Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaporomosha wafuasi wa Magufuli kila saa kila siku kwa kasi ya ajabu, JK anaingia rasmi ulingoni kupambania jahazi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaporomosha wafuasi wa Magufuli kila saa kila siku kwa kasi ya ajabu, JK anaingia rasmi ulingoni kupambania jahazi

Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
mnajitahidi kudanganyana,kashindwa lowassa mwenye shoka ataweza lissu na wembe kuangusha kisiki cha mpingo?
 
Kwa ile intervew ya Jana Lissu ni akili kubwa sana

Magufuli atapata tabu sana njia pekee ilikuwa ni kumkata Kama walishindwa kumkata ndio imetoka hiyo mpaka Ikulu.
Balaa
IMG_20200828_203405.jpeg
 
Huwezi kufikiri kama ni yule wa miaka mitano iliyopita. Any way acha anyooshwe na mimi nasema na anyooshwe tu maana hakuna namna sasa. Alijimwambafai kipita kiasi
Na akipenya safari hii akaleta ujuaji wake wa miaka mitano hii ajue 2025 anaiweka ccm pabaya sana
 
CCM wajaribu mkutano mmoja bila wasanii kama hawajabaki wale wa meza kuu tu
 
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Jk alimuogopa enzi zile sasa hivi anakuwa Rais itakuwaje?
Jk anamjua Lissu vizuri anatamani awe upande wa Lissu sema miradi yake itakwama.
 
Jiwe lilipiga marufuku watu kufanya siasa kwa miaka5. Lilibaki lenyewe uwanjani likiropoka ropoka hovyo, likadhani limefanikiwa.
Halikuwahi kufikiri kuwa chuma Lissu atarudi nchini, kidume kuliko yeye.
Sasa lilikuwa limeshazoea likizungumza halijibiwi likajiona kidume, sasa hivi karudi kidume kutoka kwa mabeberu, anatandika mule mule, likizungumza pumba zake zinajibiwa kwa hoja takatifu, limeishiwa pozi maana lilikuwa linafikiri linaheshimika kwa kutojibiwa
Wamebwabwaja sama miaka 5 leo wanaanza kulia lia na ndio kwanza wiki moja tu ya kampeni
 
Tusibitishie.
hana uthibitisho huyo, porojo tu. Upinzani sasa ndo umeimarika mara 10 ya awali mpaka tume, polisi, usalama, wakurugenzi wameungana lakini hawafui dafu, ogopa sana wananchi wakiamua wameamua$!
 
Kwa bahati mbaya sana Kikwete hana ushawishi wowote , 2015 alipoongoza kampeni Magufuli aliambulia patupu , 3 unusu dhidi ya zaidi ya 10 za UKAWA
Wacha ajilete ulingoni apigwe za uso.. maana naye anayo ya kuanikwa
 
Lisu Akili kubwa Sana,he deserve to be The President.Ana kitu kikubwa sana na ndo sababu Mungu amemuweka hai mpaka leo.Yaani amepangilia kile ataenda kutufanyia Watanzania na ndo tunachokitaka.Sema Nina wasiwasi na Michezo ya CCM,hawawezi kubali wale
 
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Poleni kuna mgombea wenu amejitoa sasa CCM imepita bila kupingwa!
 
Lisu Akili kubwa Sana,he deserve to be The President.Ana kitu kikubwa sana na ndo sababu Mungu amemuweka hai mpaka leo.Yaani amepangilia kile ataenda kutufanyia Watanzania na ndo tunachokitaka.Sema Nina wasiwasi na Michezo ya CCM,hawawezi kubali wale
May be President of Ufipa Saccos!
 
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Umeandika saa4.00 asubuhi huu uzi tupe tathmini saa hizi kwa kuxingatia nyomi ya Lissu Dodoma leo.Shida yenu mko jf twetter na fb.Field kimenuka Lissu ndebendebe.Subirini
 
Umeandika saa4.00 asubuhi huu uzi tupe tathmini saa hizi kwa kuxingatia nyomi ya Lissu Dodoma leo.Shida yenu mko jf twetter na fb.Field kimenuka Lissu ndebendebe.Subirini
Rudi shule wee bwege , hii nyomi ni naniliu ya Nani? Angalia hiyo nyomi Kama Ni ya kubebwa
IMG-20200904-WA0172.jpg
 
Kwa ile intervew ya Jana Lissu ni akili kubwa sana

Magufuli atapata tabu sana njia pekee ilikuwa ni kumkata Kama walishindwa kumkata ndio imetoka hiyo mpaka Ikulu.
Kushindwa kupo pale pale,kumkata pia walishindwa na kwenye sanduku la kura pia atawashinda straight.Mbinu pekee iliyobaki kwa CCM Mpya ni wizi wa kura,huko napo hatukubali kuibiwa kura.Tuliposema Sasa Basi tunamaanisha hivyo.
 
KUNA WATU MNATEMBEA NA AKILI ZA KUVUKIA BARABARA NA KUFUGIA NYWELE.
HIVI MTOA POST UKO MAKINI NA UNACHOKISEMA?
KIPI KINACHOKUONGOZA KWAMBA WAFUASI WA CCM WANAPUNGUA AU HUFUATILII KWINGINE ZAIDI YA KUSHINDIA HUMU MTANDAONI.
HAYA DODOMA HIYO LEO LISSU [emoji116]
JamiiForums389780329.jpg
JamiiForums1103051282.jpg
FB_IMG_1599242739619.jpg
 
Back
Top Bottom