Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?
USSR
Nimeliona zaidi ya mara mia sema hatufamiani humuAliziona, je alipata nafasi ya kuhesabu? Kuna mtu alikuwa anaruhusiwa kuhesabu au hata kulisogelea hilo gari, zaidi ya vyombo vya dola na Serekali iliyokuwa ikipika data na propaganda?
SHetan nae kauliwasafi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Masikini wengi wanadhani siasa ni kwa matajiri tu , sikushangaiDuh mwenzetu huwa unapata wapi muda wa kuhudumia familia yako?
Muda wote na mume wa watu
Shetani nae tumemmalizaMTU unajitolea kusafisha na kuboresha nyumban yenu halafu anatokea mbuzi mmoja na kuanza kubwatuka eti majilani hawapendi, anaanza kupeleka majungu kuwa unaharibu vitanda na mapazia Kwa kuvufuta vumbi etc??
MTU huyo Kamata nyanyua miguu juu kichwa chini tupa nje huko hana maana.
kufa ni faida. kafa kapumzika wakati huyo aliyebaki anapata shida hata kutembea na analalamika ishara kwamba Bado kapoteza.
tatizo lisu alimzingua JPM na yeye akamfundisha jambo.
naamini hatakaa arudie hata kusingizia sisimizi.
JPM alikuwa na roho ngumu🖐Inasemekana wafyatuaji risasi wote walishauwawa. Angalia iyo picha chini jinsi walivyochanganyikiwa na kuanza kuigiza. Ningependa kujua ni nani aliyetoa ilo wazo waigize kijinga hivyo. Watu wazima wanafanya Mambo ya ajab, aibu na kukera. Hata hivyo ilikuwamepanic.View attachment 2615673View attachment 2615669
View attachment 2615669
Chiba lina maana gani?Lissu amesema "wamenifanya Chiba lakini maisha yanaendelea"...nimebubujikwa na machozi leo ashubuhi.
Kumbe Makonda alihusikaMagufuli alikuwa ni NDULI kabisa. Hivi ni kwa kosa gani aliwatuma akina MAKONDA na kundi la WASIOJULIKANA kutaka kumuua Lissu?
Angalia Mungu alivyo wa ajabu, Lissu bado yuko hai huku yeye Magufuli akiwa katangulia kaburini. Aendelee kuungua na moto wa jehanam huko aliko
Acha upotoshaji. Magu hakwenda kumuona Lissu pia Lissu hakupelekwa DAR. Aliondokea Dodoma kuelekea Nairobi. Anyway, kama wauaji na wao waliuwawa ni habari njema.
Mlemavu wa miguuChiba lina maana gani?
AiseeMlemavu wa miguu
Ww si ndio ulisimamia shambulio lile, utaachaje kuona wakati hata idadi ya risasi ulizitoa unajua ngapi hazikutumika!Nimeliona zaidi ya mara mia sema hatufamiani humu
USSR
Mpumbavu ndiye anaweza kuamini wale washambuliaji hawakuwa na nia ya kuuwa.Nadhamo kama wauaji wangekuwa na nia ya kumuua kweli, Asingepona.Nadhani hiyo ilikuwa ni warning tu na kumpunguza kasi.
Disabled person, hasa mtu anaechechemea wakati wa kutembea.Chiba lina maana gani?
Bora kama hakuathirika kwenye uanaumeDisabled person.
Zamani kulikuwa na DJ maarufu hapa nchini aliyekuwa mlemavu akijulikana kwa jina la Son Chiba, hivyo ikapelekea walemavu wa wakati zile kupewa jina la utani Chiba. Na sawa na mlemavu sasa hivi umuite mabaga fresh.Chiba lina maana gani?
Mambo ya watu?🤔🤔🤔🤔safi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Hahahahahaha...wewe naona umeamua kujitoa akili, husaidikiNadhamo kama wauaji wangekuwa na nia ya kumuua kweli, Asingepona.Nadhani hiyo ilikuwa ni warning tu na kumpunguza kasi.
Aisee[emoji24][emoji119]