Tundu Lissu ana cha kujifunza hapa, Siasa siyo Uadui

Tundu Lissu ana cha kujifunza hapa, Siasa siyo Uadui

Nimeshakuambia kuwa mimi naingia humu kama burudani tu tofauti na wewe ambaye unafanya hapa ndiyo sehemu ya kupatia mkate wako wa siku. Ukifungiwa wewe utakufa njaa, papai wewe.
Mimi ni mkulima mzuri naye kula kwa jasho langu.
 
juu ya hizo tuhuma ulizosema juu ya chama cha mapinduzi ndugu dhidi ya tukio la shambulizi la lisu
Nimemjibu Lucas aliyeniambia nilete ushahidi juu ya shambulio la Lissu, kazi ya kupepeleza na kukusanya ushahidi wa jinai na kufungua mashitaka ni ya Jeshi la Polisi ambalo kwa sababu wanazozijua na ambazo ziko wazi kwa kila mwenye akili timamu hawakuwahi kufanya hivyo.
 
Cha AJABU ni CCM ndio ilianzisha UADUI kwa kumpiga RISASI nyingi JEMADARI TUNDU LISSU.

Halafu wanamtuma huyu Mpiga pelepete kuja kuanzisha Vijiposti vya Kindezi humu JF.
 
Ndugu zangu watanzania,


Tundu Lissu anayo mengi sana ya kujifunza kutoka Katika picha hii inayomuonesha Katibu Mkuu wa CCM Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi akifurahia jambo na Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Hii picha ilichukuliwa na kupigwa hapo jana walipokutana viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa katika mashauriano ya Masuala mbalimbali chini ya kituo cha Demokrasia Tanzania. Picha hii na namna viongozi wetu hawa wa vyama vyetu wanavyotabasamu na kufurahi inaonyesha siasa siyo uadui.

Lakini pia inaonyesha namna viongozi hawa walivyoelewa vyema na kuzifanyia kazi 4R Za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ambaye aliziasisi na kuzileta katika lengo la kulileta pamoja Taifa na kujenga umoja wa kitaifa, ndio sababu ya kuona leo watu wakiwa huru kuzungumza yaliyo katika vifua vyao kwa uhuru bila hofu.

Pia soma:
Lakini ndio sababu ya kuona viongozi wa vyama vya siasa wakikutana kwa pamoja kama hivi na kufanya mashauriano kwa njia ya amani kabisa, pamoja na vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na ile ya ndani bila shida wala vikwazo vya aina yoyote ile baada ya kuwa taratibu zote zimefuatwa na kuzingatiwa.

Sasa angekuwa ndio Lissu yupo kwenye nafasi ya Mbowe yaani ya uwenyekiti ungeona namna anavyotoa matamko makali makali na ya hovyo hovyo yenye kujenga chuki,uhasama,uadui na kuchochea ubaguzi kwa misingi tofauti tofauti kwa maslahi yake binafsi.maana yeye ni mtu ambaye anapenda mavurugu vurugu na uhasama wa kisiasa.

Ndio maana hutoa lugha zisizo nzuri akiwa mwenye majukwaa ya siasa.ndio sababu hupenda kuita haya ni Ma CCM na yale ni Ma PoliCCM. Yeye huona ambao hawapo kwenye chama chake au hawakubaliani naye kuwa wote hawana akili na hawajitambui na ni mambumbu tu.

anasahau kuwa katika siasa hakunaga adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu na siasa siyo vita wala uadui.anasahau pia kuwa ili upate ushindi katika ngazi ya aina yoyote ile basi ni lazima ufanye kazi ya kuyashawishi makundi mbalimbali kukuunga mkono na kuwa upande wako badala ya kuyachukia na kuyatukana kwa matusi na lugha za udhalilishaji.

Ndio sababu Lissu anachukiwa na watu wengi sana na watumishi na wafanyakazi wengi sana katika vyombo vya ulinzi na usalama kutokana na maneno yake ya kuwadhalilisha na kuwashushia heshima. ndio maana hakuna anayeweza kumuunga mkono hata kwa kificho tu, maana kila mtu anaona ni mtu mropokaji, mkurupukaji, Mwenye kujaa mihemuko, jazba, hasira na hivyo kushindwa kutumia Busara na hekima katika kuzungumza na kushawishi watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nchimbi huyu ambae ndie alikua mmoja wa wafuasi wa lowassa waki imba waziwazi kua Wana Imani na lowassa kwenye mkutano mkuu July 2015
 
Cha AJABU ni CCM ndio ilianzisha UADUI kwa kumpiga RISASI nyingi JEMADARI TUNDU LISSU.

Halafu wanamtuma huyu Mpiga pelepete kuja kuanzisha Vijiposti vya Kindezi humu JF.
Ilitakiwa uweke ushahidi wa hayo uzungumzayo.
 
