Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

What God did to your pompous man and Lissu justifies who righteous was. Imagine 16 bullets never killed a righteous person but just a flue and an electric shock of 0.0001 voltage killed a bad man.
Hoo-ha and mea culpa. Go tell it to the birds. If you think your gawk will die of a nuclear bomb, you must be mentally sick. I am not that stupid to jeer the dead. So, please, let me stop wasting my time arguing with a nincompoop. May you perish with your gawk.
 
Wake up dude, Jiwe is no more, you should accept the fact that he's gone. Mengu kaliponya Taifa.
 
Nenda zako, kwani kufahamu Rais aliugua corona ni mpaka uwe daktari wake? Acheni ukale huo, corona imefyeka kwa vile aliidharau mtuyeyote pale Ikulu ataku dhibitishia
 
Ngozi ya kondoo, jiwe alikuwa mshirikina sana, lakini utasikia "Mtangulize........mbere"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mbele ya maaskofu aisee.... ile video kila saa naiangalia nasema hiiiii!

Ndo maana alikua na mambo ya ajabu sana maana mcha Mungu hangeweza simama madhabahuni akawasuta watumishi wa Mungu...

Mtu wa Mungu kweli asingewatesa maaskofu kiasi kile.

Jamaa alikua mshirikina first class
 
Mkuu kumbe Jiwe alizikwa kichawi [emoji848][emoji848]
Au ndiyo maana walikuwa hawatuonyeshi kinachoendelea nini??
" Mtangulizeni Mungu mbere"
Mungu hadhihakiwi aisee
 
Mkuu kumbe Jiwe alizikwa kichawi [emoji848][emoji848]
Au ndiyo maana walikuwa hawatuonyeshi kinachoendelea nini??
" Mtangulizeni Mungu mbere"
Mungu hadhihakiwi aisee
Mkuu ile vidio hukuiona? Alivyoviringishwa kwenye kile kigozi?
 
Kwanini bado anazozana na Marehem
Anazozana na marehemu au nyie wenye mahaba na marehemu? Kama bado mnaweza kumpenda mwendazake basi anazozana na nyie, kama nyie mnaweza kutaja upande huu wa marehemu yeye anaweza taja upande ule, Mungu mkuu kamfanya lisu anapumua hadi leo wakati kampenda zaidi yule mwingine
 
Hivi bashite kumbe ngeli imenyooka? Kwani yeye jiwe alijua ataishi milele? Wewe utaishi milele? Kwani akirudi utamfanyaje? Unajua hadi atakaporudi wewe utakuwa hai? Mtu anakuvutieni kwenye tope, mnakuja na jazba zenu, mnaingia kichwakichwa. Ameshawazamisha, sasa mnajizoa zoa tu. Kenge kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…