Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Kwani Rais Marehemu Magu, alikuwa na mlinzi mmoja tu? Hata kama akataja rangi ya ngozi je, mwenye rangi hiyo alikuwa mmoja tu?
Sasa kama mwenyewe Lissu kaishia kusema tu kwamba mlinzi wa Magufuli kafa bila kumtaja na huku anajua walinzi wako wengi alikuwa anataka sie tuelewe vp? tutajuaje kwamba anachokisema Lissu ni kweli au sio kweli?
 
Yaani Jamaa Kafa Aisee. Imagine.

Daah. Kama Utani Yaani Ila Kafa saa Hivi wadudu wanashambulia Hatari.

Mambo ya Kusimamisha sina Uhakikà sina Ila Kufa Jamaa Kafa na Nilienda Kirumba Kumshangaa.
Ni kweli JPM kafa, Ila Lissu kabaki kubokolewa na WAZUNGU ndo maana ana hasira sana
 
Naona wana ukawa wamekupania ila mkuu huyu bwana hakutaja jina, wewe ndo umekurupuka sana kwani mlinzi mweusi ni mmoja tuu??
Wewe unawajua walinzi wangapi weusi?na kama wako walinzi wengi weusi ilikuaje aseme mlinzi mmoja mweusi kafa wakati anajua walinzi weusi wako zaidi ya mmoja?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]harafu huyo huyo Lissu ndiye aliyeutangazia ulimwengu juu ya kuugua na hatimae kifo cha Jiwe wakapinga na kumdhihaki leo anasema mlinzi wake kafa wanabisha tena
Ataje jina la huyo mlinzi maana tunaambiwa walinzi wako wengi na ni weusi,sasa kama aliweza kumtaja rais anashindwa nini kumtaja huyo mlinzi?
 
Lissu mpaka atolewe ile risasi moja iliyojisweka katikati ya pingili za mgongo ndio akili yake itarudi ikae sawa..

Kawa mwehu
 
Ni mlinzi yupi sasa ambaye Lissu alikuwa akimzungumzia?
achana nao hao wanaotetea ujinga wakati Clip inajionesha na Tundu Lissu kamtaja huyo jamaa kuwa ni dark guy always stand behind The President not in Military Uniform
cc The Palm Tree
1617273782706.png
 
Ni yupi sasa ambaye Lissu alikuwa anamzungumzia?

Ni mlinzi yupi wa Rais Magufuli ambaye kafa kwa C-19?

Unakimbia swali...

Magufuli alikuwa na mlinzi mmoja tu?

Tundu Lissu hajataja jina la mtu/mlinzi wala kukuonesha picha kama wewe unavyofanya....

Kwa hiyo kubali kuwa, wewe ndiye mwenye hatia na mlinzi huyo anastahili kukushitaki...

Ukweli mkuu ni huu:

Baadhi ya walinzi wa Magufuli si mmoja au wawili walishakufa kabla na baada ya Mwendazake...

Picha na majina tafuta wewe...
 
Kufa au kutokufa kwa aliyekuwa mlinzi wa Rais kunatusaidia nini sisi kama Watanzania, hata kama kifo kiwe ni cha C-19...



Sent from my Nokia 5.4 using JamiiForums mobile app
Kifo cha mlinzi kinahusiana na madai ya kwamba Magufuli kafa kwa corona hivyo ndio pia wanadai hata mlinzi wake kafa kwa corona pia. Ila mke wa ni marehemu ni mzima.
 
Sasa kama mwenyewe Lissu kaishia kusema tu kwamba mlinzi wa Magufuli kafa bila kumtaja na huku anajua walinzi wako wengi alikuwa anataka sie tuelewe vp? tutajuaje kwamba anachokisema Lissu ni kweli au sio kweli?
Sasa kama yeye hajamtaja inakuwaje nyie mnamlisha maneno? Ka Nyani nimekapuuza sana!
 
Lisu ana hasira sana kiasi kwamba kila hoja anayotoa anaitoa kulinagana na hasira zake
Inaonesha hakuridhika kuona Magufuli hadi anakufa hana alichomfanya anabaki na hasira zake tu na kufa nazo.
 
Hebu jaribu kunusurika kuuawa, halafu tuone utampenda kiasi gani muuaji wako
Waliyonusurika kuuwawa si Lissu tu ila hatuoni muda wote kuelezea hayo matukio yao ya kunusurika kufa,tatizo la Lissu ni mtu wa visasi kabla hata ya kupigwa hizo risasi sasa kibaya hakuwa na uwezo wa kurudisha kisasi chake kwa anayeamini ni mbaya wake na kibaya anachanganyikiwa zaidi kwamba hadi huyo mbaya wake anafariki hakumpiga hata kofi.
 
Halafu mbele ya maaskofu aisee.... ile video kila saa naiangalia nasema hiiiii!

Ndo maana alikua na mambo ya ajabu sana maana mcha Mungu hangeweza simama madhabahuni akawasuta watumishi wa Mungu...

Mtu wa Mungu kweli asingewatesa maaskofu kiasi kile.

Jamaa alikua mshirikina first class
Video ipi mkuu iweke hapa uione
 
Back
Top Bottom