Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

Ndugu yangu hawa watu sio wazuri kabisa, afu ndio walikuwa wanatuhimiza watu tuandamane. Sasa hivi maandamano hakuna wanatukimbia. Je, maandamano ?yangekuwepo si wasingeonekana kabisa kama jasho la samaki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa uliandamana? Au unataka wao watangulie huku wewe ukiwaangalia katika Runinga, Nyumbani kwako? Kama unaona hawajatimiza wajibu wao ipasavyo wewe onyesha mfano. Hakuna mtu ambaye amezaliwa kwa ajili ya kupambania haki zako.
 

Sheria za Kimataifa ziko wazi kuhusu Ubalozi na hii ni Dunia nzima, nchi ya Ujerumani haiwezi kuzivunja hata siku moja sababu ya huyo wenu, isitoshe hata kama angekwenda Ubalozi wa Komoro asingeshikwa pia.
 
Sheria za Kimataifa ziko wazi kuhusu Ubalozi na hii ni Dunia nzima, nchi ya Ujerumani haiwezi kuzivunja hata siku moja sababu ya huyo wenu, isitoshe hata kama angekwenda Ubalozi wa Komoro asingeshikwa pia, ...
Poleni sana, mmeishia kuaibika tu. Bado mnahitaji misaada ya mabeberu.
 
Baada ya maandamano kufeli. Alifikiri watanzania wana akili za kinyumbu.
 
Serikali haina busara hii tuache kuipaka mafuta wakati imejaa kinyesi
Nadhani mkuu'Joka' kakosa neno sahihi la kutumia hapo, ikamlazimu alitumie hilo hilo la "busara" hata kama haliendani na alichotaka kuwasilisha.

Hata kichaa wakati mwingine hurudiwa na fahamu, akiona jambo/kitu hatarishi kwa uhai wake ni lazima ajiepushe na madhara. Hiyo ndio hali anayotumia dikteta wetu.

Usione kujipigapiga kifua akiwa kwenye TV ukadhani yupo tayari kukabiliana na hatari anazojua zitamwondoa kama kinyago.
 
Ni yeye,!!

[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]

Hadi huruma yani zile kelele zenu mmpeleka wapi?
Wizi mmefanya, sasa mnabembeleza wabunge viti maalum ili mtambulikane kuwa MNA vyama vya upinzani
 
Inayo hata hiyo busara ?

Kuna chama chenye busara kama CCM? kitendo cha kubadilisha tu wenyekiti inaonyesha busara za hali ya juu, sio chama flan mwenyekiti mpaka anatishia kuua watu kisa wanataka kua wenyekiti
 
Yule anaweza kufanya lolote kwa sababu hata busara kidogo hana
 
Asante whoever. Sasa Watanzania twakubalika rasmi na Shirika la Wakimbizi Duniani, kuwa wakimbizi duniani! Yote haya eti kwa sababu twataka barabara za juu!
 
Magufuli alisema wazi kuwa Lissu anakuja tu kuchafua amani ya nchi ana uraia na tiketi ya ubelgiji
Ndugu yangu,

Mbona waruhusu kiwango cha ufahamu wako kufifia kwa kasi kubwa namna hii.

Hata huyo unaejitahidi kumfurahisha kwa kumnukuu anajua vizuri kuwa, Tz bado haijaruhusu uraia pacha.

Lissu angekuwa na uraia wa Belgium au kungine hata nchi mojawapo ya jirani hapa EA, angeruhusiwa kuingia hapa Tz kama mgeni tu, baki ya kuwa asingeweza kuwa mgombea wala mpiga kura.
 
Kuna chama chenye busara kama ccm? kitendo cha kubadilisha tu wenyekiti inaonyesha busara za hali ya juu, sio chama flan mwenyekiti mpaka anatishia kuua watu kisa wanataka kua wenyekiti
Kwahiyo alikuwa anawindwa na ccm siyo serikali?
 
..Nasubiri kusikia watafanya nini na kesi zake?

..Nadhani wataona aibu kusema wamezifuta.
Pasi shaka yoyote, hizi kesi ndio imebaki turufu yao kuu ya kummaliza Tundu Lissu, kumbe yeye alishauona mchezo kungali mapema kabisa.
 
Tundu Lisu siyo intelligent man, kama mnamuona tofauti basi hata ninyi mna matatizo pia, kama angakuwa intelligent angeweza kufanya vizuri sana tena sana tu, lkn wapi, ...
Hujielewi kabisa, mmeshindwa kujibu hoja zake zote then unaandika pumba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…