Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ana marafiki wa kificho, Rais Magufuli ana maadui wa kificho

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ana marafiki wa kificho, Rais Magufuli ana maadui wa kificho

Marafiki kificho wa Lissu wapo ccm na watampigia kura lissu lkn huku wakiwa wamevalia magwanda ya kijani huku wakiimba ccm nambari one.
Marafiki kificho wa Lissu hawapi Kura, na Maadui kificho wa JPM hawapigi Kura.
mlinganyo unabalansia hapo tu.
 
Umesahau kitu kimoja muhimu nacho ni kuwahimiza watanzania woote wnawake kwa wanaume, vijana wote wenye sifa za kupiga kura siku ya kupiga kura wajitokeze wakampigie kura Tundu Lissu.
Hili ni bandiko Bora kabisa la jf tangu huu mwaka uanze,mmoja anatumia nguvu kuishawishiwi Jamii Hali mwingine utumia akili kuishawishiwi Jamii.

Jiwe kapata dawa hapa wangepatikana Lisu Kama watatu hivi plus Mtikila hakika uonevu na udhalimu tunaofanyiwa watz ungekoma.watz wenzetu wameuliwa, bambikiwa, wanaishi ukimbizini, fukarishwa, bomolewa nyumba zao, watz tulikuwa wakiwa kwa miaka 5 Sasa yatosha.

Lisu karejesha Imani na moyo wetu wa kutamani kupiga kura again baada ya uhuni ya uliofanyika uchaguzi za serikali za mitaa wa kuchaguliwa wagombea

Serikali ya watu kwa ajili ya watu ndo tuitakayo na si serikali ya watu kwa ajili ya mtu

Mtu mmoja katu hawezi kutuamulia tuishi atakavyo yeye sisi sio familia yake maadamu tu atuvunji sheria

Watz tuwe huru na nchi yetu tulinyimwa kuongea 5 yrs Sasa ni wakati wa kuongea tuteme nyongo zote
photo%20266%2012-18-0.jpeg
 
Hawezi kabisa kumpigia kura, kuna walio tumbuliwa kisa hawana vyeti, kuna wategemezi wao hao wote kamwe hawawezi kumpigia kura jiwe.

Kuna wakulima wa korosho hawawezi kumpigia kura jiwe
Mkuu hao marafiki wa kificho na maadui wa kificho wengi wao wanajitambua ndo kundi linaloenda kupiga kura kwa hasira, na hawawez kukosa kupiga kura, kwa akili ya kawaida iv kinana anaweza mpigia kura jiwe
 
Ndugu. Naona umejitahidi kujenga hoja lakini umesahau kujua hoja na vioja. Hoja kazitoa jana Ndugu magufuli. Na Amejenga hoja vizuri sana na hoja zake zinauzika kwa wananchi walio wengi.

Sasa chadema wasitegemee uruma za wananchi Bila kuwaambia wananchi hoja mufilisi.

Huwezi kudharau hata kidogo kazi iliyofanyika kwa kuwambi wananchi mmenyimwa haki ya kufanya mikutano na kutaka katiba mpya wakati wananchi wanataka kusikia na kuona. Barabara za uhakika. Umeme. Maji. Dawa maosptaĺini. Na shule kuboreshwa. Kudhibiti Ufisadi.

Alafu wewe unakuja kubeza majukwaani na kuwambia wananchi katiba na uhuru wa kuongea na kufanya mikutano. Hapo utaambulia patupu kamanda.

Kimsingi chadema na upinzani mkubalitu Hakuna wa kumpiku magufuli kwa utendaji uo ndio ukweli. Na ilo wanalitambua shida yao ni kutaka ikulu huku wakijua uwezo hawana.
 
Kama umeniona vile kwani nilisusia ku update kitambulisho
Ku update ni kwa wale waliohama makazi kumaanisha kama mwaka 2015 ulikuwa moshi na mwaka 2020 Uko Pwani basi unaenda ku update kama umehamia Pwani na Kura utapigia Pwani. So haikuzuii kurudi kituo ulichopigia kura mwaka 2015 kama kweli una kadi ya mpiga kura.
Mwaka 2015 nilikuwa Njombe na nilipigia kura njombe, mwaka huu Nipo Songea na sikuupdate kuwa nimeamia Songea. Hivyo October 2020 nitarudi Zangu Njombe kupiga kura pale nilipopigia 2015.
 
