Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Kuna masheikh wako jela miaka 7 sasa, mbona serikali imeshindwa kupeleka ushahidi mahakamani?

Wafanyabiashara wanabambikiziwa kodi ili kuwatemesha mpunga...
Kama ni kweli, ni haki Bagonza awe na chuki naye kwa kupora ardhi ya wana Karagwe. Vifo vya wenzao waliotangulia viwafunze kuwa hawataondoka na chochote kati ya hivi wanavyopora, na hii ndiyo imempa heshima kubwa sana mtangulizi wao Mwl Nyerere.
 
Alie itwa mwizi akanushe mwenyewe kampuni ya mayanga na mengineyo kaa kwa kutulia mkuu mnyolewe make lisu anatufumbua macho tulikua hatujui wengi

KUNA MAMBO HATA SIE WA CCM HATUYAKUBALI, KWA MFANO UWANJA WA CHATO, SGR KUPELKWA MWANZA BADALA YA KIGOMA, NA HATUKUHITAJI LISSU ARUDI NA KUTUELEZA. MAZURI NA MABAYA YA AWAMU HII TUNAYAJUA, LAKINI INASIKITISHA KUJUA KUNA WATU AMBAO WALIWEZA KUJUA BAADA YA LISSU KURUDI, INAMAANISHA VIONGOZI WA CHAMA CHAKO WAKO DHAIFU SANA, NA HAWANA UZOEFU WA KISIASA NA HAWAYAJUI MAJUKUMU YAO.

MBONA YOTE HAYA YALIZUNGUMZWA BUNGENI NA AKINA ZITTO, AU MASIKIO YENU HAYASIKII SAUTI NYINGINE ZAIDI YA SAUTI YA LISSU
 
Katika maisha yangu..huu ndy utawala na mtawala mkuu nimeshuhudia akitukana matusi hadharani wazee wetu ambao ni wafanyakazi mchana kweupe. Bila kujali kuwa lugha hyo inasikilizwa na watoto nchi nzima. Katika kipindi ambacho watoto ama watu wamejifunza kauli mbaya sana basi ni kipind cha mtawala huyu.

Mtoa mada je hajawah kusikia maneno makali toka kwa mtawala hyu mpaka Leo uone kuwa yeye ni mstaarabu? Wewe huna masikio? Kwani nikisema wewe ni mwovu ama mwizi na wewe hujakanusha tuhuma zako kweny platform za kisiasa je si utakuwa umekubali? Siasa ni nguvu ya hoja yako msigeuze Matusi baada ya kusemwa ukweli eboo!

Tuliwambia msibane wapinzani mtakuja juta sasa angalieni Mchakamchaka huu..hakna cha vijana wala wazee kujibu hoja hizi za Mpinzani Matata Tundu !!Hakika Tundu ni mtundu amewaweka Tunduni Kitundu!!Mungu bariki Tanzania mpya itakayojali utu wetu na haki zetu!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kila kitu kinainyooshea kidole serikali hii. Pamoja na TL kusema mpwa wa Magufuli, Dotto James kuwa mtoaji mkuu wa pesa za serikali na kubuni uwanja wa Chato kama njia ya kujipatia pesa kupitia Mayanga Construction ambayo mmiliki wake ameoa nyumba moja na Magufuli bado Magufuli yupo kimya kukanusha.
 
Watetezi wa CCM mitandaoni hawaleti mada kwa lengo la kuisaidia CCM bali huleta mada hovyo hovyo tu ili mradi mtukufu aone wapate uteuzi ndiyo maana hoja za watetezi wa CCM mitandaoni huwa hazina maana mda wote.
 
Lissu haongei bila ushahidi.

Mpelekeni mahakamani athibitishe.
 
Mkuu Mkirindi , kwenye kumchagiza Tundu Lissu ndiye agombee na Magufuli, kuna kitu nilisema Lissu ni zaidi ya Magufuli ila sikukisema ni nini!.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Kufikia tarehe 28 October , kitaeleweka
P
Ujue pasco kwa miaka mitano hii jiwe alikua anaimbwa kwa mapambio ya kusifiwa tu, sasa toka kampeni zianze TL anazungumza maneno pengine hatujazoea kwa miaka mitano hii, watu wanashangaa wanaona kama TL anatukana kumbe tofauti, hata jiwe mwenyew akiwa jukwaani anadai TL anamtukana kwasababu kazoeshwa kusifiwa tu, daah
 
Tatizo kila kitu kinainyooshea kidole serikali hii. Pamoja na TL kusema mpwa wa Magufuli, Dotto James kuwa mtoaji mkuu wa pesa za serikali na kubuni uwanja wa Chato kama njia ya kujipatia pesa kupitia Mayanga Construction ambayo mmiliki wake ameoa nyumba moja na Magufuli bado Magufuli yupo kimya kukanusha.
Doto katibu mkuu wizara ya pesa ni mtoto wa nje wa mtukufu ukitaka ukweli mpigie huyu 0715132277 sele anamjua vizuri atakupa story zote kwani anajua udhaifu mwingi wa mtukufu
 
Lugha chafu na za kichochezi ni zipi?
Matusi yapo CCM ingawa sasa wameanza kuzidiwa hoja toka upinzani wameamua kutengeneza propaganda za kishamba kuwa wametukanwa
 
Unataka kusikia lugha nzuri tamu kutoka kwa Lissu lakini kuendelea kumwita yeye Kibaraka wa Mabeberu mnaona sawa. Mkuki ni mtamu unapomwelekea Nguruwe, ukigeuziwa unaanza kupiga mayowe!
 
Kheri James mwenyekiti wa UVCCM - Ndugu wa Jiwe

Dotto James - Paymaster wa serikali, Ndugu wa Jiwe, mtoto wa dada

Mwenye Mayanga Construction - Ndugu ya Jiwe, wameoa nyumba moja

Waziri wa Nishati, Medard Kalemani - Ndugu ya Jiwe, Mtoto wa dada

Sasa kama mtu analeta undugunazation namna hii serikalini, si ni kitalu cha kuotesha ufisadi serikalini?
 
Unataka ushahidi gani wakati Mkapa keshatoa ushahidi kwenye kitabu chake kwamba waliiba pesa kwaajili ya uchunguzi. Mahakamani umepeleke nani wakati hata Majaliwa, Ndungai na jaji mkuu tu hawashitakiki sembuse Rais? Kwa hiyo habari ya guilty or not guilty is not applicable! Ni kutwangana hivyo hivyo tu.
 
Watanzania wameamka sana wamegundua CAG kwenye utawala huu hafanyi kazi kwa mujibu wa Sheria bali hufanya kazi kwa mujibu wa Maelezo tokea kwa mtukufu ndiyo maana CAG hajawahi kukagua hesabu za ununuzi wa Ndege
Hapo ndipo penye shida!
 
Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair.Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
kuhusu jiwe yeye mwenyewe alijiita hivyo akimaanisha kuwa yeye ana misimamo katika maamuzi yake na ukimshauri ndio kabisaa unamwagia maji zege anakaza zaidi,sio tusi kwa kuwa yeye anapenda atambulike hivyo
 
Ukishamtenganisha Lissu na tukio la risasi hana kingine cha maana anachoweza kukuelezea kuhusu maendeleo
 
Back
Top Bottom