Ndio story ulizopewa hizo kanisani kwenu?Sali salam maria 10
Kabisa tena siku ya ubatizo mwaka 1961Ndio story ulizopewa hizo kanisani kwenu?
Wanasemaga God's timing is perfect,,,,,,sipati picha waasisi wa hili taifa wangekua na akili kama zako , hii nchi ingekua kama somaliaHapana. Huo ulikuwa ni mpango maalum uliosukwa na Waislam.
Hiyo kura ingefanywa inavyotakiwa nyerere, wakuja, angeshindwa vibaya sana na mtoto wa mjini na mwenyeji wake Abdul Sykes.
Mipango mingi ingeharibika.
Sababu za kufanya hivyo zipo nyingi, sikiliza video hiyo juu hapo na msome Alama Mohamed Said
Pole sana , Maria hajamfundisha mtu Sala wala hamna mahali alikuwa na hiyo salaKabisa tena siku ya ubatizo mwaka 1961
Haha kwakweli na Mungu wa kweli huwapigania watu wake,, bali miungu ndo inataka watu waipiganiePole sana , Maria hajamfundisha mtu Sala wala hamna mahali alikuwa na hiyo sala
Ukiacha kukosea mwaka, vipi kuhusu ukweli wa hoja yake?TUNDU LISSU AKUMBUSHA UCHAGUZI WA PRESIDENT WA TAA KATI YA ABDULWAHID SYKES NA JULIUS NYERERE 1953
Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika.
Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili demokrasia alisema kuwa mara ya mwisho nafasi ya urais kugombewa katika TANU ilikuwa 1954 Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere walipogombea urais wa TAA.
Lissu amekosea mwaka.
Uchaguzi ule ulikuwa mwaka wa 1953.
View: https://youtu.be/KH2tQw7TYec
Eryt...Ukiacha kukosea mwaka, vipi kuhusu ukweli wa hoja yake?
Haha kwakweli na Mungu wa kweli huwapigania watu wake,, bali miungu ndo inataka watu waipiganie
Na akayashinda mauti, ....ndo maana ukiita jina lake ile mifugo yenu yote inatoka nduki.........huyo ndo bwana grandmaster anajulikana tokea enzi.......mbona upande huo mnapewa busti na wagiriki kwa sasa......Mbona alishindwa kujipigania mwenyewe akamkumbuka Mungu wa kweli kwa kusema huku akilia, Mungu Wangu mbona umeniwacha?
Safi sana! Asingesema hivyo wangeendelea kuwasema Chadema.TUNDU LISSU AKUMBUSHA UCHAGUZI WA PRESIDENT WA TAA KATI YA ABDULWAHID SYKES NA JULIUS NYERERE 1953
Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika.
Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili demokrasia alisema kuwa mara ya mwisho nafasi ya urais kugombewa katika TANU ilikuwa 1954 Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere walipogombea urais wa TAA.
Lissu amekosea mwaka.
Uchaguzi ule ulikuwa mwaka wa 1953.
View: https://youtu.be/KH2tQw7TYec
Aliyashimda maiti kumbe alikuwa na Mungu yeye hakuwa munguNa akayashinda mauti, ....ndo maana ukiita jina lake ile mifugo yenu yote inatoka nduki.........huyo ndo bwana grandmaster anajulikana tokea enzi.......mbona upande huo mnapewa busti na wagiriki kwa sasa......
Haha usilolijua ni sawa na usiku wa giza,,,,nendeni mkapiganie mito ya pombe na mabikiraAliyashimda maiti kumbe alikuwa na Mungu yeye hakuwa mungu
Haha usilolijua ni sawa na usiku wa giza,,,,nendeni mkapiganie mito ya pombe na mabikira
Wa surat al bakalaOf course ndio Paulo akawaingiza mkenge ,
Eti unaabudu yesu yupi wa mathayo au wa Luka ??
Wa surat al bakala
Eryt...
Sina la kusema kwenye hoja.
Bakala ndiye Nani tena ? Au ni huyu
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
Luka 22.42-43
Hapa tunaona mambo matatu muhimu:
Yesu anamwomba Mungu. Yesu anamwabudu Mungu. Wawili hao ni mbali mbali, na vyeo vyao ni mbali mbali. Yesu ni mtumwa mnyonge mwenye kuomba na kuabudu. Na Mungu ni Mwenyezi Mungu mwenye uwezo wote na mwenye kustahiki kuabudiwa pekee, hata na Yesu, mwenye kutakiwa msaada pekee, hata na Yesu.
Mapenzi ya Mungu ni mbali na yale ya Yesu. Yesu hataki kuuliwa, ananyenyekea na kuomba kwa Bwana wake: "uniondolee kikombe hiki" cha mauti. Yesu hana azma hata chembe ya kufa msalabani, kifo cha mhalifu, kifo cha laana kama maadui zake Mayahudi walivyoazimia kumpatilisha nacho. Lakini anakiri kuwa ni mapenzi ya Mungu sio yake yeye yatendeke. Yeye hana hila wala nguvu za kuzuia kudra ya Mwenyezi Mungu.
Yesu, Mwana wa Adamu, anakata tamaa. Imani inampunguka. Kavunjika moyo. Ikabidi "Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu."
Jee, yaelekea kuwa Yesu ndiye Mungu? Yaelekea kuwa yeye na Mungu kuwa ni sawa? Kama upo wasiwasi wo wote wa kujibu hayo, mwenyewe Yesu anajibu kama anavyo hadithiwa na Yohana kuwa kasema:
Baba ni mkuu kuliko mimi.
Yohana 14.28