Tundu Lissu aongoza kura za mtandaoni dhidi ya Mbowe kwa kura asilimia 84 dhidi ya 16

Tundu Lissu aongoza kura za mtandaoni dhidi ya Mbowe kwa kura asilimia 84 dhidi ya 16

Life isn't about working hard, it's about working smart...hata katika biashara unapotafuta masoko ni lazima ufahamu "Targeted Audience" yako ni ipi.
Hata kwenye mpira kinachoangaliwa ni magoli mangapi yameingia wavuni,timu yenye magoli mengi ndio hushinda,hata kama timu pinzani ilikua na ball possession kubwa na wamecheza mpira mzuri lakini wasipofunga ni kazi bure.
Yawezekana Lissu anapendwa na wananchi wa kawaida ila Mbowe akawawin wajumbe wanaopiga kura....
Nimechoka siwafundishi kila kitu✍️
Umemaliza kila kitu. Ambaye atakubishia ni mwendawazimu
 
View attachment 3183324

Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:

Watoa maoni: 12,148

Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%

Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.

Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.

Usilojua ni kwamba mitandao siyo wajumbe 1,200 wa mkutano mkuu
Hapo wasemaje kiongozi
 
Life isn't about working hard, it's about working smart...hata katika biashara unapotafuta masoko ni lazima ufahamu "Targeted Audience" yako ni ipi.
Hata kwenye mpira kinachoangaliwa ni magoli mangapi yameingia wavuni,timu yenye magoli mengi ndio hushinda,hata kama timu pinzani ilikua na ball possession kubwa na wamecheza mpira mzuri lakini wasipofunga ni kazi bure.
Yawezekana Lissu anapendwa na wananchi wa kawaida ila Mbowe akawawin wajumbe wanaopiga kura....
Nimechoka siwafundishi kila kitu[emoji3578]

100% mkuu
 
View attachment 3183324

Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:

Watoa maoni: 12,148

Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%

Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.

Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Huyo Mbowe hajajishitukia, kinachoendelea ni hata baadhi ya wapambe wake wanampigia Lissu, ila wakikutana na Mbowe wanamtabasamia kinafiki ili kuendelea kumfaidi
 
chama ni wanachama, kama Lisu amepigiwa kura na watu 10,204 wasio wanachama wa chadema, ana mtaji mkubwa wa wanachama, why keep fighting with people within the party while you have such a support? form your own party..or join any established party having such srufficient capital! hata asisumbuke kugombea..Lisu ahame chadema!
ahamie wapi sasa!

ishu ya mgombea binafsi ni ya muhimu sana. mabadiliko ya Katiba hayaepukiki!
 
View attachment 3183324

Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:

Watoa maoni: 12,148

Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%

Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.

Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Mwishowe kura za wajumbe ndio msemaji kweli
 
Hakuna suala la wajumbe hapo bali maelekezo kutoka juu na nguvu ya pesa..
Ondoa hofu, hao wanaoelekeza toka juu hawatapiga kura wala kusimamia uchaguzi, wakati wanatoa hayo maelekezo hawakujua kama hila zao zitagundulika. Lissu atashinda kwa kishindo.

Kura ni za siri, ukila pesa ya mgombea ukamnyima kura hawezi kuja kukudai pesa yake.
 
Hivi ingelitokea Mbowe angeshinda Uraisi wa Jamhuri akaingia Ikulu huyu Mbowe si angeng'ang'ania Ikulu halafu akabadilisha kipengele cha Katiba ili kuondoa ukomo wa Uongozi.

Huenda angeacha na Wosia wa kuzikiwa kwenye Bustani za Ikulu ya Magogoni atakapofia Ikulu.

Sisi tungeanza kumpiga mawe mitandaoni angeanza kutuua na kutupoteza na Tribalism na Nepotism ingehamia Serikalini.

Huenda na Lissu angepigwa RPG mchana kweupe kabisa halafu akasingiziwa Slaa na Zitto Kabwe.
 
Nani Hana kitambulisho Cha kupiga Kura? Mbona unaropoka. Mimi nimeshiriki maandamano yote ya CHADEMA kasoro ya juzi sikuwepo nilikuwa Kigali. Halafu Mimi kitambulisho ninacho. Sijui kwanini unawatuka a mashabiki kisa tu mwenyekiti wa CHADEMA. Hao mashabiki ndio wapiga kura mkutano mkuu, wanachama wa CHADEMA na pia wapiga kura wa CHADEMA uchaguzi mkuu. Kitendo Cha kuwadharau kitawapoteza daima.
Kwani Mbowe hana haki ya kugombea uenyekiti, Mbona mmemuandama sana?
Au lisu ndio mwenye haki kuzidi wengine?

Kama hammtaki Kapigeni kura,mmejiwekea taratibu hamzitaki mnakuja kulalamika mitandaoni,huku hakuna msaada 😄

Hamjielewi nyie

Yakiwashinda mrudi Ccm
Mama anaupiga Mwingi
 
Wewe ndiyo upo nyuma ya keyboard unakariri ujinga umeshiba pesa haramu za mbowe unapanga njama za kuiba kura za Lisu tambua mbowe atanunua uenyekiti kwa pesa nyingi lakini chadema itadhoofika sana kwa kukosa kuaminika kabsa
Kapige kura wewe,acha kulia lia
Huku hakuna msaada 😄
 
Ndugu kuwa na nidham , tulio mtaani ndo tupo jf ,je nikisema hu mpumbavu nitakua nimekufunjia hesma ,sasa nasema hu mpumbavu na jrekebishe ,asema Bwana.

Usipo jirekebisha ,utavilingwa kama mpira asema Bwana
Asema bwana yupi huyo?
labda bwana wa jalalani
Mnakesha mitandaoni mnadai flani kashinda😄

Mtanyooka tu

Mama anaupiga Mwingi
 
Ukiweka kura Lissu na Mbowe... Lissu anashinda mapema sana... Mbowe akipata hata kura 10% atakua amevunja rekodi ya dunia
 
Back
Top Bottom