EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Angalia usije ukakatwa weweView attachment 3189926
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.
Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.
Lissu hufati sheria na kanuni za chama kazi yako ni kuropoka kila siku unataka ukae kwenye camera. Sasa umaejiweka kwenye mtego wa kukatwa jina.
Na sisi wapenda demokrasia tunasema aondolewe tumemchoka na visa vyake.