Kuna yule wa Mbeya akasema na yeye kapigiwa simu,Wataje wewe walinzi wa Rais wako wangapi na wangapi wako hai?
Yeye mwenyewe mlipo ambiwa kafa mlibisha na kusema yupo kajifungia anachapa kazi huku wengine wakisema Rais anawasalimia (akiwepo PM) sasa mtashindwa kubishia Mlinzi msiyemjua hata jina?
Mwenzio kauliza swali wewe ndio unakuja na assumptions zako. Mbona Alipo Rais kuhusu whereabouts ya Magufuli mlimuona hamnazo mwisho ilipodhihirika mlitokomea kusikojulikana?Maelezo ya Lissu ni dhahiri kamaanisha huyo jamaa! Hata mimi nimemshangaa sana. Tena akasisitiza sio yule mwanajeshi bali yule mweusi sana pande la mtu anayesimama pia karibu na JPM! Huyu jamaa ipo shida mahali ....
Hawa jamaa sasa hivi hawana pa kushika. Kisukuma wanasema WAMESAYA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mchungi amekufa kondoo wametawanyika. Fisi wanajiokotea tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Teh teh teh SUKUMA GANG hiyo akili zao ni kama mifugo yao tu wanayolala nayo.
Hahahahaha watoto wa mjini wanasema 'Ameachwa kwenye mataa'Amesaya, hana pa kushika. Tumaini limepotea.
Anahitaji na msaada wa kisaokolojia.
Anaweza akawa ana trauma kutokana na yaliyomkuta.
Siku zote nawaambia Lissu Hana hekima....Lissu has to rethink nini hasa anahitaji katika Tanzania. Yes ana bitter experience with Magufuli but now anatumika vibaya
Zitto and Mbowe are the smartest political figures kwa sasa they know how to act kutokana na wakati.
Umeshaacha Tabia yako ya kusifu na kuabudu Binadamu mwenzako(hayati Magufuli)?Lissu aachane na hizi "interview" alichemka vibaya sana kwenye Hardtalk ya Steve Sukur na sasa ameendelea kuchemka kwenye "Straight talk Africa" ya Shaka Ssali
Kwani ukitukana hilo tusi unafikiri Mwenyezi MUNGU anafurahi au anachukia?Lisu ni umbwa tu
Unahemkwa kweli kama taahira LissuPumbafuhii chuki yako kwa Lissu inakusaidia nn wew lisukuma?Una tofauti gani na yy,wote hamna uhakika alafu unamtuhum mwenzio na likiingrza lako la kijerumani?Wew unawaju unawajua walinzi wote wa Rais, PSU?