Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
'Seriously'? Utakuwa unazo sababu nyingine kuhusu hili, au huna uelewa mzuri kuhusu masuala haya. Kwa mfano, Natural Gas itakuwaje 'Clean Energy' kuishinda 'Hydro Power'? Hata tofauti ya gharama ya uzalishaji kwa 'unit', pia hujui?
Ninapo andika siwezi kutafuna kila kitu ili msomaji ameze tu bila kutumia akili ya kujua maana ya alicho soma.. Kwa bahati mbaya sana unaonyesha wazi hapa hukuelewa nilicho andika hapo juu, au kwa maksudi tu hukutaka kuelewa kwa sababu zako mwenyewe. Kwa mfano kwa nini mzigo wa lawama juu ya huo unaouita wewe "wizi, uzembe/wavivu" uelekeze lawama kwa wananchi, na isiwe kwa viongozi wanaoongoza nchi? Kwa mara ya kwanza naona maneno yanayotumiwa na kundi maalum lililopo hapa JF, lugha wanayotumia hao hao wasiotaka tufanye mambo yetu muhimu sisi wenyewe. Sasa nielewe kuwa nawe ni mmoja wa hawa chawa wa 'Chura Kiziwi'?

. Niambie/toa mfano ni nchi gani hapa duniani isiyokuwa na mambo hayo yote, tena na ziada!
Marekani hayo hayapo? China hayapo? Korea Kusini hayapo? Singapole/ Malaysia/Vietnam hayapo? Nchi gani duniani hapa pasipokuwa na wezi, majambazi n.k., n.k.. Uarabuni kwa wajomba zetu haya hayapo?

Nilikwisha jibishana na watu kadhaa humu JF kuhusu hili, baada ya wao kuzusha hayo hayo uliyo wazushia waTanzania. Tena ni lugha hiyo hiyo uliyo tumia na wao ni machawa kabisa wa huyo 'Chura Kiziwi'. Sasa unanitia wasiwasi nawe kukuweka kwenye kundi hilo hilo. Mmefundishwa kuwadharau na kuwadhalilisha waTanzania?

Itasikitisha kwelikweli, kama nawe ni sehemu ya watu mlio kuja hapa JF kwa kazi maalum ya kuhubiri uduni wa uwezo walio nao waTanzania na kutoweza kujimudu kufanya mambo yao wenyewe, ili kuhalalisha kugawa raslimali zetu kwa hao mnao wagawia. Sikuwahi hata siku moja kukufikiria katika mlengo huo unao uonyesha hapa leo.
Unatetea mediocrity. Watanzania ni wezi, wavivu na watu wa kuendekeza starehe. Nyerere alianzisha mashirika 400 lakini yote yalikuwa dhoofu hali by 1995.

Na uchumi wetu ulianza kuboreka baada ya sera za ubinafsishaji za Mkapa

Mnakosea mnapoleta ubaguzi kwenye biashara. Kwa hiyo ungeona Wazungu wemeshinda zabuni ungesikia raha?

Pesa ziko Uarabuni ndiyo maana hata Waingereza wenyewe wame surrender clubs zao za EPL kwa waarabu. Angalia Newcastle, Mancity, Arsenal etc.

Hata bandari ya Portsmouth pale Uingereza inaendeshwa na DP WORLD, wewe ni nani udharau Waarabu
 
Mapori yamefanyaje? Kwani huelewi biashara ya carbon credit duniani
Huu ndiuo ujinga ninao usema hapa kila mara. Mtu unaonekana kuwa na akili za kutosha, lakini kutumia akili hiyo huwezi!
'Carbon Credit', wewe unaelewa kitu gani? Kugawa hayo mapori kwa wageni, halafu kujidanganya wanakijiji wanafaidika? Wanafaidika na kitu gani, hivyo vihela vya kitumwa?
Haya, nikupe nafasi ya kunieleza wewe mjuaji wa "biashara ya carbon credit duniani' ipoje hasa; biashara ambayo hao wanakijiji hawawezi kuifanya wao hadi ilazimu kuleta watu wengine kufanya kazi kama hiyo hapa. Kuna uwekezaji gani mgumu sana wa kuifanya kazi hiyo sisi wenyewe?
 
Unatetea mediocrity. Watanzania ni wezi, wavivu na watu wa kuendekeza starehe. Nyerere alianzisha mashirika 400 lakini yote yalikuwa dhoofu hali by 1995.

