Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
We ni mpu...Rais alijiita mwenyewe Jiwe!
 
Kwenye like tetemeko michango ilifika bil 900? Bill gates alitoa bil 200? Kuhusu kutumika si zilikarabati majengo ya serikali! Au hufahamu? Acha kupinga kila kitu
Yaan kwa maelezep haya tu eti umelizika walitoa wapi data za athar ya tetemeko na wakatuonesha pale rehabitation ya kila athar iligharimu sh ngap

MNAPIGWA SN TU
 
Dawa imewaingia eeeh? Ndo mana tunataka tubadirishe mfumo wa utawala wa nchi hii maana nchi hii sasa kwa mfumo huu viongozi pekee ndo watakaokuwa na ukwasi wa kutisha huku wananchi wengi wakiwa masikini wa kutupwa. Ndo mana CCM mnalishwa matango pori kukataa mfumo mpya wa utawala wa nchi hii maana viongozi wetu wa sasa wanatumia mfumo huu huu kutubabua vibaya sana!

Mwambieni Magufuli arudishe ardhi ya watu aliyopora na kujianzishia ranch.
Dawa yenu ni October 28 tu!
[/QUOTE

Usipoteze muda wako kuandika haya uwezo huo hamna labda baada ya miaka 100 ijayo
 
Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.

Hili "jiwe" mwenyekiti wenu alijiita yeye mwenyewe TL yeye ana refer tu
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.

Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Raisi Magufuli Mwizi pamoja na MaRaisi wote waliopita isipokuwa Nyerere.

Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.

Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach
Nani asiyejua kuwa marais wote, ispokuwa Nyerere, walijitajirisha wao na ndugu zao isivyo kihalali. Huyu naye ameishapiga za kutosha mpaka kumfukuza CAG na kuweka ndugu zake wa karibu katika taasisi mhimu za kifedha na kiusalama. lissu yataje majizi yote yaaibishwe
 
Dawa imewaingia eeeh? Ndo mana tunataka tubadirishe mfumo wa utawala wa nchi hii maana nchi hii sasa kwa mfumo huu viongozi pekee ndo watakaokuwa na ukwasi wa kutisha huku wananchi wengi wakiwa masikini wa kutupwa. Ndo mana CCM mnalishwa matango pori kukataa mfumo mpya wa utawala wa nchi hii maana viongozi wetu wa sasa wanatumia mfumo huu huu kutubabua vibaya sana!

Mwambieni Magufuli arudishe ardhi ya watu aliyopora na kujianzishia ranch.
Dawa yenu ni October 28 tu!

Tunajua mnatamani sana kuingia ikulu na ni haki yenu, ni bahati mbaya kwamba tayari mmesha feli kukamata dola, sababu zitazowafelisha ni ilani yenu. Kinachowafelisha ni hiki hapa;

!) kujipambanua kwamba serikali yenu haitakusanya kodi badala yake mta weka dhamana rasilimali za nchi ili muweze kukopa pesa za kuendesha serikali. hapa mme score 0%

ii) Kuanzisha utawala wa majimbo ambao kwa tafsiri ya haraka ni kwamba serikali za majimbo ziundwe na wenyeji wa kanda ile ni kurudisha ukabila na halitawezekana kwa sababu ya mchanganyiko ya makabila ambayo yamehama kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Hapa tegemea mtifuano wa kikabila ambao hautamalizika na mwisho wake ni kugawana mbao. Mfumo huu pia utaleta changamoto kaatika kugawanya the little resources of the country. Hapa mtapata 0% score

Kwa ujumla ilani yenu ina mapungufu mengi sana kwani matarajio mliyoyaweka hayatekelezeki, nadhani ilani ilitayarishiwa bara tofauti na bara la Afrika

Kwa hayo mawili hapo juu tayari mmeikosa ikulu hata kambi rasmi ya upinzani bungeni hamtaipata. Tusubiri tarehe 28/10
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.

Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Raisi Magufuli Mwizi pamoja na MaRaisi wote waliopita isipokuwa Nyerere.

Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.

Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach
usiongee kama zwazwa la lumumba SIKILIZA HII HABARI UKAMJULISHE NA MUME WENYU
 
Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
Ni nani alimuita mwenzie jiwe? Huyo mwenzie si alishajinasibu kuwa yeye ni "jiwe kweli kweli"?
 
Tunajua mnatamani sana kuingia ikulu na ni haki yenu, ni bahati mbaya kwamba tayari mmesha feli kukamata dola, sababu zitazowafelisha ni ilani yenu. Kinachowafelisha ni hiki hapa;

!) kujipambanua kwamba serikali yenu haitakusanya kodi badala yake mta weka dhamana rasilimali za nchi ili muweze kukopa pesa za kuendesha serikali. hapa mme score 0%

ii) Kuanzisha utawala wa majimbo ambao kwa tafsiri ya haraka ni kwamba serikali za majimbo ziundwe na wenyeji wa kanda ile ni kurudisha ukabila na halitawezekana kwa sababu ya mchanganyiko ya makabila ambayo yamehama kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Hapa tegemea mtifuano wa kikabila ambao hautamalizika na mwisho wake ni kugawana mbao. Mfumo huu pia utaleta changamoto kaatika kugawanya the little resources of the country. Hapa mtapata 0% score

Kwa ujumla ilani yenu ina mapungufu mengi sana kwani matarajio mliyoyaweka hayatekelezeki, nadhani ilani ilitayarishiwa bara tofauti na bara la Afrika

Kwa hayo mawili hapo juu tayari mmeikosa ikulu hata kambi rasmi ya upinzani bungeni hamtaipata. Tusubiri tarehe 28/10
Hapa unapotosha..ninyi bado mnaona watanzania ni wajinga sivyo? Huo mfumo wa mkoa mkoa umekua uchocho wa kupeana ulaji wa Chama chenu kwa mda mrefu. Hamuezi kukubali Sera ya majimbo just bcoz hyo itaondoa ulaji wenu. Kuanzia ukuu wa mikoa,wilaya,ukurugenzi nk. Tunataka pesa ztakazoseviwa kwenye mavieo haya yasiokuwa na tija ziende kwenye maendeleo ya watu.

Mungu bariki Tanzania mpya itakayojali utu wetu!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
Mkuu magufuli alijiita mwenyewe jina la jiwe pale ubungo,usimsingizie Lissu
 
Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
Sawa mkuu, tuwe wakweli na tuwatetee hata wale wapigwa na wananchi wenye hasira kali. Wengine hawana hata makosa. Tuwatetee wote

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom