Hivi wewe unajielewa kweli? Kabla hujafa hujaumbikaHana jipya. Mguu haukunji so what?
Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Halafu Tundu Lissu ukimsikiliza unaona kabisa anamaanisha.Huyo msukuma Fix tupu!Tundu Lissu ndiye Rais wetu. Haijapata kutokea mtu akaongea madini kiasi hiki kwa Tanzania yetu. Huyu ndiye wa kutuongoza, ndiye wa kutushika mkono. Kwa kweli tumebarikiwa Watanzania. Tumeachwa mayatima miaka 5 tu. Kumlilia Mungu kidogo tu, katuletea mkombozi.
Asante Mungu kwa Tundu Lissu.
HahahahaaaKama mpaka sasa hujawahi kusikia atafanya nini basi we haupo Tanzania au kichwani hamna ubongo kumejaa samadi
Haina shida.Basi kama sio kiziwi akili zako mgando,
G.Thinker: Nichomaanisha kumpa taarifa za utoaji wa press conference yake na wahariri haiwezi kutoka kwa weledi wa deep story ila watachuja na kutoa story nyepesi sana.Mkuu,mbona kama unataka kumpa mamlaka(TAL) ,kabla ya....,msaada kama hana bado...!
Hana huruma , jamaa anateseka imagine angekuwa yeye duh duniani watu wanapitia wakati mgumu kama Tindu lissu , mwilini kutakuwa kuna vyumaMatumizi mabaya ya akili
Mpaka leo hujui ilani ya chadema na umo mtandaoni? Hata mambo ya kuboresha Bima ya afya kwa wote, kufidia mishahara ya wafanyakazi, kuunda Tume ya maridhiano kwa madhira yaliyofanywa awamu ya tano, kuimarisha Uhuru wa kujieleza na haki za Binadamu.Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Mtake radhi Max Melo na wenzake wa hapa JF! Pia na sisi watumiaji wa JF, tafadhali sana!! Usichafue kambi, Mkuu.Yawezekana Tundu Lissu 'kasahau' kuwa Media yote ya Tanzania na hasa hasa kupitia tu 'Wahariri' na 'Wamiliki' wapo Mfukoni mwa Dkt. H Abbas.
UsShida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
How can any logical person think we can survive another five years or more of that dude from the green?Mtake radhi Max Melo na wenzake wa hapa JF! Pia sa sisi watumiaji wa JF, tafadhali sana!! Usichafue kambi, Mkuu.
Amekwambia Tz imepoteza diplomasia nje ya mataifa akiwa rais atarepair...Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Mtake radhi Max Melo na wenzake wa hapa JF! Pia na sisi watumiaji wa JF, tafadhali sana!! Usichafue kambi, Mkuu.
Hivi aliye kuazimz akili vipi amechukua akili zake meambie akurudishie hapo siku 44 .Magu hafai kwa lipo?. Yeye anafaa kwa lipi?. Kazi kulalama tu, huyu jamaa hafai kuwa Rais.
Sawa Mkuu, nawe pia tumia 'Akili' kubwa basi ili uwe unajitahidi kufafanua specifics ya issues badala ya ku'generalise' masuala unayotaka kuhabarisha umma wa JF na kwingine. Hiyo, itatusaidia sisi wenye kupenda kutumia 'Akili' kidogo kutoingia kwenye utata wa kuelewa mada zako.Tumia 'Akili' kidogo ninayoizungumzia hapa hasa ni ile 'Mainstream Media' na siyo hizi 'Social Media' sawa? Acha 'Kukurupuka' najua nisimamia nini.
Sawa Mkuu, nawe pia tumia 'Akili' kubwa basi ili uwe unajitahidi kufafanua specifics ya issues badala ya ku'generalise' masuala unayotaka kuhabarisha umma wa JF na kwingine. Hiyo, itatusaidia sisi wenye kupenda kutumia 'Akili' kidogo kutoingia kwenye utata wa kuelewa mada zako.
Kumbuka, JF iliwakilishwa na Wahariri wake kwenye Kikao hicho hiyo jana.
Hapa nitakuwa nimejieleza vyakutosha nadhani.