Tuwekee tu wazi maadui wakubwa wa huyo bwana Sasa watakuwa
1. Walifukuzwa kazi sababu ya vyeti feki. Hao piga ua hawatoi kura CCM
2. Wenye kusaka ajira Hawa nao piga ua hawatoi kura CCM.
3. Waliobomolewa makusudi kupisha barabara au miradi mwingine, Hawa na chuki Kama Nini hawatatoa kura CCM
4. Waliobambikiwa vyesi na kusekwa ndani kufunguliwa vyesi uhujumu uchumi, Hawa Kama mbogo hawatoi kura CCM
5. Wanafunzi waliosajiliwa na kupunjwa mikopo na wale waliokosa kabisa au waliotoa kitu kidogo kupata, Hawa mmmmmm Ni kwa Lissu tu
6. Wastaafu wote waliopunjwa mafao na ambao bado wanasota, kura hizi zitaenda kwa Lissu
7.Watumishi wote walimsikia bwana mkubwa akisema kuwa hakuchaguliwa ili aongeze mishahara, Hawa hawatoi kura CCM
8. Wafanyakazi na wamiliki wa vyombo vya habari walinyanyaswa kufungiwa vyombo vyao na kufungwa wao, familia na wao hawatoi kura CCM.
9. NGOS zilizopigwa ban Hawa na familia zao kutoa kura CCM Ni sawa na kuweka mkono kwenye mdomo wa mamba.
Nasema watanzania kwa mamilioni hapa ndipo wataonyesha ukarimu wao kwa Lissu
 
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.
Mkuu ubarikiwe kwa bandiko murua kabisa. Ntakupa tuzo
 
Ninampa Lissu asilimia 70 za kumshinda Magufuli. Hakuna namna, narudia tena, hakuna namna Magufuli anaweza kumshinda Tundu Lissu mwaka huu. Wengi wapo na magufuli usoni ila moyoni wanajua wapo na Lissu. Kama Kuna kura za maruhani mwaka huu ndo atakazoziona magufuli.

Kikubwa Chadema na Lissu wajipange tu. Waandae timu imara na madhubuti ya kumuongoza Lissu kwenye Kampeni. Kumuongoza kwenye hoja za kupiga na namna za kupiga. Hakuna uchaguzi mzuri kwa chadema Kama wa mwaka huu!!


kujiamini kupita kiasi ni dhambi, anaepita hapo anajulikana huyu mwingine nadhan mtumie mda mfundishe jinsi ya kuongea na wananchi, baada ya uchaguzi mtajua mtego mwingine ccm waliokua wamewategea! as always
 
Ku update ni kwa wale waliohama makazi kumaanisha kama mwaka 2015 ulikuwa moshi na mwaka 2020 Uko Pwani basi unaenda ku update kama umehamia Pwani na Kura utapigia Pwani. So haikuzuii kurudi kituo ulichopigia kura mwaka 2015 kama kweli una kadi ya mpiga kura.
Mwaka 2015 nilikuwa Njombe na nilipigia kura njombe, mwaka huu Nipo Songea na sikuupdate kuwa nimeamia Songea. Hivyo October 2020 nitarudi Zangu Njombe kupiga kura pale nilipopigia 2015.

Hapo sawaaa kabisa sijahama
 
Ninampa Lissu asilimia 70 za kumshinda Magufuli. Hakuna namna, narudia tena, hakuna namna Magufuli anaweza kumshinda Tundu Lissu mwaka huu. Wengi wapo na magufuli usoni ila moyoni wanajua wapo na Lissu. Kama Kuna kura za maruhani mwaka huu ndo atakazoziona magufuli.

Kikubwa Chadema na Lissu wajipange tu. Waandae timu imara na madhubuti ya kumuongoza Lissu kwenye Kampeni. Kumuongoza kwenye hoja za kupiga na namna za kupiga. Hakuna uchaguzi mzuri kwa chadema Kama wa mwaka huu!!
Eti asilimia 70! Unawajua watanzania wewe lissu hana ushawishi wowote mbele ya Magufuli ambaye kazi zake zake zinaonekana kwa vitendo!. Endeleeni kujifariji tu humu Jf ilauo ndo ukweli mchungu.!. Lissu na wapinzani wengine watatoa changamoto tu ila hawawezi kushinda Urais never! ,Hilo hata wapinzani wanalijua . Yaani mnashindana na chama ambacho kimejiekea mizizi toka kwenye mashina/matawi huko kuanzia vijijini hadi mijini , chama chenye rasilimali fedha sa kutosha kuendesha kampeni ,alafu simply tu unakuja hapa eti lissu atashinda 70% unawajua watanzania wewe..!
 
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.
Yupo mgomea anaedhani wapiga kura wanatumia akili za kuvukia barabara hawawezi hata kuyatambua maneneo ya kinafiki
 
Umesahau. Yupo mgombea anayeungwa mkono na kupendelewa na marefa, maadili na sheria za uchaguzi, vyombo vya dola, na mahakama; dhidi ya mgombea anayeungwa mkono na kuhurumiwa na wapiga kura.
Kwa utafiti upi ? Mgombea yupi ana hurumiwa na wapiga kura?? Unafikili kupigwa risasi ndo kutampa huyo mtu wenu Urais?.. Never sio kwa Tanzania na watanzania sio wajinga kiasi hicho!.
 
M
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.
M
Mmmmmmhh
 
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.

Chadema wakimudu kusimamia kura zote kwa uhalali isipotee hata moja, hakika LISSU atashinda kwa 70%.
Kuna changamoto kubwa sana ya mawakala wetu, wengi wanaendeshwa na njaa hivyo anaweza uza ushindi wa jimbo au kura za kituo kizima kwa sh, milioni 2 tu. Hili ni tatizo kubwa sana, linahitaji dawa
 
Back
Top Bottom