Tundu Lissu anaweza kuondolewa kwenye kinyanganyiro cha ugombea, inahitajika huruma ya mwenyekiti kumnusuru

Tundu Lissu anaweza kuondolewa kwenye kinyanganyiro cha ugombea, inahitajika huruma ya mwenyekiti kumnusuru

View attachment 3189926
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.

Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.

Lissu hufati sheria na kanuni za chama kazi yako ni kuropoka kila siku unataka ukae kwenye camera. Sasa umaejiweka kwenye mtego wa kukatwa jina.

Na sisi wapenda demokrasia tunasema aondolewe tumemchoka na visa vyake.
Angalia usije ukakatwa wewe
 
Mimi naona wewe ndiye mpumbavu kwa muktadha huu. Unataka kutuambia kuwa Ukiwa Shekhe, Padre, Askofu au mchungaji basi wewe hutendi dhambi? Muwe mnatumia akili kujibu hoja na si mihemuko.
Mpumbavu ni wewe unayejifanya unaijua katiba ya CHADEMA kuliko Makamu mwenyekiti wa CHADEMA!
 
View attachment 3189926
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.

Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.

Lissu hufati sheria na kanuni za chama kazi yako ni kuropoka kila siku unataka ukae kwenye camera. Sasa umaejiweka kwenye mtego wa kukatwa jina.

Na sisi wapenda demokrasia tunasema aondolewe tumemchoka na visa vyake.
🚮🚮🚮
 
View attachment 3189926
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.

Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.

Lissu hufati sheria na kanuni za chama kazi yako ni kuropoka kila siku unataka ukae kwenye camera. Sasa umaejiweka kwenye mtego wa kukatwa jina.

Na sisi wapenda demokrasia tunasema aondolewe tumemchoka na visa vyake.
Hivi,ukisikia jina Lissu unachukia sana?
 
View attachment 3189926
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.

Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.

Lissu hufati sheria na kanuni za chama kazi yako ni kuropoka kila siku unataka ukae kwenye camera. Sasa umaejiweka kwenye mtego wa kukatwa jina.

Na sisi wapenda demokrasia tunasema aondolewe tumemchoka na visa vyake.
Ukale mav..i huko wasafi mlikozoea kupakana kinyume
 
Weka facts za hoja yako sasa
Lissu anafanya mikutano ya live akijinadi na kuomba kura kwa wajumbe. Usiniambie uhoni anavyojaribu kushawishi watu wamchague.
Mbowe yupo kimya sababu anah shimu utaratibu.
 
Amufute kwa kutoa ushauri?acheni ujinga kwani naye mbowe ana chama huyo Mugabe, yaani kusema wawepo wasimamizi makini ni kupiga kampeni? Kweli wajinga wengi duniani
 
View attachment 3189926
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.

Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.

Lissu hufati sheria na kanuni za chama kazi yako ni kuropoka kila siku unataka ukae kwenye camera. Sasa umaejiweka kwenye mtego wa kukatwa jina.

Na sisi wapenda demokrasia tunasema aondolewe tumemchoka na visa vyake.
Safari hii mmebanwa kende
 
Back
Top Bottom