Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

Vitu vingine ukiona hujui maana nyamaza tuu. Hakuna msafiri wa kwenda nchi nyingine yeyote ambaye havai barakoa na kwenye ndege hata kama unakwenda mwanza lazima uvae barakoa
Uongo. Ndege za hapa bongo hatuvai barakoa siku hizi
 
[emoji38][emoji38]
Kuna watu walikuwa wa Moto humu.
Nimeshangaa kuona hawajaandamana wanapiga Domo tu kwenye keyboard
Hao wanapaswa kuhesabiwa sasa kuwa miongoni kwa mashujaa wazalendo baada ya kukataa uzushi na hila za yule mfanyabiashara na dalali wa mabepari.
 
Alitamani sana damu ya Watanzania imwagike ili awaridhishe hao jamaa zake. What a shame!
 
Sasa atajipanga saa ngapi?[emoji134]
Truth be told, hawa huwa hawajui kujipanga kabisa. Wanajua tu "ku-2-car-na" na kutengeneza matukio na kuvuruga mipango ya wengine. Ndiyo maana kila msimu wa uchaguzi wanangoja na kuwamendea wale waliokatwa Sisiemu, "war-na-war-sir-fish-a" na kuwanadi kama "war-go-mbea" wao.
 
Ndiyo maana, si ajabu, mbunge anashindwa Arusha Mjini ama Hai ama Mbeya, halafu anaondoka jimboni kwake anasafiri umbali wa "key-low-me-tar" maelfu hadi Dar eti kuwaandamanisha watu huko! Watu wa Dar waliwajibu simple tu, Hatuwajui!
 
Uzoefu unaonesha kuwa hata Oscar Kambona na Abdurahman Babu waliporejea nchini kutoka uhamishoni waligombea uongozi wa nchi na walipofeli hawakuondoka kurudi Uingereza....
Au ndio hawa Intanasheno Politishans (mithili ya flaing' doktaz, etc)!?
 
[emoji38]
Lakini Lissu ni mpinzani pure,hajachukuliwa kutoka fisiemu
 
Vitu vingine ukiona hujui maana nyamaza tuu. Hakuna msafiri wa kwenda nchi nyingine yeyote ambaye havai barakoa na kwenye ndege hata kama unakwenda mwanza lazima uvae barakoa
Sasa hivi nipo naenda Mwanza hatujavaa barakoa. Pili, suala la afya kama ni muhimu kwake angevaa barakoa muda wote wa kampeni alipokuwa hapa
 
shangaa wewe.colombia saa hiz tunasema mengine.
urongo tu kwanza kutia watu hamsha hamsha bababek kumbe ana tikit ya kurudi.
na aende akirudi atarudi na style ya kwend kakokkoo kuobgea na wafanyabiashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…