Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchumi hujasema Kama ni ya kufungwa/ Kujifunga 😂wavuni,timu yenye magoli mengi ndio hushinda
Mbowe hatashinda kwa kura bali mbowe atapora ushindi wa lisu kwa njia haramu za kichakachuaji licha ya kutumia mabilioni kuwapa msaidie kupiga debeNi ujinga kufuatilia kura za maoni mtandaoni badala ya Katiba ya CHADEMA.
Watoa manoni yawezekana hakuna hata mmoja ambaye ni mwanachama wa CHADEMA. NA akiwa mwanachama utakuta siyo mjumbe wa mkutano mkuu wa CDM ambao ndiyo wapiga kura.
Kwa taarifa yako FAM anashinda kiti cha UWENYEKITI kwa kura 70%, kukingali asubuhi na mapema
That's what's "smart", "working hard".Life isn't about working hard, it's about working smart..
Wabongo bhana, wanatetea demoghasia mbowe kachukua form oooh kwann kachukua form kwaiyo Tundu Lissu mlitaka apite bila kupingwa!? Demoghasia wengi wape, wajumbe tupeni mwenyekiti chadema mumpemdae😀😀Bahati mbaya hao karibu wote sio wajumbe wa mkutano wa uchaguzi
Wewe ndiyo upo nyuma ya keyboard unakariri ujinga umeshiba pesa haramu za mbowe unapanga njama za kuiba kura za Lisu tambua mbowe atanunua uenyekiti kwa pesa nyingi lakini chadema itadhoofika sana kwa kukosa kuaminika kabsaWashabiki wa mitandaoni mngekua mnazingatiwa ccm ingeshasahaulika
Humu mmejaa nyuma ya keyboard mnajazana ujinga tu na matumaini hewa, field hamuonekani.
Nyie hata vitambulisho vya kupiga kura hamna 🙆
Anaogopa kuachia ngazi siri za wizi wake wa pesa za chama zitafichuka pindi akiingia mwenyekiti mpyaMbowe aache uduanzi
Inafika mahali akiongelea democracy haileti maanaAnaogopa kuachia ngazi siri za wizi wake wa pesa za chama zitafichuka pindi akiingia mwenyekiti mpya
Mbowe anatumia pesa nyingi kununua uenyekiti akihofia madudu yake ya ufisadi pesa za chama kujulikana endapo atatoka madarakaniWabongo bhana, wanatetea demoghasia mbowe kachukua form oooh kwann kachukua form kwaiyo Tundu Lissu mlitaka apite bila kupingwa!? Demoghasia wengi wape, wajumbe tupeni mwenyekiti chadema mumpemdae😀😀
Chadema itaenda kuwa kama CUF NCCR TLP endapo mbowe atapora ushindi wa LisuInafika mahali akiongelea democracy haileti maana
Waliompigia kura Lissu & Mbowe si wajumbe wa mkutano mkuu.View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Nguluzinza akitumia hela kuiba kura, Lisu atumie nguvu ya umma kurudishiwa kura zake zilizoibiwa.Nani amshinde Nkulunziza?🤨
Serious mkuu.. Ukiunganisha dot utagundua jambo ambalo wengi hawawezi kulijua.I second you.Naunga mkono.
Free and fair election, Tundu Lissu anamshinda Mbowe kwa aibu ,kwa landslide victory!!!Ni ujinga kufuatilia kura za maoni mtandaoni badala ya Katiba ya CHADEMA.
Watoa manoni yawezekana hakuna hata mmoja ambaye ni mwanachama wa CHADEMA. NA akiwa mwanachama utakuta siyo mjumbe wa mkutano mkuu wa CDM ambao ndiyo wapiga kura.
Kwa taarifa yako FAM anashinda kiti cha UWENYEKITI kwa kura 70%, kukingali asubuhi na mapema