Alisema tiket yake ni 8/12/2020
Imekuwaje Tena?
Huyu mwamba muongo Sana!
Kutokuwepo maandamano kusikuvimbishe kichwa sana. Wewe fahamu tu kwamba hali sio shwari tena kama unavyojidanganya kuwa kila kitu kiko sawa!Mkaambiwa andamaneni kuondoa huyo dikteta wenu mkaishia kuandamana humu jf na twitter
Na yeye kaondoka na familia? [emoji16]
Wapi wewe, nyie ndio mliwaaminisha huku kuwa kinawaka[emoji16][emoji16][emoji16]Lissu mbabe sana kasindikizwa na vyombo venye intelligence ya juu kuliko ya Jiwe!
Pengine wame mwambia twende tune kenge atakaye kusogelea mmaeeee hao ndio beberu ukisikia wengine ni kondooo German na US[emoji119][emoji119][emoji119]
..."?We’re dealing with narcissists who have never conceded an election in the country’s multiparty history. By now, Lissu, Maalim Seif and other narcissists should know that we don’t have a place for Savimbis in Tanzania!
Wapi wewe alen kwateman.mim ndio kibibi gagula sasa, iibwe wapi ngoma imepigwa nyeupe peee. Mmechoma ushahidi uliona wapi? Kifupi watanzania mimi hushinda sana vijiwe vya gahawa wote wanasema wasingependa kuona rasilimali zetu hasa madini eti yawekwe bondiNchi hii ina watu wengi sana wasiokuwa na akili. Nyie maCCM mnataka kusema kama msingeiba kura (zile za kwenye vikapu na mabegi), Lissu akawa Rais, leo hii angekuwa anaacha Urais na kwenda Ubelgiji?
Ukweli unajulikana. Lissu kaibiwa kura. Alikoswakoswa kuuawa 2017. Baada ya kumfunua Magufuli kwenye kampeni, mzee wa visasi Magufuli anamtafuta ili ammalizie. Anaondoka kwa vile maisha yake yako hatarini. Siyo kwa sababu alipanga kufanya fujo ili akimbie.
Shangilieni tu lakini miaka 5 ijayo, mtalimia fizi. Na mwisho wa Magufuli utakuwa mbaya sana kama ulivyo wa madikteta wote.
Weka ushahidi wewe, acha hizo longolongo zako.
Poleni sana, mmeishia kuaibika tu.
..kwanini hakushikwa uwanja wa ndege wakati ana kesi mahakamani?
..tukubali kwamba serikali imesalimu amri kwa kumuacha aondoke wakati ikimhitaji akajibu mashtaka ya uchochezi.
Hao mahakama wametoa macho kumuona Tundu lissu anaondoka,walitamani asingekuwa na msafara kutoka ubalozi waUSA, Germany na BelgiumSasa kesi zake itakuwaje maana mahakama ilisema lazima awepo tarehe 3/12
"...conceed an election"? Do you even know what is an election?
..."?