Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?
USSR
Aliziona, je alipata nafasi ya kuhesabu? Kuna mtu alikuwa anaruhusiwa kuhesabu au hata kulisogelea hilo gari, zaidi ya vyombo vya dola na Serekali iliyokuwa ikipika data na propaganda?