Na uchumi wetu ulianza kuboreka baada ya sera za ubinafsishaji za Mkapa

Mnakosea mnapoleta ubaguzi kwenye biashara. Kwa hiyo ungeona Wazungu wemeshinda zabuni ungesikia raha?

Pesa ziko Uarabuni ndiyo maana hata Waingereza wenyewe wame surrender clubs zao za EPL kwa waarabu. Angalia Newcastle, Mancity, Arsenal etc.

Hata bandari ya Portsmouth pale Uingereza inaendeshwa na DP WORLD, wewe ni nani udharau Waarabu
Sawa sawa kabisa, sasa umejitambulisha vizuri, maanake siku zote umekuwa ukijificha ficha mlengo wako hasa ni upi.
Kwa vile wewe unapigania wajomba zenu, elewa wazi kwamba mimi sijali awe mjomba wako au mzungu au mchina. Kitu pekee ninacho jali ni maslahi ya mTanzania.
Najua unakimbilia kuhitimisha kama ulivyo jaribu hapo juu kwamba uwekezaji toka nje tunaupinga, jambo ambalo siyo kweli. Tunacho pinga ni kuutegemea huo ndio uwe msingi wa maendeleo yetu; hilo haliwezekani.
Licha ya hivyo huo uwekezaji mnaoleta hapa ni uwekezaji wa kulemaza kwa masharti mnayoingia nao. Haya ndiyo tunayo yakataa.
Uwekezaji wa waarabu Uingereza unaulinganisha na hiki kichaa mnachotufanyia hapa? Nenda katazame huo mkataba wa DP World kwenye hiyo bandari uliyo taja hapo, uulinganishe na ujinga mlioleta hapa. Uingereza kuna Bandari kuu ngapi. Hiyo Portsmouth inao umuhimu kwa Uingereza kama ilivyo Dar kwetu?
Nijibu swali lako hapo kunihusu mimi: mimi ni Kalamu, mTanzania nisiyeweza kununuliwa na vipande vya shanga na chumvi toka kwa yeyote, achilia mbali mwarabu.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesema nia yake ya kugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 iko palepale.

Tundu Lissu ameyasema hayo leo, Julai 26, 2024 katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam alipowasili akitokea nchini Ubelgiji.


Tundu Lissu amesema wakati anamkabili Hayati Magufuli alikuwa na umri wa miaka 52, mwaka kesho atakuwa na umri wa miaka 57 hivyo hawezi kuwa na nguvu zile zile za miaka 52 na kwa miaka 57. Lissu meongeza kuwa nguvu ya hoja, na msimamo wa kisiasa na uaminifu kwa watanzania bado uko palepale.

Huyu mama, kama tuliweza kumkabili Magufuli hajatoa matokeo ya urais mpaka leo, huyu aliyekuwa anaua watu, kama tuliweza kumkabilia miaka mitano iliyopita, huyu mama hatakuwa na shida kubwa kama Magufuli.

Pamoja na yote, hii mama mama mama hii ni ya watu waliohongwa na hii haina shida.

Nia yangu ya kugombea Urais iko palepale, nitaitikia wito wa watanzania, nitaitikia wito wa chama changu.
Tundu Lisu kuwa mgombea Chadema itategemea na mgombea atakayepitishwa na CCM, IKITOKEA SAMIA AMEKATWA NA MACCM, MBOWE YUPO TAYARI KUMSAJILI SAMIA AWE MGOMBEA WA CHADEMA.
 
Hakuna mtu anaweza kuuza ardhi ya Tanzania kwa vile ardhi ya Tanzania ni mali ya Serikali, wananchi au wawekezaji kukodishwa kwa kipindi maalum. Team Wapotoshaji HOVYO
Wakati unaona watu wanahamishwa kwenye makazi yao ya kudumu, na kamwe hawatakuwa na makazi ya namna hiyo tena, mtu mwenye akili timamu bado unakuwa na ujasiri wa kusema haya!

Ardhi inayochukuliwa "kwa muda", unajuwa ni muda gani? Hiyo ardhi wananchi hawawezi kuitumia kwa kazi zao kwa muda wote huo, na pengine milele!
 
