Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ana marafiki wa kificho, Rais Magufuli ana maadui wa kificho

Sidhani kama PM au VP, kinana makamba,watampa kura
 
Yule mzee atafanyiwa figisu pale nyerere foundation. Huyu jamaa sio binadamu
 
uchambuzi murua nkaribu hapa kikuyu tunapanga mipango ya kesho.
 
Nakumbuka weekend ile zilitapakaa habari za jamaa mmoja kuwa amezungukwa na wingu la mauti namna lilivyojaza bashasha kwenye nyuso za watu.
 
Mkuu hao marafiki wa kificho na maadui wa kificho wengi wao wanajitambua ndo kundi linaloenda kupiga kura kwa hasira, na hawawez kukosa kupiga kura, kwa akili ya kawaida iv kinana anaweza mpigia kura jiwe

Aisee...

Hili swali,

"...Hivi Kinana au Nnape Moses Nauye ama Makamba Jr na Sr kwa pamoja wanaweza kumpigia kura Jiwe...?"

ni zuri sana....

Wanaweza kumpigia kama kura ni ya wazi kwa kupanga foleni nyuma ya mgombea au kama kura ni ya kunyoosha mikono/vidole juu....!!
 
Mkuu hakuna ulichobakiza hòngera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…