Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Bila kusahau kuihamisha burigi kinguvu kuipeleka chato yanatuuma ila tunanyamaza
 
Mkuu Mkirindi , kwenye kumchagiza Tundu Lissu ndiye agombee na Magufuli, kuna kitu nilisema Lissu ni zaidi ya Magufuli ila sikukisema ni nini!.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Kufikia tarehe 28 October , kitaeleweka
P

Ndugu Pascal, Imenibidi nirudie kuisoma tena article yako ya UCHAGUZI 2020, Nimekuelewa and am open for more education. Infact you have hit the point, na mambo yanaenda kama ulivyo TABIRI. TL ameendelea kuvutia watu wengi kwenye campaign zake, hadi kagera, alikuwa anayazungumzia mapungufu ya awamu ya tano , The guy has guts and he is an orator. lakini ameanza kuvuka mipaka ya ustaarabu na uwanasiasa wa maadili mema.

Infact ukiangalia rekodi ya utendaji wa magufuli kwa hii miaka 5, Mazuri yake ni mengi zaidi ya makosa yake.

Ningependa kusoma mawazo yako: Lets azume TL Ameshinda, serekali atakayounda itakuwaje. Its something I have been wondering about, knowing the NJAA ya Chama chake na Viongozi wa chama chake, kweli HAZINA ZA NCHI YETU ZITAKUWA SALAMA?
 
Ukishamtenganisha Lissu na tukio la risasi hana kingine cha maana anachoweza kukuelezea kuhusu maendeleo
Wewe nani alikutuma ukampige risasi? na ulitaka ukimpiga risasi akae kimya ili iweje? wewe hapo ulipo una chuki kubwa dhidi ya Lisu hata akuelezee nini juu ya kutekeleza maendeleo utaishia kubisha tu, CCM wameleta maendeleo yapi? Miradi yote mikubwa ina ufisadi 10%za wajanja wachache huko CCM
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi...
Mkapa si alikiri mwenyewe kuwa yeye na wasaidizi wake waliiba fedha za EPA ili wagharamie uchaguzi wa 2005?
 
Hivi Magufuli ana vinasaba vya Malaika?

Mbona wajinga hamtaki kuisha?

Mnaitesa serikali ipange bajeti ya elimu kwa watoto na majitu makubwa kama wewe.
 
Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
Jiwe si alijiita mwenyewe hilo jina unataka sisi tumwiteje?
 
Wapi pia zile 1.5tril za Wizara ya Kigwagwalaaaa
Pia zipo wapi bilion 252 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, kipo wapi kivuko cha Dsm Bagamoyo?
 
Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair
Ndo kaitwa jiwe Sasa. Mtafanya nn Lisu mwanasheria mbobezi. Risasi 16 zimeshindwa kumuua, mahakani atawabwaga asubuhi na mapema.

Jiwe: CCM hoiiiii... Wangapi mtanipa kura hapa?
Wahaya: HATUKUTAKIIIIII.

Shikamoni wahaya wote Tanzania
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi...
Wagombea wote kwenye hiyo saccos lugha chafu ndio lugha yao. Lissu anataka akajifunzie uongozi ikuku chamwino seriously?. Akajipange mwaka 2040.
 
hakuna uongo jpm ni mwizi wa fedha za umma sema sheria hairuhusu ashitakiwe akiwa bado madarakani
 
Wagombea wote kwenye hiyo saccos lugha chafu ndio lugha yao. Lissu anataka akajifunzie uongozi ikuku chamwino seriously?. Akajipange mwaka 2040.
ingekuwa ni saccos msingekuwa mnahangaika kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwahujumu kuwanyanyasa na sasa mmekuja na ushetani mpya wa kupita bila kupingwa, Mbona huyo wa sasa kajifunzia ikulu hakuwahi kuwa kiongozi mzuri huko nyuma, meli ya samaki ilitia hasara Serikali, kivuko cha Dsm Bagamoyo alitia hasara Serikali zipotea bilion 252 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, jipange wewe mwaka 2040
 
Pia zipo wapi bilion 252 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, kipo wapi kivuko cha Dsm Bagamoyo?
Zile billion mwenyekiti wa saccos alizouza chama mwaka 2015,umezisahau?. Je zile za wabunge waliokuwa wanakatwa mbona hamhoji mwenye chama. Kama kuna wapigaji, saccos namba Moja. Endeleeni kukusanya michango, kwenye hizo nyomi.
 
Unaongelea presumption of innocence kwa mtu mwny immunity utaprove mahakama ipi... cha msingi hapa ni kuambiana ukwel direct vitu vingine sio vya kuficha...
 
Mwacheni Lisu aongee anacho taka maana ni sehemu ya tiba kutokana na yaliyompata.

Chaajabu anaita marais wote waliopita ni wezi ila wakati huo alisimama jukwani bila aibu kumnadi Lowasa na sasa karibia wataungana na membe na kuanza kuiva chungu kimoja.

Chadema hawajawahi kuwa serious ndio maana ikulu wataisikia kupitia account twiter ya kigogo
 
Back
Top Bottom