nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Asubuhi nakupa na namba ya nyumba na pichaYaani wewe wala hautumii akili ni sehemu gani hapa tegeta kuna nyumba ya lissu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asubuhi nakupa na namba ya nyumba na pichaYaani wewe wala hautumii akili ni sehemu gani hapa tegeta kuna nyumba ya lissu?
Unajisikiaje kukaa na kutunga uongo?Asubuhi nakupa na namba ya nyumba na picha
George weah raisi wa laiberia mwanae anacheza timu ya taifa ya marekani.Kuna shida watoto wakiwa ni raia wa nyingine?
Kila mzazi anataka safety na mazuri kwa wanae.. kama una uwezo huo kwann usifanye hivyo?
Halaf si yeye peke yake viongozi kibaon ena waandamizi wa chama na serikali?
Na watoto wao wanajulikana ni raia wa nje lakin hawasemwi
Nitakutumia picha ya nyumba ya Lissu asubuhi hiiUnajisikiaje kukaa na kutunga uongo?
Hivi kweli kuna watu wana muabudu Magufuli na wengine wana muabudu Lissu?
Alikuwa mtetezi kabla hajafika bei. Walimnunulia hadi Range na magari kadhaa BIG HORN ambayo yalimsaidia kupata Ubunge
George weah raisi wa laiberia mwanae anacheza timu ya taifa ya marekani.
Hii ni nyumba anayoishi Tundu Lissu mtaa wa by night Tegeta Azania.Una ka evidence cha hizo mali?
Big horn ni gari ya kawaida sana hata ww ukitaka unapata si expensive
Hawa chawa hawajitambui nduguGood example but hiyo inamfanya weah kuwa mbaya?
itumeNitakutumia picha ya nyumba ya Lissu asubuhi hii
Wewe ni mjinga sana!Watoto wake wote ni raia wa Marekani, anachofanya ni kukusanya Hela Tanzania, anazipeleka Marekani kununua apartments. Halafu akirudi Tanzania, anatueleza kwamba nchi yetu haiendelei. Hana tofauti na makampuni ya madini ynaavyosomba dhahabu zetu kupeleka Ulaya.
Hata singida hana nyumba.