Tundu Lissu ana Mali au biashara anazomiliki hapa nchini? Viko wapi vitega uchumi vyake?

Tundu Lissu ana Mali au biashara anazomiliki hapa nchini? Viko wapi vitega uchumi vyake?

Kuna shida watoto wakiwa ni raia wa nyingine?
Kila mzazi anataka safety na mazuri kwa wanae.. kama una uwezo huo kwann usifanye hivyo?
Halaf si yeye peke yake viongozi kibaon ena waandamizi wa chama na serikali?
Na watoto wao wanajulikana ni raia wa nje lakin hawasemwi
George weah raisi wa laiberia mwanae anacheza timu ya taifa ya marekani.
 
Alikuwa mtetezi kabla hajafika bei. Walimnunulia hadi Range na magari kadhaa BIG HORN ambayo yalimsaidia kupata Ubunge

Una ka evidence cha hizo mali?
Big horn ni gari ya kawaida sana hata ww ukitaka unapata si expensive
 
Una ka evidence cha hizo mali?
Big horn ni gari ya kawaida sana hata ww ukitaka unapata si expensive
Hii ni nyumba anayoishi Tundu Lissu mtaa wa by night Tegeta Azania.

Sasa kuna siku nikipata muda nitaenda Mbeni kupiga picha na video apartments za Lissu.

Watu wanapiga pesa.
 

Attachments

  • 20230110_094741.mp4
    38.6 MB
Hii ndio nyumba ambayo Barick walimjengea Tundu Lissu na ndio makazi yake. Tegeta Azania, mtaa wa by night.

Siku nikipata muda nitaenda mbweni kupiga picha za apartments zake.
 

Attachments

  • 20230110_094741.mp4
    38.6 MB
Watoto wake wote ni raia wa Marekani, anachofanya ni kukusanya Hela Tanzania, anazipeleka Marekani kununua apartments. Halafu akirudi Tanzania, anatueleza kwamba nchi yetu haiendelei. Hana tofauti na makampuni ya madini ynaavyosomba dhahabu zetu kupeleka Ulaya.

Hata singida hana nyumba.
Wewe ni mjinga sana!
 
Back
Top Bottom