Huu ndiuo ujinga ninao usema hapa kila mara. Mtu unaonekana kuwa na akili za kutosha, lakini kutumia akili hiyo huwezi!
'Carbon Credit', wewe unaelewa kitu gani? Kugawa hayo mapori kwa wageni, halafu kujidanganya wanakijiji wanafaidika? Wanafaidika na kitu gani, hivyo vihela vya kitumwa?
Haya, nikupe nafasi ya kunieleza wewe mjuaji wa "biashara ya carbon credit duniani' ipoje hasa; biashara ambayo hao wanakijiji hawawezi kuifanya wao hadi ilazimu kuleta watu wengine kufanya kazi kama hiyo hapa. Kuna uwekezaji gani mgumu sana wa kuifanya kazi hiyo sisi wenyewe?
Unaita vihela, hao wanavijiji umewahi kuwahawia hivyo vihela wewe binafsi? Kasome website hii hapa ujue biashara hii inavyofanyika.

Tanzania Carbon Trading Regulations - Tanzania National Carbon Monitoring Centre (NCMC) | Carbon Tanzania | Sokoine University of Agriculture |

Na kituo cha Carbon Monitoring Centre kipo SUA Morogoro.

Mnakaa mumelegeza matako tu na kulalamika kwenye mitandao. Tanzania ina hekari za misitu na mapori, mnafanyia nini? Toka mwaka 1998 watu wanafanya carbon credit business lakini nyinyi hamjaingia. Anakuja kupewa UAE MNALOLOMA wakati hamna mnachofanyi kazi misitu hiyo. Hovyo Timu Kulalamika
 
Wakati unaona watu wanahamishwa kwenye makazi yao ya kudumu, na kamwe hawatakuwa na makazi ya namna hiyo tena, mtu mwenye akili timamu bado unakuwa na ujasiri wa kusema haya!

Ardhi inayochukuliwa "kwa muda", unajuwa ni muda gani? Hiyo ardhi wananchi hawawezi kuitumia kwa kazi zao kwa muda wote huo, na pengine milele!
Ardhi ambayo ni arable kwa kilimo inayotumika Tanzania ni less than 15% tu. Watanzania wengi wanapenda kujishughulisha na biashara za kimachinga.

Hiyo misitu ambayo imeingia kwenye carbon credit haiwezi kuathiri agricultural production ya nchi yetu.

Binadamu ndivyo mlivyo, hamuwezi kula mavi lakini mnafukuza kuku wasile pia
 
Ardhi ambayo ni arable kwa kilimo inayotumika Tanzania ni less than 15% tu. Watanzania wengi wanapenda kujishughulisha na biashara za kimachinga.

Hiyo misitu ambayo imeingia kwenye carbon credit haiwezi kuathiri agricultural production ya nchi yetu.

Binadamu ndivyo mlivyo, hamuwezi kula mavi lakini mnafukuza kuku wasile pia
Kwa nini unataka waTanzania wajishughulishe na kilimo pekee? Hizo kazi za 'carbon' wao haziwafai?
Halafu, angalia hii 'steriotyping' ninayo kueleza hili kundi lenu mnalo. Huo "umachinga" ndiyo kazi mnayo wapangia waTanzania?
 
Hizi taarifa siyo ngeni kwangu mkuu 'Stuxnet', kwa hiyo ninachoandika hapa ninakielewa vyema.
Acheni kabisa hii tabia ya kuwadharau waTanzania, kama mnavyofanya bila kujitambua wenyewe. Kama nyinyi ni wageni hapa, hamna sabau ya kuja kutudhalilisha nyumbani kwetu.
 
Hizi taarifa siyo ngeni kwangu mkuu 'Stuxnet', kwa hiyo ninachoandika hapa ninakielewa vyema.
Acheni kabisa hii tabia ya kuwadharau waTanzania, kama mnavyofanya bila kujitambua wenyewe. Kama nyinyi ni wageni hapa, hamna sabau ya kuja kutudhalilisha nyumbani kwetu.
Hujui kitu kuhusu carbon credit. Fanya mengine achana na hili
 
Mnakaa mumelegeza matako tu na kulalamika kwenye mitandao. Tanzania ina hekari za misitu na mapori, mnafanyia nini? Toka mwaka 1998 watu wanafanya carbon credit business lakini nyinyi hamjaingia. Anakuja kupewa UAE MNALOLOMA wakati hamna mnachofanyi kazi misitu hiyo. Hovyo Timu Kulalamika
haya inabidi ukamweleze 'Chura Kiziwi' anayekulisha na kukupeleka chooni, halafu unakuja hapa kuwadhalilisha waTanzania.
Ni kazi ya huyo huyo 'Chura Kiziwi' kuhakikisha kwamba "hatulegezi matako'. Nimekwisha kueleza hili mara kadhaa, lakini akili yako imegota, haiwezi kuelewa.
Huyo bibi yupo kwenye nafasi hiyo kuhakikisha kuwa waTanzania hawajishughulishi na huo upuuzi wa "kulegeza matako". Hiyo ni kazi yake.
Badala yake mmemgeuza na kuwa kikaragosi wenu wa kuhujumu nchi anayo iongoza.
 
