Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.

Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.

Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!

Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.

View attachment 1739998

Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].

Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.

Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”

Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.

Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.



Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?

Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!

How can Tundu Lissu say this so confidently?

Where does he get his information from?

I don’t know about you guys but this is slander.

If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.

I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.

Calumniating people’s deaths is not cool.

Una uhakika alikuwa anamzungumzia huyo? Kwani mlinzi wa Mwendazake alikuwa mmoja tu?
 
Anyway; I see two dark people in the picture, one in front and another behind. It is difficult to pinpoint the individual being alleged to die of the pandemic. It is a weak argument to prove to anyone, let it be in court. After all; no name is mentioned. "Poa mkuu. Naona mwamba wa Singida anakutia wehu".
 
That is how you myopically think. Who will live forever? He finished his mission and his vision lives on. Even in death, he makes Lissu shiver like a coward of any sort. Yes, whoever you call my man is dead and your stupid man is still hollering for the time being. I repeat. If he his a man enough, let him come back home and learn why frogs have no tails. Simple and clear my gawk.
Haa. He finish his mission with covid-19! We said and said before! Covid dont know you are a president! Covid kills! But you foolish Magufuli's supporters you keep on calling us names! To hell with dictactor uchwara!
 
Maelezo ya Lissu ni dhahiri kamaanisha huyo jamaa! Hata mimi nimemshangaa sana. Tena akasisitiza sio yule mwanajeshi bali yule mweusi sana pande la mtu anayesimama pia karibu na JPM! Huyu jamaa ipo shida mahali ....
Wewe na wewe bado una moyo wa kupiga bla bla bla hapa! Nyie mlikuwa mnabisha mnasema rais anachapa kazi! Leo umefufuka bibi Josephina Mshumbuzi? Tuambie basi umempa nini Dr mpaka ukamteka akili zake namna ile!
 
Mwambie Lissu kama hawezi kumtaja jina basi anyamaze kuhusu hiyo inshu maana analeta taharuki kwenye jamii. Mwenye ugomvi nae keshatangulia mbele ya haki uko, hivyo sio vizuri kuzushia watu vifo na kama kweli kafa basi ataje jina maana hakuna kosa lolote kama ni kweli.
Siyo ''inshu'' na wewe mtu mzima unakuwa kama mtoto wa darasa la kwanza! Ni issue na hata kama utaandika kwa kiswahili ni ishu!
 
Shaka Ssali kauliza swali dogo tu,”ukiwa kama Mwanasheria unaweza kuprove Rais alikufa kwa ugonjwa wa Corona” Majibu yake sasa looh,nimeambulia kusikia blah blah blah tu za “my source in Nairobi,my sources in....hadi Mzee Shaka akatikisa kichwa tu[emoji3][emoji3][emoji3]
Ongeza sauti.
 
Hakuna mlinzi wa Mh Late President JPM( RIP) ALIYEFARIKI THEY ARE ALL FINE AFTER THE BURIAL IN CHATO..lets be careful with our posts
 
Je wewe na Lissu wake mtazikwa kama nini tena bila kujulikana kama mbwa.
Nilifikiri labda Kiingereza ndicho kinakupa shida. Kiswahili nacho kinakupiga chenga? Mawazo yako ndio yamepinda! Angalia ulichoandika. Wake, tuichukulie kama typing error. Mtazikwa kama nini! Maiti, of course. Tena bila kujulikana kama mbwa. Certainly yes. Wao ni binadamu. Wakifa tu maiti zao zitazikwa kama maiti. Mwili wa mbwa aliyekufa ni mzoga. Mara nyingi hauzikwi unatupwa.
Na kuhusu Kiingereza chako cha hovyo, niseme kidogo. With intention to intimidate you yell: if he(Lissu) his a man enough. Father of All you seem to be a Father of None. For benefit of doubt, let us put IS for your HIS. Also call it typing error. You seem to be always in a hurry! The pronoun HE stands for men only. So Lissu is a man. He has a wife and two children. If that's what you mean by a man enough. He's never been a half. I bet he's one and half, if not more, men!
 
Being honest hala lissu alichemka picha halisi mlinzi mweusi aliekuwa nae mara nyingi nyuma yake ndo huyo atakama sio huyo tumeona walinzi wte waliokuwa nyuma yake wapo hai Sasa huyo ni yupi ambae yye lissu anamjua sisi hatujawai muona lissu nae anatatizo la uropokaji
 
Comments zote humu hakuna aliyeelezea chanzo cha hasira za Tundu Lissu. Kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kudindisha tena baada ya zile risasi,Jogoo haliwiki. Kwa wanaume mliopo JF ambao unajua vizuri utamu wa K unadhani mtu aliyesababisha wanawake uanze kuwaona kama madume utamchukia kiasi gani!?.. kwahiyo msimshangae sana Lissu. Maisha yameshakosa maana kabisa. Ila tulimwambia asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu. Hata Kama JPM kafa Ila na yeye JOGOO halisimami tena. Ukikuta ni kweli alidokolewa na Amsterdam usishangae.

Naunga mkono hoja!
 
Lissu aachane na hizi "interview" alichemka vibaya sana kwenye Hardtalk ya Steve Sukur na sasa ameendelea kuchemka kwenye "Straight talk Africa" ya Shaka Ssali
Tupe tafsiri yakuchemka kwanza,ama ndio nyie msiokuwa tayari kushindana kwa hoja.
 
Being honest hala lissu alichemka picha halisi mlinzi mweusi aliekuwa nae mara nyingi nyuma yake ndo huyo atakama sio huyo tumeona walinzi wte waliokuwa nyuma yake wapo hai Sasa huyo ni yupi ambae yye lissu anamjua sisi hatujawai muona lissu nae anatatizo la uropokaji
Kaulizwa una ushahidi? Anaanza kuleta Stori sijui katoka huku kapelekwa huku mara kule. Una ushahidi oh circumstances hizi blah blah...as a lawyer!
 
Comments zote humu hakuna aliyeelezea chanzo cha hasira za Tundu Lissu. Kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kudindisha tena baada ya zile risasi,Jogoo haliwiki. Kwa wanaume mliopo JF ambao unajua vizuri utamu wa K unadhani mtu aliyesababisha wanawake uanze kuwaona kama madume utamchukia kiasi gani!?.. kwahiyo msimshangae sana Lissu. Maisha yameshakosa maana kabisa. Ila tulimwambia asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu. Hata Kama JPM kafa Ila na yeye JOGOO halisimami tena. Ukikuta ni kweli alidokolewa na Amsterdam usishangae.
Kweli nyinyi siasa za ushabiki zimewatoa akili . Na mfumo huu wa upinzani wa vyama vingi, kwa nchi yenye level ndogo namna hii ya uelewa , haufai .

Kwa hiyo marehemu yeye amefaidika nini ?!. Ikiwa anaozea ft 6 chini ardhini. Mamlaka na ulinzi wote ule. Where is he now ?!. Tutendeane kwa uema na haki. Kama yeye alifurahia kumlemaza mwenzie. Fimbo ya MNYONGE imelipwa na Mungu.

Odhis *
 
Back
Top Bottom