Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Inasemekana wafyatuaji risasi wote walishauwawa. Angalia iyo picha chini jinsi walivyochanganyikiwa na kuanza kuigiza. Ningependa kujua ni nani aliyetoa ilo wazo waigize kijinga hivyo. Watu wazima wanafanya Mambo ya ajab, aibu na kukera. Hata hivyo ilikuwamepanic.View attachment 2615673View attachment 2615669

View attachment 2615669
Hii ni picha ya mgonjwa mwingine yeyote ila siyo ya Tundu Lissu. Huyo mshenzi Magufuli hakupata fursa ya kumuona Tundu Lissu akiwa majeruhi na alipanga kuwa baada ya kuuliwa maiti isije Dar es Salaam bali ipelekwe Ikungi Singida kwa mazishi.
 
Magufuli alikuwa ni NDULI kabisa. Hivi ni kwa kosa gani aliwatuma akina MAKONDA na kundi la WASIOJULIKANA kutaka kumuua Lissu?

Angalia Mungu alivyo wa ajabu, Lissu bado yuko hai huku yeye Magufuli akiwa katangulia kaburini. Aendelee kuungua na moto wa jehanam huko aliko
kufa ni faida. kafa kapumzika wakati huyo aliyebaki anapata shida hata kutembea na analalamika ishara kwamba Bado kapoteza.


tatizo lisu alimzingua JPM na yeye akamfundisha jambo.

naamini hatakaa arudie hata kusingizia sisimizi.
 
Nadhamo kama wauaji wangekuwa na nia ya kumuua kweli, Asingepona.Nadhani hiyo ilikuwa ni warning tu na kumpunguza kasi.
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua .

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30 !

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua , amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake .

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake , japo ni kwa kuchelewa .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Alipona kama Daniel alivyopona kwenye Shimo lililojaa simba wenye njaa kali kule Irani( Persia ya kale)
 
Mbowe mtu Smart sana, na kama alisurvive utawala wa awamu ya 5 je unaamini anaweza kufanya maridhiano ya kibwege? Kwa sababu ipi ujinga? Ubinafsi? Uoga?
tatizo lisu alijifanya panya mabaka matokeo akaliwa Ili iwe fundisho Kwa wajinga wenzake kuleta ujuaji mbele ya mamaka Kwa kisingizio Cha demokesia na haki za kuletewa na mashetani.

hata Mimi nikiwa rais wakinizodoa nawapiga.
 
Mbowe mtu Smart sana, na kama alisurvive utawala wa awamu ya 5 je unaamini anaweza kufanya maridhiano ya kibwege? Kwa sababu ipi ujinga? Ubinafsi? Uoga?
Naamini hivyo hata mimi


Mbowe alishasema wao sio wajinga.

Kwamba mimi Bush Dokta naweza kujua siasa sana na janja ya ccm kuliko Mbowe nitakuwa najidanganya.

Mwisho wa Siku Mbowe na Lissu wanachokubaliana na viongozi wengine ndio hatua sahihi.

Hata kama ni kuungana na ccm
 
''Kumekuwa na maneno ya kijinga yanasemwa semwa ooh kakimbia hataki kutoa ushirikano wa uchunguzi, hayo maneno yanasemwa na wajinga wajinga tu,kama kuna uchunguzi mimi nipo hapa nitatoa ushirikano''

Lissu Leo baada ya kushuhudia gari
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua .

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30 !

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua , amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake .

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake , japo ni kwa kuchelewa .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Angalao wameonyesha kumtendea haki,japo kiduchu🤔japo kwa kuchelewa.
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua .

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30 !

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua , amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake .

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake , japo ni kwa kuchelewa .

Sent from my SM-J500H usinlissug JamiiForums mobile app
Huyo lissu sasa sera yake ya kupigwa risasi 30 iwe ndio mwisho maana haina tija. Amelalia kudai msharahara na marupurupu yake hadi amelipwa. Alipoonana na rais samia kule ulaya badala ya kutoa hoja za kitaifa yeye kubwa ikawa kudai posho na mishahara licha kutokutaka kutoa ushirikiano na bunge. Akaendelea kulia kutaka kuuliwa hadi amepewa gari na kahesabu matundu ya risasi. Ukiona mwanasiaa kama huyo ujue ni mbinafsi mtetezi wa maslahi binafsi tu.
 
''Kumekuwa na maneno ya kijinga yanasemwa semwa ooh kakimbia hataki kutoa ushirikano wa uchunguzi, hayo maneno yanasemwa na wajinga wajinga tu,kama kuna uchunguzi mimi nipo hapa nitatoa ushirikano''

Lissu Leo baada ya kushuhudia gari
Pumbavu tu hilo. Hata huwezi muelewa maana hakuna kitu hapingi.
 
''Kumekuwa na maneno ya kijinga yanasemwa semwa ooh kakimbia hataki kutoa ushirikano wa uchunguzi, hayo maneno yanasemwa na wajinga wajinga tu,kama kuna uchunguzi mimi nipo hapa nitatoa ushirikano''

Lissu Leo baada ya kushuhudia gari
Waliosema kakimbia sasa kajan je uchunguzi utaanza?
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua .

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30 !

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua , amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake .

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake , japo ni kwa kuchelewa .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Duh mwenzetu huwa unapata wapi muda wa kuhudumia familia yako?

Muda wote na mume wa watu
 
Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?

USSR
Pale kwani hamna ya kupikwa na wewe au kundi lako😂
 
tatizo lisu alijifanya panya mabaka matokeo akaliwa Ili iwe fundisho Kwa wajinga wenzake kuleta ujuaji mbele ya mamaka Kwa kisingizio Cha demokesia na haki za kuletewa na mashetani.

hata Mimi nikiwa rais wakinizodoa nawapiga.
Hautakuja kuwa wewe wala kizazi chako chote

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu alitamka kwamba "askari wetu hawawezi kupiga risasi zote hizo halafu wakakosa target"...
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua .

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30 !

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua , amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake .

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake , japo ni kwa kuchelewa .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mungu alishaamua haki.
 
Back
Top Bottom