Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaporomosha wafuasi wa Magufuli kila saa kila siku kwa kasi ya ajabu, JK anaingia rasmi ulingoni kupambania jahazi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaporomosha wafuasi wa Magufuli kila saa kila siku kwa kasi ya ajabu, JK anaingia rasmi ulingoni kupambania jahazi

Chama hakina wagombea makini wa ubunge
Mgombea wa urais hana uwezo wa kuutengeneza wabunge kimkakati
Chama hakina pesa

Kampeni za Lisu ni za kurukaruka, Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, leo Dodoma! Na kite huko anapita kwa kuhutubia mikutano mmojammoja!
Siasa ni sayansi bro!
We sayans ya siasa unayoijua ni ipi...?
 
Chama hakina wagombea makini wa ubunge
Mgombea wa urais hana uwezo wa kuutengeneza wabunge kimkakati
Chama hakina pesa

Kampeni za Lisu ni za kurukaruka, Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, leo Dodoma! Na kite huko anapita kwa kuhutubia mikutano mmojammoja!
Siasa ni sayansi bro!
mazuzu ya ccm bwana kwa hiyo sayansi ya kukariri ya ccm ndio unaijuwa wenzako wanakwenda kwenye makao makuu ya kanda zao tuliza hayo makalio yako kwanza
 
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Yaani nafurahi sana mnavyojipa moyo!
 
Tume yanini tukimaliza kupiga kura tunaweka kambi kwenye vituo karibia vyote Tanzania tunataka matokeo tunajumlisha na kumpata Rais muda wa kufika saa 1 jioni tunaanza maadamano nchi nzima kushinikiza aapishwe mapema

Mwaka huu Ni jino kwa jino sijuwi polisi watakuwa katika Hali gani kutudhibiti

Hawatatuweza maana tutakesha na kushinda nje mpaka pale atakapotangazwa .
Ila tujihadhari lile li Hutu linaweza kuagiza tumiminiwe risaso za moto!
 
Kwa bahati mbaya sana Kikwete hana ushawishi wowote , 2015 alipoongoza kampeni Magufuli aliambulia patupu , 3 unusu dhidi ya zaidi ya 10 za UKAWA
Atafanya makaburi yafukuliwe bora angejipu.zikia zake tu kila mtu apambane na hali yake
 
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
JK hana muda kivile na huyu mzee swaiba wa magu ni Ben mkapa aliyetupisha kwa uchaguzi wa mwaka huu
 
Kampeni za Lisu ni za kurukaruka, Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, leo Dodoma! Na kite huko anapita kwa kuhutubia mikutano mmojammoja!
Siasa ni sayansi bro!
Ngoja tukuelimishe wewe robot la Lumumba. CHADEMA wanazindua kwanza kwenye kanda ndiyo maana unaona anafanyia mikutano yake kwenye makao makuu ya kanda. Baada ya hapo ndipo waanze kupita jimbo kwa jimbo, bampa kwa bampa! Umeelewa wewe kalio la panzi?
 
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
kiboko yenu hawa
 

Attachments

  • IMG_2631.MP4
    5.3 MB
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.

Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.

Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.

Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!

Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.

Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Mambo yamebadilika tena maeneo ya kanda ya ziwa watu wamechoka na sera za ccm angalia hapa jinsi huu ni mkutano wa magu Bariadi leo huwezi amini licha ya mabasi na malari kabao ya kusomba watu kama unavyoona hapo lakini kampeni za magu zimekuwa kama za udiwani.
1599222478807.png
 
Tume yanini tukimaliza kupiga kura tunaweka kambi kwenye vituo karibia vyote Tanzania tunataka matokeo tunajumlisha na kumpata Rais muda wa kufika saa 1 jioni tunaanza maadamano nchi nzima kushinikiza aapishwe mapema

Mwaka huu Ni jino kwa jino sijuwi polisi watakuwa katika Hali gani kutudhibiti

Hawatatuweza maana tutakesha na kushinda nje mpaka pale atakapotangazwa .
tusubirie amri ya kutotoka nje
 
Upinzani ulishakufa tangu 2015, JPM kwasasa anafanya kampeni ili kutimiza matakwa ya Chama chake.
Rais Magufuli yuko very relaxed kwenye kampeni za mwaka huu. Hakuna ushindani kabisa zaidi ya blah blah za vijana wawili watatu JF!
 
Nilikuwa na Baba Sebuleni yeye ccm janaalikiri KUMLINGANISHA LISU NA MAGU NIKUMWONEA MAGU
Sasa dogo, kama baba yako ukazaliwa 1985, si lazima akiri maana wote ni watoto mtoto baba na mtoto mwana.
 
Upinzani ulishakufa tangu 2015, JPM kwasasa anafanya kampeni ili kutimiza matakwa ya Chama chake.
Kama upinzani haupo kwnn anafanya kampeni? c kashapita bila kupingwa Sasa anafanya kampeni za nn kwn Ni lazima??
 
Back
Top Bottom