Kwani wapi nimeandika Kuwa natafuta uteuzi.
Haya mapambio yako ndiyo yanakuchora kwa picha ya mtafuta uteuzi lakini ndiyo huwezi kuteuliwa mabandiko yako ni ya kiboya sana ni vile tu hazikutoshi ndiyo mwenyewe unaona unaandika mambo ya maana. Unajidhalilisha sana nina uhakika hata ndugu zako unawakwaza kwa haya mashudu yako uayojaza humu.
 
Ndugu zangu watanzania,


Tundu Lissu anayo mengi sana ya kujifunza kutoka Katika picha hii inayomuonesha Katibu Mkuu wa CCM Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi akifurahia jambo na Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Hii picha ilichukuliwa na kupigwa hapo jana walipokutana viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa katika mashauriano ya Masuala mbalimbali chini ya kituo cha Demokrasia Tanzania. Picha hii na namna viongozi wetu hawa wa vyama vyetu wanavyotabasamu na kufurahi inaonyesha siasa siyo uadui.

Lakini pia inaonyesha namna viongozi hawa walivyoelewa vyema na kuzifanyia kazi 4R Za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ambaye aliziasisi na kuzileta katika lengo la kulileta pamoja Taifa na kujenga umoja wa kitaifa, ndio sababu ya kuona leo watu wakiwa huru kuzungumza yaliyo katika vifua vyao kwa uhuru bila hofu.

Pia soma:
Lakini ndio sababu ya kuona viongozi wa vyama vya siasa wakikutana kwa pamoja kama hivi na kufanya mashauriano kwa njia ya amani kabisa, pamoja na vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na ile ya ndani bila shida wala vikwazo vya aina yoyote ile baada ya kuwa taratibu zote zimefuatwa na kuzingatiwa.

Sasa angekuwa ndio Lissu yupo kwenye nafasi ya Mbowe yaani ya uwenyekiti ungeona namna anavyotoa matamko makali makali na ya hovyo hovyo yenye kujenga chuki,uhasama,uadui na kuchochea ubaguzi kwa misingi tofauti tofauti kwa maslahi yake binafsi.maana yeye ni mtu ambaye anapenda mavurugu vurugu na uhasama wa kisiasa.

Ndio maana hutoa lugha zisizo nzuri akiwa mwenye majukwaa ya siasa.ndio sababu hupenda kuita haya ni Ma CCM na yale ni Ma PoliCCM. Yeye huona ambao hawapo kwenye chama chake au hawakubaliani naye kuwa wote hawana akili na hawajitambui na ni mambumbu tu.

anasahau kuwa katika siasa hakunaga adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu na siasa siyo vita wala uadui.anasahau pia kuwa ili upate ushindi katika ngazi ya aina yoyote ile basi ni lazima ufanye kazi ya kuyashawishi makundi mbalimbali kukuunga mkono na kuwa upande wako badala ya kuyachukia na kuyatukana kwa matusi na lugha za udhalilishaji.

Ndio sababu Lissu anachukiwa na watu wengi sana na watumishi na wafanyakazi wengi sana katika vyombo vya ulinzi na usalama kutokana na maneno yake ya kuwadhalilisha na kuwashushia heshima. ndio maana hakuna anayeweza kumuunga mkono hata kwa kificho tu, maana kila mtu anaona ni mtu mropokaji, mkurupukaji, Mwenye kujaa mihemuko, jazba, hasira na hivyo kushindwa kutumia Busara na hekima katika kuzungumza na kushawishi watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yaani ww jamaa nakuombea ufe mdomo ukiwa wazi
 
Mjinga unapo mtaka mwenye akili timamu asiwe mjinga! Unakuwa ni mpumbavu. Kama umeshindwa kujua maumivu waliyoyapata kwa kupigwa na fimno za umeme walizozitumia makaburu na sasa jazitumiki Afrika Kusini wewe huenda ilishiriki kumteka yule kijana aliyechoma picha huko Mbeya.
Uthibitisho upo wapi wa hayo uzungumzayo?
 
Haya mapambio yako ndiyo yanakuchora kwa picha ya mtafuta uteuzi lakini ndiyo huwezi kuteuliwa mabandiko yako ni ya kiboya sana ni vile tu hazikutoshi ndiyo mwenyewe unaona unaandika mambo ya maana. Unajidhalilisha sana nina uhakika hata ndugu zako unawakwaza kwa haya mashudu yako uayojaza humu.
Mtu kama wewe Huwezi kuelewa kitu kwa kuwa akili yako ni ndogo sana.
 
Umeelewa hoja inahusu nini? Umesoma andiko langu? Au umejibu kwanza kabla ya kusoma andiko?
Naona unazifumba macho akili zako kijana.

Punguza kua bias jifunze ku balance ⚖️ maoni na mawazo YAKO.

All in all,
all parties Kuna mazuri na mabaya Ila wewe kila kukicha ni kuponda UPINZANI

Msalimie ephen_ ukatoe mahari Sasa 😊 uoe Usha kua DAZ BABA (Daz mwalimu)
 
Back
Top Bottom