Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Haowalioitwa wezi nawewe mmechafuliwa kama unaonahivyo mpelekeni mahakamani mkishindwa basi nikweli usirudie tenakuandika ujinga huu naukijuwa lisu nimwanasheria kiherehere chako nini peleka huko huko
 
Hatupo mahakamani,tupo kwenye jukwaaa la siasa where anything goes!

Unataka haki nenda mahakamani!

Wao wanavyotukana akina Lissu yeye Lissu sio mtu nyie ndio watu sana zaidi ya wengine?

Sijui nyie majitu mnatoka wapi aisee.....such a bunch of clowns!
 
Lisu anasema" Ameshalegea" kwani kusema mtu fulani aliyekuwa jiwe amelegea ni tusi?
 
Sheria inakuwa kwa lisu tu? vp wale wapo mahabusu mpk leo?

HAKI NI HAKI, HAO UNAOWASEMA WAMEONEWA TENA SANA, KAMA WANA HATIA YOYOTE AU WAMEFANYA KOSA, SHERIA WAPELEKWE MAHAKAMANI, NA HATA HIVYO KESI YAO SIO YA KUWEKWA RUMANDE, WNASTAHILI MDHAMANA. HAPA KUNA KUONEANA, HATA KAMA NI SEREKALI YA CHAMA CHANGU, HAPA WAMEKOSEA NA WANAWADHULUMU HAWA WANANCHI
 
Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair.Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
Hivi wewe huwa unafuatiliaga siasa kweli? Ni Magufuli mwenyewe ndiye anayejiita Jiwe. Hivyo kuna ubaya gani akiitwa Jiwe na mtu mwingine hali ya kuwa ni yeye mwenyewe ndiye aliyejipa jina hilo?
 
Kwa muda wa miaka mitano Meko alijiona kama mfalme ambapo alikuwa hatajwi kwa ubaya. Ila tangu kampeni zianze nadhalilika sana kwa maana uovu wake wote unaanikwa hadharani na huyu mwamba wa Singida (Lissu)
Mtukufu alizuia siasa kwa miaka mitano huku yeye na CCM yake wakifanya mikutano bila zuio lolote, akaamini kuwa kazuia madhaifu yake yasitangazwe kumbe hakujua wapinzani wanaweka kumbukumbu za miaka mitano na sasa wanasema vyote ikiwemo kuwanyanyasa watumishi wa umma kutowapa nyongeza za mishahara na kuwapandisha madaraja kwa miaka mitano,
 
Hivi wewe huwa unafuatiliaga siasa kweli? Ni Magufuli mwenyewe ndiye anayejiita Jiwe. Hivyo kuna ubaya gani akiitwa Jiwe na mtu mwingine hali ya kuwa ni yeye mwenyewe ndiye aliyejipa jina hilo?
Watetezi wa CCM sasa wamepagawa hata majina yao wenyewe wanayakataa na kuwapakazia wapinzani, Tatizo kubwa kwa CCM ni kukosa watetezi wa maana mitandaoni
 
Tundu Lissu shikilia hapo hapo baba - MATAGA washaanza kulia huku.

sisi wapiga kura tunakuelewa sana....
Watanzania wameamka sana wamegundua CAG kwenye utawala huu hafanyi kazi kwa mujibu wa Sheria bali hufanya kazi kwa mujibu wa Maelezo tokea kwa mtukufu ndiyo maana CAG hajawahi kukagua hesabu za ununuzi wa Ndege
 
Back
Top Bottom