Tundu Lissu ana Mali au biashara anazomiliki hapa nchini? Viko wapi vitega uchumi vyake?

Kama ni kweli barrick ndio walimjengea itakua walimhonga.
Si huyu lissu anayesiifiwa kwa kupambana na wawekezaji kutetea wachimbaji wadogowadogo waliyokua wanadhulumiwa ardhi na fidia zao na wawekezaji wakubwa kama barrick? Kumbe mnafiki mkubwa
Alikuwa mtetezi kabla hajafika bei. Walimnunulia hadi Range na magari kadhaa BIG HORN ambayo yalimsaidia kupata Ubunge
 
Tozo na mikopo zinafanya makubwa, bwawa la Nyerere tayari lishajazwa maji, sgr dar to Moro this January unaanza kupiga mzigo, makandarasi pia wametapakaa vipande vya Moro to makutupori Dom, Dom to tabora, tabora to mza via isaka huko kote makandarasi wanachapa kazi, madarasa na zahanati zinachipuka kama uyoga, hizo ndo return za tozo na mikopo, nchi hii iko pazuri jamani, Mama anautandika mwingi.
 
Wanaotorosha madini ni mababeru alafu akakimbilia kwa mabeberu kuwakimbia mabeberu?
 
Yes umesema kweli kuwa hana uvumilivu na ufisadi atakulipua tu😅
Lissu anafaa tu kuwa mwanaharakati ila sio siasa. Zile jazba zake za kijinga hazifai kabisa kwenye siasa. Ni mtu wa visasi.
 
Wanaotorosha madini ni mababeru alafu akakimbilia kwa mabeberu kuwakimbia mabeberu?
Sasa umesikia mabeberu wote Wana akili Moja au wanamiliki mgodi mmoja? Funny enough wanaokuja kukuua sio weupe ni weusi wenzetu ambao waligawa mikataba mibovu kwa wazungu mfano Mwanyika alituingiza hasara ya matrillion kupitia Barrick ila CCM mmempa ubunge!!
 
Kutokana na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Viongozi wote huwa Wana Kiri Mali na madeni yao Kila Mwaka kwa Kujaza Fomu maalumu ya Kiapo.

Nadhani ungeanzia hapo, ungeweza kupata taarifa zote za Mali pamoja na Madeni ya Mhe. Tundu Lissu
 
Kama ni kweli barrick ndio walimjengea itakuwa walimhonga. Si huyu Lissu anayesiifiwa kwa kupambana na wawekezaji kutetea wachimbaji wadogowadogo waliyokuwa wanadhulumiwa ardhi na fidia zao na wawekezaji wakubwa kama barrick? Kumbe mnafiki mkubwa
Yaani wewe wala hautumii akili ni sehemu gani hapa tegeta kuna nyumba ya lissu?
 
Mbona alisjakabidhi fomu ya kiapo cha mali zake wakati wa Kugombea urais? Nenda kamati ya maadili utazikuta taarifa zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…