kamtaja?.achana nao hao wanaotetea ujinga wakati Clip inajionesha na Tundu Lissu kamtaja huyo jamaa kuwa ni dark guy always stand behind The President not in Military Uniform
cc The Palm Tree
View attachment 1740386
Wamekufa mitume wa Mungu ila shetani anadunda hadi sasa.Yaani Jamaa Kafa Aisee. Imagine.
Daah. Kama Utani Yaani Ila Kafa saa Hivi wadudu wanashambulia Hatari.
Mambo ya Kusimamisha sina Uhakikà sina Ila Kufa Jamaa Kafa na Nilienda Kirumba Kumshangaa.
AMEMTAJA yaani unataka utafuniwe kila kitu? wakati Clip inajieleza?kamtaja?.
jaribu kuwa siriazi basi.
To you, it means that anyone who dies of anything natural is a bad man! Am I correct?What God did to your pompous man and Lissu justifies who righteous was. Imagine 16 bullets never killed a righteous person but just a flue and an electric shock of 0.0001 voltage killed a bad man.
Ndio maana nikauliza yeye alitaka sisi tuelewe vp kwa kutokumtaja huyo mlinzi? walinzi waliyokuwa wanakaa nyuma ya Magufuli wapo tumeona picha zao wakiwa msibani.Sasa kama yeye hajamtaja inakuwaje nyie mnamlisha maneno? Ka Nyani nimekapuuza sana!
Hakuna cha ajabu hapo,kila mtu ana siku yake ya kifo na aina ya kifo chake na uzuri kila mtu anakubali kwamba kuna siku atakufa.Katangulia yeye ilihali alitaka wenzie wafe wakiwa bado na nguvu
sio nifungue nisikilize tu, mimi niliipakua, mjadala mzima ninao kwa device yangu na sijaona ALIPOMTAJA .AMEMTAJA yaani unataka utafuniwe kila kitu? wakati Clip inajieleza?
fungua na usikilize, keani ukiambiwa Rais wa sasa wa TZ ni wa jinsia ya kike ni mpaka akutajie kuwa ni Bibi Titi Mohamedi? mbona kuna ubishi wa kitoto?
Hebu nitajie mtanZania aliyepigwa risasi 16 mchana mweupe na akaishi kisha akasameheWaliyonusurika kuuwawa si Lissu tu ila hatuoni muda wote kuelezea hayo matukio yao ya kunusurika kufa,tatizo la Lissu ni mtu wa visasi kabla hata ya kupigwa hizo risasi sasa kibaya hakuwa na uwezo wa kurudisha kisasi chake kwa anayeamini ni mbaya wake na kibaya anachanganyikiwa zaidi kwamba hadi huyo mbaya wake anafariki hakumpiga hata kofi.
Hebu nitajie mtanZania aliyepigwa risasi 16 mchana mweupe na akaishi kisha akasamehe
Huyu Lisu huwa ana uwezo mkubwa sana wa ku-provoke.Usipo kuwa makini unaweza ingia mzimamzima.Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.
Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.
Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!
Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.
View attachment 1739998
Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].
Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.
Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”
Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.
Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.
Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?
Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!
How can Tundu Lissu say this so confidently?
Where does he get his information from?
I don’t know about you guys but this is slander.
If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.
I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.
Calumniating people’s deaths is not cool.
Ni kawaida ya mataga 😆😆Una akili finyu sana we kisikio poo, sasa unauliza ni yupi huku kule juu ushamhukumu Lissu kuwa ni muongo?
Unawajua walinzi wote wa aliyekua Magufuli? Lissu amemtaja jina ukamjua?
Akili zenu hazijapishana na ng'ombe mnaolala nao.
We ndo umesema mkuu, ametaja jina? Tuwe waadilifu.
Asante sana....Unajua mkuu wabongo wengi comprehension zao ni below margins!
Hebu fikiria huyo kilaza anajumuisha kwanza kisha anakuja uliza swali chini kutaka ujumuisho!
Anamhukumu mwenzie kwa chuki huku akimtuhumu huyo huyo kuwa ana chuki!
Shida ni kwamba hawa pakashume hawana akili za kuanzisha mada kisha wakaweza ficha upuuzi na hisia zao.
Mfano huku chini ameonesha wazi wazi kuwa na chuki na alimwenzishia uzi halafu anataka kujifanya yupo neutral!!
Hawa ndio wanawafanya waafrika wenzao waonekane ni Nyani!
😆😆Jamaa lina mimba ya chukiKaka acha kula hiyo pombe unayotumia....
Nilidhani una ushahidi to the contrary, kumbe unaongea bila uhakika. Ikiwa ni kweli je?
Huyu Lisu huwa ana uwezo mkubwa sana wa ku-provoke.Usipo kuwa makini unaweza ingia mzimamzima.
Hapa hajataja yoyote yule ,na raisi alikuwa ana walinzi wengi weusi.,na wengine ulikuwa huwezi jua kama ni walinzi wa raisi mpaka uambiwe.Labda wewe ungeuliza hivi ni mlinzi yupi wa raisi aliyefariki kwa C-19? ungeishia hapo ingetosha.
Mkuu hata ingekuwa ni C-19, kifo ni kifo tu...hakuna madaraja katika vifoKifo cha mlinzi kinahusiana na madai ya kwamba Magufuli kafa kwa corona hivyo ndio pia wanadai hata mlinzi wake kafa kwa corona pia. Ila mke wa ni marehemu ni mzima.
Umejuaje alikuwa anamzungumzia huyu? Wewe ndiye ujieleze kwanza.Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.
Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.
Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!
Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.
View attachment 1739998
Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].
Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.
Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”
Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.
Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.
Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?
Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!
How can Tundu Lissu say this so confidently?
Where does he get his information from?
I don’t know about you guys but this is slander.
If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.
I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.
Calumniating people’s deaths is not cool.
Kiingereza unakijua wewe au ni kama marehemu?Lissu aachane na hizi "interview" alichemka vibaya sana kwenye Hardtalk ya Steve Sukur na sasa ameendelea kuchemka kwenye "Straight talk Africa" ya Shaka Ssali