Tundu Lissu anadai pesa ya matibabu kiasi Gani, na kwanini hajalipwa hadi Leo?

Tundu Lissu anadai pesa ya matibabu kiasi Gani, na kwanini hajalipwa hadi Leo?

Kuna watu wanasema Rais Samia ni mtu wa HAKI!!

Sasa mtu aliyeshambuliwa na wasiojulikana akiwa mbunge kutolipa Hadi sasa haoni hiyo ni fedheha?
Kusema Samia ni mtu wa haki, siamini. Labda tuseme ana-act kuwa mtu wa haki.

Alimweka Mbowe ndani kwa uonevu, na kama isingekuwa sauti za mataifa makubwa, sijui angemsotesha Mbowe jela kwa muda gani!!

Aliyesimamia shambulio dhidi ya Lisu, anafamika, badala ya kutoa maelekezo uchunguzi ufanyike ili wahusika wafikishwe mahakamani, akaamua kumpa madaraka mtuhumiwa mkuu.

Kajitwalia rasilimali za nchi, na kuwagawia watu anaowataka yeye. Kawaondosha wamasai kwenye ardhi yao ya asilia na kuwapeleka mamia ya kilometa, kwa vile tu mwarabu aliyepewa Ngorongoro hawataki wamasai kwenye eneo alilozawadiwa.
 
Kusema Samia ni mtu wa haki, siamini. Labda tuseme ana-act kuwa mtu wa haki.

Alimweka Mbowe ndani kwa uonevu, na kama isingekuwa sauti za mataifa makubwa, sijui angemsotesha Mbowe jela kwa muda gani!!

Aliyesimamia shambulio dhidi ya Lisu, anafamika, badala ya kutoa maelekezo uchunguzi ufanyike ili wahusika wafikishwe mahakamani, akaamua kumpa madaraka mtuhumiwa mkuu.
Umenikumbusha pia kesi ya uhaini wa kina Dr Slaa!!

Miaka hii minne yametokea mambo mazito sana tena Kwa Kasi ya ajabu!!

Mungu atujalie 2025 akabidhi salama.
 
Umenikumbusha pia kesi ya uhaini wa kina Dr Slaa!!

Miaka hii minne yametokea mambo mazito sana tena Kwa Kasi ya ajabu!!

Mungu atujalie 2025 akabidhi salama.

Ni kweli. Fikiria mtu anatetea rasilimali za nchi yake, halafu anatengenezewa kesi ya uhaini ili asihoji uovu waliotendewa wananchi.
 
Apewe pia gari mpya baada ya gari yake kumiminiwa risasi na wasiojulikana.
 
Anayo haki kwa asilimia 100 kurudishiwa gharama zote za matibabu kwa sababu alikuwa bado ni Mhe. Mbunge wa Singida Mashariki. Wasipomrudishia asonge Mahakamani.
 
Anayo haki kwa asilimia 100 kurudishiwa gharama zote za matibabu kwa sababu alikuwa bado ni Mhe. Mbunge wa Singida Mashariki. Wasipomrudishia asonge Mahakamani.
Bunge ni mhimili unaojutegemea,

Kulipeleka bunge mahakamani ni kuingilia Bunge.
 
Unafahamu gharama ambazo bunge lilitumia kumtibu Ndugai India? Unafahamu kuwa zaidi ya gharama ya matibabu, hata wanafamilia wake waliokuwa naye kule India walikuwa wakiishi hoteli ya nyota 5, na walikuwa wanalipwa posho ya dola 500 kwa siku?

Watu walipohoji kuhusu gharama hiyo kubwa, unalikumbuka jibu la Ndugai?
Sijaona pahali popote pale panaposema mada hii inamhusu Job Ndugai.

Niulize tu, Tundu Lissu alitibiwa ama hakutibiwa? Na nani?
 
Nikisema kuwa wanaochelewesha malipo, walidhamiria asitibiwe,

Nitakuwa nimekosea?

Ndio. Utakuwa umekosea.


Ukweli ni kwamba alitibiwa.

Kwamba "walidhamiria" asitibiwe ni madai yasiyo na mashiko- haina uhalisia ama ukweli wowote ule.
 
Ndio. Utakuwa umekosea.


Ukweli ni kwamba alitibiwa.

Kwamba "walidhamiria" asitibiwe ni madai yasiyo na mashiko- haina uhalisia ama ukweli wowote ule.
Ni Kweli alitibiwa?

Swali ni kuwa, alitibiwa kama mbunge?
 
Shida ya ngozi nyeusi ni kupenda kufanya vitu kwa hisani hata vile vilivyo vya haki,na anaye dai haki huonekana mjuaji au mchochezi ni upumbavu kushindwa kumlipa mtu stahiki zake sababu ya chuki na husuda.

Ndio maana watu weupe huwa ona Waafrika kama sio binadamu aliye timia sababu ya upumbavu wake.

NB:Hata mzee Kawawa alikuwa chawa wa Nyerere.
Uko sahihi kabisa kuna watu wamefika mahali mpaka wanaogopa kudai haki zao eti tu watakuwa termed as wachochezi mara wanaharakati majina kibao
 
Wamefuta Uzi wa kuchangia Lissu gari, mwenye zile AC namba aweke hapa michango iendelee.

@cc Tindo
 
Mkuu unauliza jibu?

