Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ana marafiki wa kificho, Rais Magufuli ana maadui wa kificho

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ana marafiki wa kificho, Rais Magufuli ana maadui wa kificho

Asilimia 70 za kutoka wapi ? Kwa watanzania!?.. Acheni kudanganyana na kufarijiana mitandaoni humu ! Lissu hana kifua cha kushindana na Jpm !.
Jiwe ana kifua kipi? Labda kifua cha polisccm.. na NEC..else ni mwepesi kama karatasi.. Mamvi tu alimshinda 2015.. ashukuru mapolisi na NEC..
 
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.
JFs imesaidia kukuza ubora wa watu. Miala mitano hiiilificha vichwa. Hili ni bandiko bora kabisa wiki hii
 
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.
Dkt Magufuli ana PHD wakati Bwana Lisu ana Masters tu.
Mpaka hapo Magufuli kashashinda urais
 
Jiwe ana kifua kipi? Labda kifua cha polisccm.. na NEC..else ni mwepesi kama karatasi.. Mamvi tu alimshinda 2015.. ashukuru mapolisi na NEC..
Ajawahi shinda chochote bila kubebwa si ubunge si uraisi,mbebaji Mungu kampenda zaidi,hoja za ushawishi Hana kingine zaid ya mabeberu, SGR, ndege,stiglers, flyover.Sijui nachingwea,korogwe, tarime utawaambia nimejenga flyover,ndege,sgr watakuelewa
 
Dkt Magufuli ana PHD wakati Bwana Lisu ana Masters tu.
Mpaka hapo Magufuli kashashinda urais
🤣🤣🤣🤣.. phd fake ile wewe.. hana akili stahiki ya kuweza kupambania huo mfupa.. mzee wa kubebwa, kabebwa kila mahala..
 
Ku update ni kwa wale waliohama makazi kumaanisha kama mwaka 2015 ulikuwa moshi na mwaka 2020 Uko Pwani basi unaenda ku update kama umehamia Pwani na Kura utapigia Pwani. So haikuzuii kurudi kituo ulichopigia kura mwaka 2015 kama kweli una kadi ya mpiga kura.
Mwaka 2015 nilikuwa Njombe na nilipigia kura njombe, mwaka huu Nipo Songea na sikuupdate kuwa nimeamia Songea. Hivyo October 2020 nitarudi Zangu Njombe kupiga kura pale nilipopigia 2015.
Si wengi wanaweza kusafiri sababu ya uchaguzi tu ..........na hapa kati+corona watu hali ziliyumba kimtindo wengi wamerelocate makazi.........kupiga kura kwa wengi hasa vijana ni wazito halafu afunge safari kwa ajili ya kupiga kura siku 1 tu kwa wengi ngumu
 
Si wengi wanaweza kusafiri sababu ya uchaguzi tu ..........na hapa kati+corona watu hali ziliyumba kimtindo wengi wamerelocate makazi.........kupiga kura kwa wengi hasa vijana ni wazito halafu afunge safari kwa ajili ya kupiga kura siku 1 tu kwa wengi ngumu
Kaulimbiu ya mwaka huu ni kuwa tutasafiri. Bora nisafiri nikapige kura na kuzilinda ili ashinde mtu Mwenye Sera Nzuri zitakazowezesha vijana kupata ajira na kufanya maisha kuliko nisisafiri kupiga kura ashinde mtu ajayeharibu uwekezaji na kupelekea vijana tukose ajira huku akitubambikia makesi na kutupiga risasi tusiyeendana na mawazo yake. Hapana kwa kweli.
 
Kaulimbiu ya mwaka huu ni kuwa tutasafiri. Bora nisafiri nikapige kura na kuzilinda ili ashinde mtu Mwenye Sera Nzuri zitakazowezesha vijana kupata ajira na kufanya maisha kuliko nisisafiri kupiga kura ashinde mtu ajayeharibu uwekezaji na kupelekea vijana tukose ajira huku akitubambikia makesi na kutupiga risasi tusiyeendana na mawazo yake. Hapana kwa kweli.
Acha tuone hapo kwenye kupiga kura na kuzilinda kama kwa sasa kutakua na strategy mpya
 
Acha tuone hapo kwenye kupiga kura na kuzilinda kama kwa sasa kutakua na strategy mpya
Mbon case study zipo. Mwaka 2015 wabunge wa Chadema maeneo kadhaa walitangazwa na wasimamizi wa uchaguzi pamoja na figisu baada ya nguvu ya umma kufanya kazi. Sasa mwaka huu mpango ndo huo. Ni nguvu ya umma tu!
 
Mbon case study zipo. Mwaka 2015 wabunge wa Chadema maeneo kadhaa walitangazwa na wasimamizi wa uchaguzi pamoja na figisu baada ya nguvu ya umma kufanya kazi. Sasa mwaka huu mpango ndo huo. Ni nguvu ya umma tu!
Uchaguzi wa serikali za mitaa ulikatisha wengi morali ..............
 
