Hiyo ni kawaida tu ...Huyu tulimjua mapema Tu atakimbia Nchi!!!kwendraaaaaa
Kwenye boksi la kula alishinda Ila tunajua kilichotendekaIpambanie tu familia yako, watanzania walikukataa kwenye box la kura na barabarani kwenye maandamano
Kwa MTAWALA hiyo ndiyo umuonesha kuwa mamlaka yote yapo mikononi mwake Ila kwa KIONGOZI ni lazima atafute namna ya kurekebisha mambo.Sijui mtu watu wakianza kuukimbia utawala wako namna hii hapo ulipo wewe unajisikiaje.
Inanikumbusha ile miaka ya sabini watu walivyokuwa wakikimbia utawala wa kidikteta wa Idi Amin Dada kule Uganda.
Siwezi kumjibu mtu mpumbavu kama huyu...hata siku moja..mimi katika maisha yangu sjawahi kulipwa kama huyu mimi naoshi kwa jasho langu.Msaliti na kibaraka wa mabeberu hana nafasi TZ hata kama na wewe uko kwenye group hilo sahau kuwa kiongozi TZ may be baada ya miaka 100 ijayo! Na ukazane kweli kweli kuwafundisha watoto wako ili na wao wawe vibaraka kama wewe otherwise forget about it!
Chadema mnakuaga na maswali ya vituko.Kwahiyo alikuwa anawindwa na ccm siyo serikali?
Akawaomba muingie barabarani atleast kulalamikia hii hali badala yake tunapishana kwenye barabara za Jamii forums ambako hatujuani hata majinaKwenye boksi la kula alishinda Ila tunajua kilichotendeka
Wamfanye chochote kwa kosa lipi ,acheni maneno ya maajabu,
Kwanini mkashindwa kumuunga mkono alivowaomba muingie barabarani kuaddress hii hali?Napingana na statement yako. Watanzania walimjazia Kura za ushindi. Ila NEC kwa kushirikiana na Vyombo vya Dola walipora ushindi na kutangaza walioshindwa.
Bila hata kujaribu akahujumiwa ili dunia ione! Hamna bana jamaa hawajali makamanda na nina dhani hana hamu nao baada ya makamanda kumtosa kwenye maandamanoMkuu unaishi mwezini,taratibu hapa ni uchaguzi ukiisha hakuna mikutano ya hadhara,hakuna kufanya siasa labda kwenye jimbo lako kama umefanikiwa kuupata ubunge.
Vinginevyo ni mpaka baada ya miaka mitano.
Anakimbia huku anasema sikimbii, ha ha ha duh.
Mke wake alitangulia. Baadae akaanza kutushawishi tuandamane. Je huu ni uungwanaNa yeye kaondoka na familia? [emoji16]
Jamaa anajiita mzalendo , wakt akiwa huko nje anaend kuichafua nchi, kuisemea mabaya. Usumbuliwe na wanasiasa ,huende kuikandia nchi.Anakimbia huku anasema sikimbii, ha ha ha duh.
Alimaanisha atakuwa anatoroka ila kwa kutembeaAnakimbia huku anasema sikimbii, ha ha ha duh.
Mbona aliropoka mengi tu, yamekuwa?? Cha muhimu alituaga hata tarehe haikuwa hii lakini ameondoka. Kwenda ubelgiji kama alivyosema😂😂Bila shaka hukumfuatilia vizuri,manake alisema anayo tiketi ya ndege ya kurudi Belgium, kwa ajiri ya medical check up.
Au ni jina Kifaurongo linasumbua.
Take some pain-killers & sleepLile jengo la bunge lipigwe chapa ya kijani kabisa, na vilaka vya CCM tujue kabisa.
Kile kikundi cha wahuni wa CCM kijulikane mapema.
Kumbe walitaka kulipia nchi halafu wao wasepe zao?Panya ukimuona nyumbani ukimkimbiza angalia shimo anakokimbilia huko ndio Kwao Lema na Lissu wamekimbizwa Tanzania wamekimbilia mashimo ya Kenya na Kutaka kwenda USA kwa Lema ukimbizi kwa Lema na Lissu katimukia ubalozi wa ugermani na ubelgiji huko ndiko shimo lake alikotokokea.
Mungu mwema katuonyesha watanzania panya hawa tuliowakimbiza wametokea mashimo yepi.
Toka mwanzo tuliambiwa Chadema wamiliki Ni wakenya ,wazungu na wamarekani tumeshadhibitisha wanaenda kwenye mashimo yao.