Kwa maana hiyo anataka alipwe fedha kwakuwa alikuwa Mbunge. Ama mhanga, ama vyote. Haya.

Je, ingepunguza gharama? Je, matokeo ya matibabu yake awe ni mbunge ama Laigwanan, yangebadilika?
Narudia,

Ni wewe uandikaye, au simmu Iko hacked?
 
Salaam, Shalom!!

Nimesoma Uzi ulioletwa na Roving Journalist unaohusu jibu la TUNDU Lisu kukanusha tuhuma dhidi yake zilizoibuliwa na mwana JF. Soma: Lissu ajibu tuhuma za kunyimwa gari pamoja na fedha na Rais Samia, asema hajawahi kuomba 'favour' yoyote kutoka kwake

Nimelazimika kuuliza swali Hilo hapo juu baada ya kusoma madai ya Mh Tundu Lissu kuhusu matibabu yake aliposhambuliwa hayajalipwa Hadi Leo.

Kwa kuwa pesa anazodai Mh Tundu Lissu Si Mali binafsi ya kiongozi yeyote serikalini Bali ni pesa itokanayo na Kodi za wananchi na Iko kisheria kwamba matibabu ya mbunge hugharamiwa na Serikali chini ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

1. Swali LANGU Kwa Mh Lissu, anadai kiasi gani?

2. Swali Kwa Serikali, Kwanini TUNDU Lissu hajalipwa pesa zake za matibabu Hadi sasa?

Karibuni🙏

Hata mtu asiposema hapa, lakini ukweli ni kuwa lazima zitakuwa pesa nyingi sana...

Huyu mtu alikuwa ni mfu eti wakati ule...

Gharama ya kurejesha uhai wake na kuukarabati mwili wake uliokuwa umechakazwa na risasi zile hata kuwa hivi alivyo leo bila shaka ni kubwa sana na bado anaendelea na matibabu (regular check ups)...

Lakini wapende au wasipende, ni lazima siku moja watamlipa tu haki yake...

Job Ndugai na John P. Magufuli nafsi zao zinawasuta na kuwahukumu huko walipo.

Ndugai bado yupo hai. Mwenzake tayari alishakufa na kumuacha waliyejaribu kumuua akiwa hai na kupumua kwa afya yake...

Ndugai atubu kabla hajafa. Akifa na dhambi hii, asije akamlaumu Mungu. Itakuwa ni ujinga wake kwa kushindwa kurekebisha kwa toba ya ukiri wa mambo yake akiwa hai...
 
Hata mtu asiposema hapa, lakini ukweli ni kuwa lazima zitakuwa pesa nyingi sana...

Huyu mtu alikuwa ni mfu eti wakati. Gharama ya kurejesha uhai wake na kuukarabati mwili wake uliokuwa umechakazwa na risasi zile hata kuwa hivi alivyo leo bila shaka ni kubwa sana...

Lakini wapende au wasipende, ni lazima watamlipa tu...

Job Ndugai na John P. Magufuli nafsi zinawasuta huko walipo. Ndugai bado yupo hai. Mwenzake tayari alishakufa na kumuacha waliyejaribu kumuua akiwa hai na kupumua kwa afya yake...

Ndugai atubu kabla hajafa. Akifa na dhambi hii, asije akamlaumu Mungu. Itakuwa ni ujinga wake..
Waliomshoot wapo hai nadhani.
 
Hata mtu asiposema hapa, lakini ukweli ni kuwa lazima zitakuwa pesa nyingi sana...

Huyu mtu alikuwa ni mfu eti wakati. Gharama ya kurejesha uhai wake na kuukarabati mwili wake uliokuwa umechakazwa na risasi zile hata kuwa hivi alivyo leo bila shaka ni kubwa sana...

Lakini wapende au wasipende, ni lazima watamlipa tu...

Job Ndugai na John P. Magufuli nafsi zinawasuta huko walipo. Ndugai bado yupo hai. Mwenzake tayari alishakufa na kumuacha waliyejaribu kumuua akiwa hai na kupumua kwa afya yake...

Ndugai atubu kabla hajafa. Akifa na dhambi hii, asije akamlaumu Mungu. Itakuwa ni ujinga wake..
Muhimu watu tuchangie kwenye AC zilizopo,

Apate pesa ya kununulia gari jipya, na airudishe gharama .

Tukichangia 2,000 Kila Mmoja, wakapatikana watu 2,000,000, atapata 4bn.
 
Muhimu watu tuchangie kwenye AC zilizopo,

Apate pesa ya kununulia gari jipya, na airudishe gharama .

Tukichangia 2,000 Kila Mmoja, wakapatikana watu 2,000,000, atapata 4bn.
Tutafanya hivyo..

Huyu mtu ni wa muhimu sana..

Watu makini hawangependa kumuona akipata taabu katika kuongoza mapambano ya kupigania uhuru wa pili wa Tanganyika toka kwa mkoloni mweusi aitwaye CCM
 
Tutafanya hivyo..

Huyu mtu ni wa muhimu sana..

Watu makini hawangependa kumuona akipata taabu katika kuongoza mapambano ya kupigania uhuru wa pili wa Tanganyika toka kwa mkoloni mweusi aitwaye CCM
Sasa thread za kumhusu Lissu kuchangia anunue gari zinafutwa Ili iweje!!

Tatizo nn Lissu kuchangia anunue gari?
 
Back
Top Bottom