minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Hizo zilikuwa propaganda za kishamba lakini wizi upo CCM ndiyo maana CAG alitolewa kafaraZile billion mwenyekiti wa saccos alizouza chama mwaka 2015,umezisahau?. Je zile za wabunge waliokuwa wanakatwa mbona hamhoji mwenye chama. Kama kuna wapigaji, saccos namba Moja. Endeleeni kukusanya michango, kwenye hizo nyomi.