Nafikiri huwa kuna utaratibu wa malipo, makaratasi ya kujazwa na boss wake na viwango sijui kama ulifuafutwa.
Ila akipewa itakuwa safi sana maana niliona kama vile mguu mmoja ni mfupi ashakuwa mlemavu hafai tena ubunge wala urais ila kuwa mkiti wa saccoss yao ni vyema sana badala ya kuongozwa na DJ.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.