Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Lisu anakimbia kitu gani maana selikali inamuogopa?
 
Pamoja na mengine, mtu huwezi toka nje ya nchi kuja kugombea urais tu na kuondoka, hakuna mtu atakuchagua na hakuna mtu atakukabidhi nchi.
Mbowe anajuta sana sasa hivi.
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA aishiye Ubelgiji. Jipangeni 2025 mtashinda kwa kishindo.
 
Kila la kheri, Mungu akujalie kwa yote
 
Maandamano yasiyo na kikomo yameishia wapi ?Bora hata msingetaja maandamano.Wapinzani huwa mnakurupuka na kusema vitu ambayo hamuwezi timiza. Grow up.
Hatuna wapinzani Tanzania. Tuna wahuni tu wachache na wenye njaa. Period!
 
Tulikuwa hatumtafuti Rais wa Ubeligiji bali tulikuwa tunamtafuta Rais wa Tanzania na tumempata Mh. John Pombe Magufuli. Zilizobakia kwa wengine ni mbwembwe tu
 
Nenda shujaa wangu uliyoyafanya katika kampeni ni makubwa sana, ulionesha udhaifu mkubwa wa jiwe mpk akawa anaweweseka cz hakutegemea kabisa, uhai wako ni kitu cha msingi kuliko siasa uchwara za nchi hii nw
 
Mama D ukikaa kimia, itakua ni busara Sana kwanchi yako hata sie majirani zako mkuu,mpaka mda huu ,lazima kutambua kwamba Kuna Mambo hayako sawa NDUGU, hii ni crisis and I don't, which language should I use in this kind of of error,only God knows
 
Mkaambiwa andamaneni kuondoa huyo dikteta wenu mkaishia kuandamana humu jf na twitter
 

Umesema ukweli, na hiki ndicho kinkinachoumiza watu wanaipenda nchi yao.

Kwa kweli nikikumbuka siku Lowasa anajiuzulu kwa issue ya ufisadi ilivyokua shangwe kila kona ya nchi, na nikikumbuka chadema bungeni walivyoweka uchama kando wakashirikiana na spika kumbana Lowasa.

Nabaki kuwashanga chadema waliokuja kumsafisha, na hawa wa sasa wanaotuletea promo la ushoga na usagaji na kuiweka nchi rehani nashindwa kuwa mnafiki kusema kuwa Chadema bado ni chama pinzani

Chadema walishageuka kuwa madalali na vibaraka muda ila nyuma ya mgongo wa demokrasia
 
Kuna uhitaji mkubwa sana wa kufanya upgrading ya jamii kupata kizazi chenye uwezo wa kufikiri vizuri kwa mustakabali wa taifa.

Utafiti ufanyike kupata familia zenye uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo bila kufuata mkumbo halafu kila kijana ashauriwe kutafuta mwenza kutoka miongoni mwa hizo.

Kwa maoni yanayotolewa hapa, baadaye inawezekana tukashindwa kujitawala.

Mapumbavu ni mengi mno.

Jamii ikiwa na watu wengi wasioweza kujua jema na bayainaweza kujiteketeza yenyewe.
 
..he gave his all, and then some.

..it will be totally unfair kutarajia Lissu aendelee kukaa hapa nchini ktk mazingira haya ya kisiasa ya Tanzania ya Magufuli.
Mbona mwanzo mlisema hakutakalika imekuwaje sasa?
 
Mama D ukikaa kimia, itakua ni busara Sana kwanchi yako hata sie majirani zako mkuu,mpaka mda huu ,lazima kutambua kwamba Kuna Mambo hayako sawa NDUGU, hii ni crisis and I don't, which language should I use in this kind of of error,only God knows

Unataka nikae kimya kuhusu nini mkuu?
 
Daah!! Serious unaamini hivyo!!??
 
Bavicha ndio mjue kuwa mnatumika wenzenu kikinuka wanatimka kama hivi.

Unapojihusisha na lolote kuhusiana na hawa mabwana ujiulize kama na wewe utakuwepo katika nafasi aliyonayo mtu kama huyu endapo hali itaharibika.
 
Uzuri alishatuaga, kuwa baada ya uchaguzi ataondoka. Alichokosa ni nauli tu imebidi ajidai mkimbizi.
Bila shaka hukumfuatilia vizuri, manake alisema anayo tiketi ya ndege ya kurudi Belgium, kwa ajili ya medical check up.
Au ni jina Kifaurongo linasumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…