Wakati huo jiwe alikuwa kajificha wapi?Nilifurahi kuona wabunge watatu wa CCM waliondoka kwa Corona!
Mkapa ametubu alipokaribia kufa,huyu hata akitubu hatutamsamehe!Tunamuombea maisha yasiyo na furaha,afe kifo kigumu!
Tutubu kwa lipi?Ambao wanapaswa kutubu ni hayo mauaji!mmeshatubu lakini?
Kwani mlipowasahawishi watu waandamane hamkujua kwamba kuna Polisi? Acheni visingizio vya uongo?Buku Saba wa Lumumba na VPN za kuwekewa na Polepole katika ubora wao!
Maandamano hayakufanyika kwa sababu Polisi walitishia kuua raia full stop
Raia waliogopa kuuawa na jeshi lao wenyewe!
Anamgeuka nani?Mimi nazungumza kama mpiga kura wa Lissu!Hayo ya kigogo sijui nani ni juu yake,mimi hayanihusu!vp mbna kigogo anawageuka tena sasa
Jukumu la kusamehe ni la MUNGU pekee.Mkapa ametubu alipokaribia kufa,huyu hata akitubu hatutamsamehe!Tunamuombea maisha yasiyo na furaha,afe kifo kigumu!
Kama tungekuwa na viongozi wenye akili wangejitahidi kuhakikisha hawa viongozi wa upinzani wanabaki nchini.
Sasa ushindani kati ya Jiwe na Wapinzani unaenda kwenye ngazi ya kimataifa, ambako kwa kipimo chochote kile, Jiwe ni dhaifu sana.
Duuuh, jamaa kapanda maendeleo ya vitu.Tundu Lissu, aliyekuwa mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA , ameondoka nchini humo leo Jumanne kwenda Ubelgiji huku akisema “sikimbii mapambano, ila nakwenda uwanja mwingine mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu.”...
Anaweza kuwaomba msamaha watanzania aliowasababishia maumivu!Jukumu la kusamehe ni la MUNGU pekee.
Acha unafiki,mmebaki na wabunge 99.99%!Sasa hamna kisingizio!Duuuh, jamaa kapanda maendeleo ya vitu.
Unatuachia majonzi kwa kuondoka na wabunge wetu zaidi ya 70. Unatuachia mmoja tu?
Hii inaitwa Political Tourism. Unaenda nchi fulani unagombea Urais, Uchaguzi ukiisha unapanda ndege unaenda kuendelea na maisha yako.
Wale waliomuamini wote anawaona mabwege.
Leo amekumbuka kuvaa barakoa wakati kwa muda wote wa kampeni kapiga pua nje
Kwani kila anayekufa anakuwa ameuliwa na serikali??Majina ya waliouwawa yametolewa na picha tumeziona,jeshi la polisi kwanini halijakanusha?Ukweli ndio huo,wazanzibar nawashangaa kwanini kila mwaka wa uchaguzi wanakubali kupelekewa askari kutoka bara wanaenda kuua ndugu zao!
Mbona anaondoka bila kuingiza watu barabarani?
Vijana wa UV CCM wanaumia sana wanaposikia Lissu akisema mapambano yanaendeleaBora ajiondokee tu linchi limekuwa la hovyo kabisa.
Hahaha jomba Nani atoke wakati tulikuwa hatujaona familia yake ikitangulia mbele na Wao wenyewe..ulitaka watu watoke bila kiongozi.mbele yao yani kwa maana nyingine wawe chambo cha riafande..shwainnnn
Wakaandamane ubelgiji kwa waume zaoKwahio jamaa ndo anawaacha ivo ama bado mnaendelea na maandamano?
Si walishajichanganya wakaenda kumkamata ubalozini sijui nani aliwashtua lazima JK alihusika pakubwa na ndio maana wakaufyata kimya.............. tayari wa zigo zito halibebeki waongeze na lingine?Kama ni kweli Tundu Lissu ameondoka, basi serikali imetumia busara.
Serikali ingeamua kumkamata tungetumbukia ktk mgogoro wa Kidiplomasia na Ujerumani.