Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
His voice vows everywhere.......huyu mtu ana nguvu ya ajabuNi Tundu Antipas Lisu kila kona 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
His voice vows everywhere.......huyu mtu ana nguvu ya ajabuNi Tundu Antipas Lisu kila kona 🐼
Kuna watu wanasema Rais Samia ni mtu wa HAKI!!Tundu Lissu anachodai ni haki zake. Wals haombi huruma kwa mtu.
Ohooooo! Si umeskia lakini wanasema amegombana na ma samia kisa kumnyima gari?Lissi ameishi marekani kwa zaidi ya Miaka minne wewe ukiwa bado unalala kwa baba Yako. Sidhani kama ni mshamba wa magari
Pesa za kununua goli Moja Kwa ml 10 zinapatikana,Shida ya ngozi nyeusi ni kupenda kufanya vitu kwa hisani hata vile vilivyo vya haki,na anaye dai haki huonekana mjuaji au mchochezi ni upumbavu kushindwa kumlipa mtu tahiki zake sababu ya chuki na husuda.
Ndio maana watu weupe huwa ona Waafrika kama sio binadamu aliye timia sababu ya upumbavu wake.
NB:Hata mzee Kawawa alikuwa chawa wa Nyerere.
Kiukweli sisi wafrica tuna shida kubwa sana.Ndio maana watu weupe huwa ona Waafrika kama sio binadamu aliye timia sababu ya upumbavu wake.
Mama Samia anazungukwa na watu wemye roho mbaya.Kuna watu wanasema Rais Samia ni mtu wa HAKI!!
Sasa mtu aliyeshambuliwa na wasiojulikana akiwa mbunge kutolipa Hadi sasa haoni hiyo ni fedheha?
Na juzi katoa 10m kama sadaka kwa Mwamposa,hili taifa lina viongozi wa ajabu sana.Pesa za kununua goli Moja Kwa ml 10 zinapatikana,
Kumlipa mtu aliyejeruhiwa akiwa mbunge inakuwa nongwa!!
Si Kweli,Mama Samia anazungukwa na watu wemye roho mbaya.
KAZI IPO!!Na juzi katoa 10m kama sadaka kwa Mwamposa,hili taifa lina viongozi wa ajabu sana.
"Mwafrika hawezi kujitawala" Botha
Siku mwafrika akishida vita juu ya ubinafsi wake,ndo atakuwa amefika hatua kubwa ya ustaarabu nje na hapo ni turmoil.Kiukweli sisi wafrica tuna shida kubwa sana.
Yaani kumfanyia mtu kitu amachostahili mpaka akupigie mgoti ndio ujisikie raha.
Tuna mapungufu mengi.
Wanao mzunguka Rais Samia ni reflection ya namna gani alivyo,toka lini mtoto wa chui akazaa paka.Mama Samia anazungukwa na watu wemye roho mbaya.
Ndugai Si Spika nw;
Ofisi ya Bunge IPO wazi, kwanini hajalipwa?
Ugumu uko wapi?
Unamaanisha file la madai ya matibabu ya TUNDU Lissu, litakuwa nyumbani Kwa Spika mstaafu Ndugai?Anaweza tu kusaidia kujibu haya maswali ingawa hayuko ofisini. Hapa sio mahakama ya sheria, ni mahakama ya maoni ya jamii. Nakukubali pia mwisho wa siku ofisi ya bunge inatakiwa itoe ufafanuzi.
Tukumbushe jibu la mnafiki mkubwa ndugai. Siku hizi ameficha kichwa sijui kama anajua kichwa tu ndio kimefichika ila mwili mzima uko nje!Watu walipohoji kuhusu gharama hiyo kubwa, unalikumbuka jibu la Ndugai?
Common sense is not common.Unamaanisha file la madai ya matibabu ya TUNDU Lissu, litakuwa nyumbani Kwa Spika mstaafu Ndugai?
Fikra sahihi huja Kwa lugha sahihi.Common sense is not common.
AsahauIkiwa TUNDU Lissu, Mwanasheria msomi, aliyewahi kuwa mbunge, anadai pesa ya matibabu miaka 7 sasa,
Hivi Mwananchi kijijini asiye na uelewa wa Sheria aliyeporwa ardhi ataipata Kweli HAKI yake?