Tundu Lissu Anakumbusha Uchaguzi wa Urais wa TAA Kati ya Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere 1953

Mbona unatuletea Yesu Mkikuyu , Marehemu Wanyonyi? Yule mzungu wa Roma umemwacha
🤣nani kakwambia Yesu alikua mrumi,,,,,,warumi wahuni ndo waliwaanzishia huo uislam kwa maslahi yao hata huyo mtume wenu alitumika na warumi, hamjaelewa kwanini uislam ulianza baada ya miaka 600 ya kuzaliwa kristo......na wazee walikua wanatembea na code yao ya 666,,....na mlivyokua wajinga mnadhani ukristo ni wa warumi tu,,,,,,kuna warusi kuna wagiriki kuna wa Ethiopia ambao hawafungamani na warumi,,,,mnatembea kwenye njia za mkoloni ambao hao ndo walikua majeshi ya warumi,,, na hamjiulizi kwanini kwenye mgawanyo wao wa makoloni Italy akapewa Ethiopia na mziki ukamshinda.....

Na bado huko kwenye maeneo yenu pakichafuka mnakimbilia kwenye nchi za warumi badala ya kukaa kwa ndugu zenu wa kiimani
 
Bakia na Marehemu mungu wako Wanyonyi.
Kumbe Mkatoliki alianzisha uislamu ? Mbona uislamu unakataa Yesu si Mungu wala hakusulubiwa na kufa kifo cha laana msalabani?
Au hayo ndiyo mafundisho ya Mchungaji wako Nabii Tito?
 
Huwa namdiscredit mtu yoyote yule bila kuangalia wajihi wa kielimu aliojinasbisha nao
Pale tu anapoanza kuleta mihemko ya kidini katika mada zinazohitaji fikra huru na tunduizi katika kuzidadavua....
RELIGION FANATICS nawaza sema ndo viumbe wenye uwezo mdogo wa kufikiri kuliko hata funza wa chooni
 
Huwa namdiscredit mtu yoyote yule bila kuangalia wajihi wa kielimu aliojinasbisha nao
Pale tu anapoanza kuleta mihemko ya kidini katika mada zinazohitaji fikra huru na tunduizi katika kuzidadavua....
RELIGION FANATICS nawaza sema ndo viumbe wenye uwezo mdogo wa kufikiri kuliko hata funza wa chooni
 

Unamdiscredit , wewe kama nani ??? Au wewe ni Mwenyekiti wa CCM wa tawi??
 
Unamdiscredit , wewe kama nani ??? Au wewe ni Mwenyekiti wa CCM wa tawi??
Haha haahaha we
CCM ndo nini?kuna maisha nje ya Ccm na Cdm,yanga na simba,islam na christianity
Sasa we kaza fuvu endelea kulimit imagination capacity yako ndani ya box
 
Haha haahaha we
CCM ndo nini?kuna maisha nje ya Ccm na Cdm,yanga na simba,islam na christianity
Sasa we kaza fuvu endelea kulimit imagination capacity yako ndani ya box

Hvyo ulivyoandika tu , hizo ndizo tabia za ma CCM , wewe utakuwa ni kijana kada wa chama

sasa jibu swali

Unamdiscredit , wewe kama nani ???
 
Hvyo ulivyoandika tu , hizo ndizo tabia za ma CCM , wewe utakuwa ni kijana kada wa chama

sasa jibu swali

Unamdiscredit , wewe kama nani ???
hahahha kumbe hujasoma hata nilichoandika?
Mtu yeyote hasa wafia vyama vya siasa,dini na wengine kama wewe wanaodhani wanajua kila kitu.
Mi si mwana chama wa chama chochote cha siasa maana vyote
Havina sera wala itikadi iliyo hai
NA MTAJI WAO NI WANACHAMA WASIO JUA ITIKADI WALA SERA YA VYAMA VYAO...
 
Wa kariakoo ndiyo uite Tanganyika!
Njinjo,
Waasisi wa African Association 1929 6 wametoka Kariakoo na 3 Mission Kota:
  1. Kleist Sykes (Kariakoo)
  2. Ibrahim Hamisi (Kariakoo)
  3. Mzee Bin Sudi (Kariakoo)
  4. Zibe Kidasi (Kariakoo)
  5. Ali Said Mpima (Kariakoo)
  6. Suleiman Majisu (Kariakoo)
  7. Cecil Matola (Mission Kota)
  8. Raikes Kusi (Mission Kota)
  9. Rawsom Watts (Mission Kota)
Unaweza kusoma historia hii katika Modern Tanzanians: ''The Townsman Kleist Sykes,'' na Daisy Sykes Buruku (1973) John Iliffe (Ed).

Hawa ndiyo waliyoiamsha Tanganyika mwaka wa 1929 kisha Waislam wakaunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 na vyama hivi viwili vikawa vinapambana na ukoloni wa Muingereza.


 
Acha uongo!
 
Acha uongo!
Njinjo,
Historia hiyo inatoka katika mswada wa kitabu alichoandika Kleist Sykes kabla ya kifo chake 1949.

Mswada huu ulikuwa mikononi mwa Abdul Sykes hadi 1968 mswada huo ulipofikishwa kama seminar paper University of East Africa na Aisha Daisy Sykes akiwa mwanafunzi wa historia chuoni hapo chini ya John Iliffe.

Iliffe akatumia paper hii kama moja ya sura katika kitabu, ''Modern Tanzanians.''
 
Ukianza kumzungumzia Sykes ndipo unaonekana mahoka. Jitahidi katika andishi lako ukwepe hilo jina. Nasema hivyo kwanini? Sykes alikuwa mpinzani wa Nyerere kama ilivyo sasa Chadema na CCM. Wewe ni mtu mzima nadhani utakuwa umensoma
 
Ukianza kumzungumzia Sykes ndipo unaonekana mahoka. Jitahidi katika andishi lako ukwepe hilo jina. Nasema hivyo kwanini? Sykes alikuwa mpinzani wa Nyerere kama ilivyo sasa Chadema na CCM. Wewe ni mtu mzima nadhani utakuwa umensoma
Njinjo,
Ukimkwepa Abdul Sykes katika maisha ya Nyerere itaachwa historia muhimu sana.

Abdul Sykes hakupata kumpinga Nyerere na ushahidi ni kuwa mikutano yote ya ndani na vikao vya mikakati ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes mtaa wa Stanley na Sikukuu.

Nyerere akihudhuria vikao hivi.

Si hilo tu.

Nyerere alipoacha kazi ya ualimu alihamia nyumbani kwa Abdul Sykes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…