Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Nafikiri Mbowe anaweza kumshinda Lisu kwa wizi wa kura tu. Ila bila hivyo Mbowe ataangukia pua vibaya sana.Mimi nimetoa analysis yangu jinsi mbowe anavyoenda kushinda,,,Lissu hakujiandaa na huu uchaguzi
Upo sahihi comradeMbowe akipitia comment mtandaoni mwili unashikwa na ganzi na makengeza yanaongezeka upana.. hao walao mezani kwake (wajumbe) ni kundi dogo miongoni mwa mamilioni ya watanzania.
Akishinda kwa kuhonga wajumbe atakuwa amekiua chama.Mimi nimetoa analysis yangu jinsi mbowe anavyoenda kushinda,,,Lissu hakujiandaa na huu uchaguzi
Walamba miguu wa Mbowe hawataki atoke system itamfunga mirija yaoNafikiri Mbowe anaweza kumshinda Lisu kwa wizi wa kura tu. Ila bila hivyo Mbowe ataangukia pua vibaya sana.
Inabidi wayaheshimu kama wanataka CHADEMA iendelee kuwa na wafuasi wengi kama ilivyo sasa. Wakiyapuuza ina maana wanapoteza around 80% ya wafuasi wake.View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Mbowe alikuwa anaendesha chama kwa system ya CCM. Yani honga watu ili wakupiganie kutawala. Akitoka utaona kina Mmawia na Erythrocyte wanapotea JF maana hela za bando itakuwa ngumu kuzipata.Walamba miguu wa Mbowe hawataki atoke system itamfunga mirija yao
Mwenyewe nimekuja kushituka juzi aseeMbowe alikuwa anaendesha chama kwa system ya CCM. Yani honga watu ili wakupiganie kutawala. Akitoka utaona kina Mmawia na Erythrocyte wanapotea JF maana hela za bando itakuwa ngumu kuzipata.
Shida kubwa ni wale wabunge 19 wakiongozwa na Halima mdee wanatumia pesa nyingi nguvu kubwa kuhakikisha kuwa mbowe anaendelea kuwepo ili kuficha ufisadi wake na kuwasaidia kupata viti maalum uchaguzi ujao 2025Hili tapeli litaondoka kwa aibu kuu.
Lisu ana backup ya wananchiMwenyewe nimekuja kushituka juzi asee
Shida ipo hapoLisu ana backup ya wananchi
Mbowe ana backup ya chawa
Kazipiga sana pesa za misaada zote hupita kwenye A/c yake binafsiMchagga mpiga vibunda hawezi sikia hii lazima akafanye figisu huko ndani ili apite aendelee kuzipiga.
Wajumbe walishahongwa huo ujumbe,,,kanda zote zinashikiliwa na wafuasi wa Mbowe,,,hapo Lissu anatoboaje sasaAkishinda kwa kuhonga wajumbe atakuwa amekiua chama.
Ni kweli hawapo mitandaoni,huku kumejaa washabiki na wapiga keleleWafuasi wa Mbowe watakuja kukuambia, wapiga kura hawapo mtandaoni..
It's the same nonsense CCM has always been feeding us.
Chawa wakiongozwa na Boniface sugu Wenje na Mdee ndiyo wataiba kura uchakachuaji kumsimika mbowe kwa njia haramuLisu ana backup ya wananchi
Mbowe ana backup ya chawa
Hata jf Lissu anaongoza kwa kura.Hili tapeli litaondoka kwa aibu kuu.
Exactly! Ni heri tuhamie hata CHAUMA. Kuliko kutawaliwa kwenye chama na mtemi/mfalmeNa akitumia huo utemi wake tutaunga mkono CHAUMA kuliko kuwa na kiongozi ambaye amefikia ukomo wa mawazo na analazimisha kuwepo tu.
Mitandao inapiga kura siku hiyo!View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.