Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ana marafiki wa kificho, Rais Magufuli ana maadui wa kificho

Unaruhusiwa kuota ndoto za mchana ili ujifurahishe.
 
Subirini baada ya siku 40 ndiyo mjitathimini na huyo mpiga kelele wenu, alizoea kulala masaa 20 kwa siku sasa atatakiwa kuamka saa 10 usiku na kulala saa sita usiku. Kama atahimili hizo 40/60 mtakuja hapa mtuambie hayo mnayosema.Chezea presidential campaign!!!!!!!!!
 
Kuna mgombea mmoja angalau anajaribu kueleza ataifanyia nini Tanzania mpaka anatamani Tanzania iwe kama ulaya.
Lakini kuna mwengine anaacha kueleza ataifanyia nini nchi yetu anabaki kupayuka hovyo kila kukicha.

Huna sera kajambe hko ulaya na wewe
 
Asilimia 70 za kutoka wapi ? Kwa watanzania!?.. Acheni kudanganyana na kufarijiana mitandaoni humu ! Lissu hana kifua cha kushindana na Jpm !.
 
Yupo mgombea mwenye kumbukumbu nyingi kuliko ndoto dhidi ya mgombea mwenye ndoto na maono mengi kuliko kumbukumbu.
Nimeipenda sana hii, jamaa hana kumbukumbu zaidi ya maono ya Tanzania kuwa kama Ulaya, yaani aanzishe na kurasimisha ushoga.
 
Hivi ni mtu mmoja au chama kimoja chenye mamilioni ya wanachama na wafuasi mkuu!?
 
Tukutane October 2020 ndugu. Lissu ndo Raisi wako kuanzia 2020 upende usipende.

Huyo Magufuli wako aliyoyafanya yanayooneka ni kuharibu uwekezaji, bei ya sukari, uchumi wetu kuepelekea watu wengi kukosa ajira, kuharibu biashara na kufanya wafanyabiashara wengi zaidi kufunga biashara, kupapendelea Chatto kwa maofisi makubwa, uwanja wa ndege na mbuga, kupiga watu risasi na kubambikiwa watu wasiomuunga mkono makesi kama kina Idris Sultan, Wanasiasa wa Chadema , Erick kabendera, mdude nyangali, Tito Magoti n.k
 
 
Mkapa aliwauzia watz dhahabu feki rangi halisi kila mtz ameshaiona
 
Nadhani wewe ndo huelewi concept. Miaka 5 ya Jiwe imeshuhudia watz zaidi ya million 4 wakiwa mafukara kabisa, biashara zao zikifa na ajira zao zikikoma.. hilo siyo dogo.. si la kubeza.. mabarabara au reli hata wakoloni walijenga, lakini hakukuwa na namna ilibidi watimliwe.. ndo litakalomkuta Jiwe muda si muda. Kwa mateso tuliyopata tunasema "Never Again".
Tusubiri
 
Naiona ccm ikiwa mtegoni sasa hivi. Inaonesha mwaka huu wamenasa mtegoni. Ukimya wao unamaanisha wapo chimbo wanafikiria namna ya kujinasua na mtego wa mamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…