Mzee Kikwete usikubali baba. Huyu John ndiye aliyesema unawashwa washwa ulipojaribu kumshauri.Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Kikwete usikubali baba. Huyu John ndiye aliyesema unawashwa washwa ulipojaribu kumshauri.Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga
Magu anajinadi wamejenga viwanda 8000..juzi kati niko Makumbusho stand kuna kijana kanifuata kwenye mtumba wangu wa Japan..ananiomba nauli ya kwenda anapoishi Tegeta...akanionyesha vyeti vyake vya UDSM na kafaulu poa..nilimpa nyekundu..moyoni nikasema Magu hawa vijana watakumaliza..Unajidanganya!! Unajifariji!! Lissu hatofikisha Kura hata Milion 4,
2015 kwenye kampeni mzee Kikwete alimwambia Lissu kwamba mwenye Richmond ndio huyo unae zunguuka nae nchi nzima.Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Ruvuma kambi ya CCM miaka yote..Kwa taarifa tu ndugu yangu lisu kuingia ikulu itakua ni ndoto, nasema hivyo kwakua tangu kampeni zianze, nimekua nikisafiri sana tu mijini na vijijini ninacho kiona kwa vijijini watu wote wako na magufuri, naandika ujumbe huu nikiwa ruvuma huku kuna sehemu inaitwa rituhi kwao na hayati mzee komba huku,kila mtu ninae muulizia anasema magufuri tu yaani lisu hawamjui,nasio huku tu mm nazani chadema inabidi waongezee nguvu na vijijini,wasipo fanya hivyo watakuja na habari ya kuibiwa kura kumbe wamembea kwa kuweka nguvu zaidi mijini pekeake na kusahau vijijini niushauli tu.
Si mseme tuNgoja tukuelimishe wewe robot la Lumumba. CHADEMA wanazindua kwanza kwenye kanda ndiyo maana unaona anafanyia mikutano yake kwenye makao makuu ya kanda. Baada ya hapo ndipo waanze kupita jimbo kwa jimbo, bampa kwa bampa! Umeelewa wewe kalio la panzi?
Mpaka wapi🤔? 🤣🤣🤣Kwa ile intervew ya Jana Lissu ni akili kubwa sana
Magufuli atapata tabu sana njia pekee ilikuwa ni kumkata Kama walishindwa kumkata ndio imetoka hiyo mpaka Ikulu.
Mwamba anavyovinasaba vya uongozi, ila bado naamini kama washauri ndio wamemwangusha.Mwamba hafananii ata kidg na hadhi ya u prezdaa
Hilo pia ni tatizo nakubaliana na wewe 100 kwa 100Anayoyaongea na ayatendayo ni vitu viwili tafauti kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji8][emoji8][emoji8]Jiwe lilipiga marufuku watu kufanya siasa kwa miaka5. Lilibaki lenyewe uwanjani likiropoka ropoka hovyo, likadhani limefanikiwa.
Halikuwahi kufikiri kuwa chuma Lissu atarudi nchini, kidume kuliko yeye.
Sasa lilikuwa limeshazoea likizungumza halijibiwi likajiona kidume, sasa hivi karudi kidume kutoka kwa mabeberu, anatandika mule mule, likizungumza pumba zake zinajibiwa kwa hoja takatifu, limeishiwa pozi maana lilikuwa linafikiri linaheshimika kwa kutojibiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee yeye anawaambia wapiga kura, wasichague upinzani hata kama wanafaaa.
Zimepanda, nakumbuka mlianza na Milioni 1Unajidanganya!! Unajifariji!! Lissu hatofikisha Kura hata Milion 4,
Kabaki kubadili badili maneno tu eti katukana "wafanyakazi" wakati kuna watu walijitukana wenyewe wakasema waliokotwa majalalani.Kwa ile intervew ya Jana Lissu ni akili kubwa sana
Magufuli atapata tabu sana njia pekee ilikuwa ni kumkata Kama walishindwa kumkata ndio imetoka hiyo mpaka Ikulu.