Hakika umenena.
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.
 
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.

Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.

Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS CHADEMA. Ni uchaguzi Kati ya Tundu Antipus Lisu na John Pombe Magufuli.

Kwa sababu ya upekee huo, uchaguzi wa mwaka huu hautaamliwa kwa kushindanisha sera za wagombea, bali utaamliwa kwa kushindanisha sifa za wagombea.

Hapa Kuna aina mbili za wagombea. Yupo mgombea mwenye uchovu mwingi dhidi ya mgombea mwenye shauku nyingi.

Yupo mgombea mwenye kuitawala dhamiri yake mwenye dhidi ya mgombea mwenye kufungwa na dhamiri yake mwenyewe.

Yupo mgombea anayependa kuwatisha wenzake dhidi ya mgombea asiyezoea wala kuogopa kutishwa!

Yupo mgombea anayejua matatizo yetu hata kama hatujayasema dhidi ya mgombea anayependa kuahirisha matatizo yetu hata kama tumeyasema hadharani.

Yupo mgombea anayehisi na kuamini kwamba baya lolote likitokea ni hujuma za ndani au nje ya nchi dhidi ya mgombea anaye tambua kuwa makosa yetu ya kimfumo na kitaasisi ndicho chanzo kikuu cha mabaya tunayoyapata.

Yupo mgombea anayeamini hawezi kukosea, na akikosea husingizia wasaidizi wake au watangulizi wake dhidi ya mgombea anayeamini binadamu hatujakamilika, na kufanya makosa ni kuukamilisha utukufu wa MUNGU wetu aliye wema Sana.

Yupo mgombea anayeamini kuwa kila baya ni la watangulizi wake dhidi ya mgombea anayetambua mchango wa kila mtu katika ujenzi wa TAIFA letu. Uongozi ni pamoja na kurithi makosa ya wenzako.

Yupo mgombea mwenye uwezo wa kujenga nchi dhidi ya mgombea mwenye uwezo wa kujenga taifa.

Yaani ujenzi wa miundombinu mingi, sio ujenzi wa taifa. Kuna barabara zingine zinajengwa bila sababu. Nyingine zinaelekea makaburini.

Yupo mgombea anayechukia wakosoaji dhidi ya mgombea anayechukia makosa.

Yupo mgombea anayetenda anasema kila kitu dhidi ya mgombea anayetenda hasemi.

Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.

Yupo mgombea mwenye marafiki wengi wa kificho dhidi ya mgombea mwenye maadui wengi wa kificho!
Marafiki wa kificho ni wale wanakuunga mkono bila wewe kuwajua. Wapo tayari kulala njaa ili wewe ule na ushibe!

Maadui wa kificho, ni wale ambao wanakuunga mkono unapokuwepo na kuongoza mashambulizi ya aibu dhidi yako unapo wapa kisogo!

Hawa wapo wengi. Na wapo kila pahala. Wapo kwenye nyumba za ibada, wapo maofisini, wapo mtaa wa Lumumba, wapo kwenye vikao vyetu vya ndani!

Ndugu zangu, uchaguzi huu ni Kati ya nguvu ya maono dhidi ya nguvu za kufoka na kufokeana.

Uchaguzi huu utusaidie kutenganisha yafuatayo:

Ubabe sio ujasiri. Udhaifu sio busara wala hekima. Kufoka foka hovyo sio Uwajibikaji. Kujipendekeza sio uzalendo! Kupenda serikali sio kupenda nchi. Ujenzi wa nchi siyo ujenzi wa taifa.

Ndimi mkulima wa Bamia, bonde la mto Simiyu - Magu, Mwanza.
Watu wasome na kulielewa bandiko hili lako, ni zaidi ya kampeni iliyorahisishwa (simplified) hadi katika level ya kindergarten
Asiyeelewa hapa atakuwa kaamua tu kutoelewa
dhana halisi ya upinzani

Barikiwa sana
 
Uchaguzi ungekuwa mitandaoni mgombea wako angeshashinda tayari.
Bandiko halilengi kuchagua nani atashinda na yupo atashindwa, ni kutanabaisha tu upinzani unataka nini na kwa ajili ya nani
 
Si wengi wanaweza kusafiri sababu ya uchaguzi tu ..........na hapa kati+corona watu hali ziliyumba kimtindo wengi wamerelocate makazi.........kupiga kura kwa wengi hasa vijana ni wazito halafu afunge safari kwa ajili ya kupiga kura siku 1 tu kwa wengi ngumu
kwani hao waliotakiwa ku update ni wa upinzani peke yake hata ccm si wapo pia?
 
Back
Top Bottom