Tundu Lissu ana Mali au biashara anazomiliki hapa nchini? Viko wapi vitega uchumi vyake?

Tundu Lissu ana Mali au biashara anazomiliki hapa nchini? Viko wapi vitega uchumi vyake?

Kama ni kweli barrick ndio walimjengea itakua walimhonga.
Si huyu lissu anayesiifiwa kwa kupambana na wawekezaji kutetea wachimbaji wadogowadogo waliyokua wanadhulumiwa ardhi na fidia zao na wawekezaji wakubwa kama barrick? Kumbe mnafiki mkubwa

Ghorofa ipo wapi?. Na wewe unadanganywa unakubali.
 
Tofautisha mgombea na kiongozi. Lissu alishagombea muda uliopita kwa sasa hana cheo chochote serikalini au bungeni. Ndio maana hata ukienda Tume ya maadili utakuta taarifa zake.
Najua kwamba sasa hivi sio wakati wa uchaguzi kwa hiyo hakuna mgombea.

Ila Lissu ndo mtu pekee wa maana aliyebaki CHADEMA anayefaa kusimamishwa kwa tiketi ya CHADEMA kugombea urais.

Viongozi wengine wa CHADEMA hakuna mwenye uzito wa kutosha kwenye tiketi ya uraisi.

Kwa hiyo huyo ndo mgombea anayetarajiwa 2025.
 
Familia yake ni raia wa marekani, Rob amster ni raia wa Canada, sasa yeye amiliki vitu Tanzania ili iweje?
Hapa bongo ana ukwasi wa wafuasi wake manyumbu wasiojua kuona mbele na kupambanua mambo. Wako tayari kutumiwa kisiasa bila kujali ni nani anawatumia, na kwa manufaa ya nani.
Kwa wapumbavu kama wewe unafikiri bila Lisu na Mbowe CHADEMA itakufa??? Magufuli alikufa kwa roho mbaya hizi hizi za kudeal na watu badala ya kudeal na mfumo mzima wa vyama vya ushindani. Na kaa ujue kuwa hata Lisu akiwa Rais hauwezi pata chakula bure na Tanzania itaendelea kuwa Tanzania na hawezi kuwa rais milele.Huo ni ujinga wenu uliojaa kamasi kwenye bongo zenu.Obama mwenye asili ya Kenya alitawala Marekani na aliiacha salama, Kaunda mwenye asili ya Malawi aliitawala Zambia na akaiacha salama,Michael Sata mwenye asili ya Tanzania aliingoza Zambia kwa mafanikio makubwa na akaiacha salama.

Sasa Tundu Lissu mzaliwa wa Ikungi Mkoani Singida Kati kati ya Tanzania ashindwe kuwa mzalendo kisa amekimbilia Ubelgiji kutafuta usalama wake. Huu ni uonezi wa wazi wazi na ubaguzi usio na tija kisa siyo mwanaccm. Tuache fikra za kipumbavu na za kibaguzi kwa Watanzania wenzetu hata kama tuko vyama tofauti.
 
Ni kosa la lissu sio CCM, magufuli alipambana kuwabana wazungu, lissu akakimbilia miga kuichongea serikali ya CCM.
Aliwabana yuko wapi kama alikuwa bingwa wa kuwabana wazungu? Amekufa kifo cha kizembe kwa sababu aliamini sana katika mitishamba na siasa za kijima na bado wazungu hao hao wanatamba mmebaki kumlalamikia mama kila siku na hamna namna ya kufanya ila kulialia tu.
 
Lissu ameanza kusimamia kesi na kuwa kwenye jopo la mawakili kimataifa kabla hata hujabalehe ukidhani anategemea mafao ya ubunge kuishi jiulize tokea 1990s mpaka 2010 aliishije mind you aligombea ubunge tayari akiwa public figure.
Lissu ana utajiri mkubwa sana wa madini kichwani na anayachimba kila siku na kuyauza kimataifa
 
Aliwabana yuko wapi kama alikuwa bingwa wa kuwabana wazungu? Amekufa kifo cha kizembe kwa sababu aliamini sana katika mitishamba na siasa za kijima na bado wazungu hao hao wanatamba mmebaki kumlalamikia mama kila siku na hamna namna ya kufanya ila kulialia tu.
Hakuna anayemlalamikia mama, Magufuli nchi aliiacha pazuri, tulipo ni pazuri Sana na mpaka 2030 dk Samia akistaafu ataiacha nchi inabubujika maziwa na asali.
 
Badala ya kupambania mali na Matrilioni za umma serikali inazitumiaje wewe unaangaika na mali za watu.
 
Hakuna anayemlalamikia mama, magufuli nchi aliiacha pazuri, tulipo ni pazuri Sana na mpaka 2030 dk Samia akistaafu ataiacha nchi inabubujika maziwa na asali.
Hizo tozo na mikopo mnayolalamikia kila siku viko mbinguni au Chadema??? Umeme kukatika mara kwa mara ni pazuri na chi ya maziwa na asali?? Umbumbumbu na upumbavu vinawaponza nchi inaendelea kuuzwa uarabuni nyie mmekalia nchi ya maziwa na asali, shit kabisa.
 
Hivi kweli kuna watu wana muabudu Magufuli na wengine wana muabudu Lissu?
 
Uko sahihi na aliijenga mwanzoni mwa miaka ya 2000
Wakati huo anafanya kazi LeAT na mshahara haufiki 1m ila kajenga ghorofa. Rushwa na hongo hizi. Na hapo ndipo alibadilika na akawa mtetezi wa Barick. Hakuna mkate mgumu mbele ya Tiiii
 
Wakati huo anafanya kazi LeAT na mshahara haufiki 1m ila kajenga ghorofa. Rushwa na hongo hizi. Na hapo ndipo alibadilika na akawa mtetezi wa Barick. Hakuna mkate mgumu mbele ya Tiiii
Mwizi huwaza wizi
 
Back
Top Bottom