wa jinsia ya kike ni mpaka akutajie kuwa ni Bibi Titi Mohamedi? mbona kuna ubishi wa kitoto?
sio nifungue nisikilize tu, mimi niliipakua, mjadala mzima ninao kwa device yangu na sijaona ALIPOMTAJA .
ama, unamaanisha nini unaposema ALIMTAJA ?.,

ikiwa ALIMTAJA , huu mjadala usingelikuwepo.. hicho unachokihita KUTAJA ni Assumptions zako tu.
 
Waliyonusurika kuuwawa si Lissu tu ila hatuoni muda wote kuelezea hayo matukio yao ya kunusurika kufa,tatizo la Lissu ni mtu wa visasi kabla hata ya kupigwa hizo risasi sasa kibaya hakuwa na uwezo wa kurudisha kisasi chake kwa anayeamini ni mbaya wake na kibaya anachanganyikiwa zaidi kwamba hadi huyo mbaya wake anafariki hakumpiga hata kofi.
Hebu nitajie mtanZania aliyepigwa risasi 16 mchana mweupe na akaishi kisha akasamehe
 
Hebu nitajie mtanZania aliyepigwa risasi 16 mchana mweupe na akaishi kisha akasamehe

Endeleeni kumdanganya,naona mmeamua kuwa hawezi kuja kuwa Rais wa Nchi hii! Mwanasiasa gani unaharibu image yako kwa kugombana na mtu aliyekwisha tangulia mbele ya haki? Endeleeni siku akija kwa Kampeni sisi tutamkumbusha huu upuuzi wake.Uzuri Wapiga kura halisi wamekaa kimya wanamsubiri.
 
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.

Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.

Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!

Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.

View attachment 1739998

Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].

Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.

Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”

Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.

Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.



Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?

Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!

How can Tundu Lissu say this so confidently?

Where does he get his information from?

I don’t know about you guys but this is slander.

If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.

I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.

Calumniating people’s deaths is not cool.

Huyu Lisu huwa ana uwezo mkubwa sana wa ku-provoke.Usipo kuwa makini unaweza ingia mzimamzima.

Hapa hajataja yoyote yule ,na raisi alikuwa ana walinzi wengi weusi.,na wengine ulikuwa huwezi jua kama ni walinzi wa raisi mpaka uambiwe.Labda wewe ungeuliza hivi ni mlinzi yupi wa raisi aliyefariki kwa C-19? ungeishia hapo ingetosha.
 
Una akili finyu sana we kisikio poo, sasa unauliza ni yupi huku kule juu ushamhukumu Lissu kuwa ni muongo?

Unawajua walinzi wote wa aliyekua Magufuli? Lissu amemtaja jina ukamjua?

Akili zenu hazijapishana na ng'ombe mnaolala nao.
Ni kawaida ya mataga 😆😆
 
Unajua mkuu wabongo wengi comprehension zao ni below margins!

Hebu fikiria huyo kilaza anajumuisha kwanza kisha anakuja uliza swali chini kutaka ujumuisho!

Anamhukumu mwenzie kwa chuki huku akimtuhumu huyo huyo kuwa ana chuki!

Shida ni kwamba hawa pakashume hawana akili za kuanzisha mada kisha wakaweza ficha upuuzi na hisia zao.

Mfano huku chini ameonesha wazi wazi kuwa na chuki na alimwenzishia uzi halafu anataka kujifanya yupo neutral!!

Hawa ndio wanawafanya waafrika wenzao waonekane ni Nyani!
Asante sana....
 
Nilidhani una ushahidi to the contrary, kumbe unaongea bila uhakika. Ikiwa ni kweli je?

Aise bahati sikufungua ningeliwa MB zangu bure, kumbe hakutaja jina lenyewe,,,Nashukuru sana master kuniokolea mb zangu. acha nisepe 🏃‍♂️
 
Huyu Lisu huwa ana uwezo mkubwa sana wa ku-provoke.Usipo kuwa makini unaweza ingia mzimamzima.

Hapa hajataja yoyote yule ,na raisi alikuwa ana walinzi wengi weusi.,na wengine ulikuwa huwezi jua kama ni walinzi wa raisi mpaka uambiwe.Labda wewe ungeuliza hivi ni mlinzi yupi wa raisi aliyefariki kwa C-19? ungeishia hapo ingetosha.

Shaka Ssali kauliza swali dogo tu,”ukiwa kama Mwanasheria unaweza kuprove Rais alikufa kwa ugonjwa wa Corona” Majibu yake sasa looh,nimeambulia kusikia blah blah blah tu za “my source in Nairobi,my sources in....hadi Mzee Shaka akatikisa kichwa tu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kifo cha mlinzi kinahusiana na madai ya kwamba Magufuli kafa kwa corona hivyo ndio pia wanadai hata mlinzi wake kafa kwa corona pia. Ila mke wa ni marehemu ni mzima.
Mkuu hata ingekuwa ni C-19, kifo ni kifo tu...hakuna madaraja katika vifo

Hizo claims za Lissu hazina mashiko
 
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.

Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.

Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!

Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.

View attachment 1739998

Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].

Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.

Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”

Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.

Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.



Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?

Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!

How can Tundu Lissu say this so confidently?

Where does he get his information from?

I don’t know about you guys but this is slander.

If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.

I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.

Calumniating people’s deaths is not cool.

Umejuaje alikuwa anamzungumzia huyu? Wewe ndiye ujieleze kwanza.
 
Back
Top Bottom