Iko hivi kiongozi Kalamu, baada ya nchi zilizoendelea kukosa misitu mingi kutokana na maendeleo ya viwanda, kiasi cha hewa chafu isiyo rafiki zikiwemo carbon monoxide, dioxide na Chlorofluorocarbons carbons, CFC’s zinapelekea uharibifu wa Ozone layer ambayo inafanya kazi Kama shield/kikingo cha miale ya jua kutufikia moja kwa moja na hivyo kuwa na athari mbalimbali Kama vile kuongezeka kwa joto duniani na mabadiriko mbalimbali ya tabia nchi.

Sasa wenzetu huko duniani wakaona waje na wazo la kuzifaidisha nchi zilizo na misitu haswa ya asili na kupandwa kwa sababu miti inasaidia sana kuondoa carbon dioxide na circulation ya hewa hivyo kupunguza ozone layer depletion through emission of carbon gases. Kwaiyo inapimwa misitu yako in metric tonnes yanafanyika mahesabu then unapewa pesa ili kusaidia juhudi za uhifadhi wa misitu hiyo na kuiendeleza na kupanda misitu mingine ili Haya mabadiriko ya tabia nchi yapungue.

Sasa hapo swala la kuwauzia sijui misitu linatoka wapi? Wao wanachochea uhifadhi zaidi sababu kwenye nchi zao tayari uharibifu mkubwa umeshafanyika kutokana na maendeleo ya viwanda na matumizi makubwa ya magari ya diesel petrol. Sasa Vigezo na masharti vikizingatiwa unagundua nchi yetu ni mnufaika mkubwa wa biashara hii tayari serikali kupitia agency za uhifadhi za TFS na TAWA wameashaingia makubaliano ya awali, MoU na kampuni zinazofanya biashara ya hewa ukaa na kwa habari nilizoziona TAWA ilipata kiasi cha billion 8 kusaini MoU hiyo. Fedha hizo zinaingia serikalini na kuendeleza juhudi za kiuchumi na kadhalika
 
ko hivi kiongozi @Kalamu, baada ya nchi zilizoendelea kukosa misitu mingi kutokana na maendeleo ya viwanda, kiasi cha hewa chafu isiyo rafiki zikiwemo carbon monoxide, dioxide na Chlorofluorocarbons carbons, CFC’s zinapelekea uharibifu wa Ozone layer ambayo inafanya kazi Kama shield/kikingo cha miale ya jua kutufikia moja kwa moja na hivyo kuwa na athari mbalimbali Kama vile kuongezeka kwa joto duniani na mabadiriko mbalimbali ya tabia nchi.
Usifikiri natania. 'Carbon Credit' siyo jambo lisiloeleweka. Najuwa maana yake ni nini hasa, kwa hiyo unapoteza muda wako bure hapa kufundisha.

Ku'manage' mapori, inahitaji elimu kiasi gani kufanya kazi hiyo. Hata kama hatujui, hatuwezi kukodi 'consultant' miezi sita au mwaka hao baadhi ya "machinga" wetu wakaimudu eneo hilo.
Uwekezaji, umesema mabilioni ya shilingi, kwa kufanya kazi gani? hapana umesema wanavijiji wanapata mabilioni. Hayo mabilioni wasingeweza kuyapata bila kunadisha hayo mapori? 'Alternatively', kama taifa, Tanzania haihitaji ku'offset carbon foot print yake' hata kama ni ndogo kwa sasa, kesho na kesho kutwa hatutahitaji?
 
Usifikiri natania. 'Carbon Credit' siyo jambo lisiloeleweka. Najuwa maana yake ni nini hasa, kwa hiyo unapoteza muda wako bure hapa kufundisha.

Ku'manage' mapori, inahitaji elimu kiasi gani kufanya kazi hiyo. Hata kama hatujui, hatuwezi kukodi 'consultant' miezi sita au mwaka hao baadhi ya "machinga" wetu wakaimudu eneo hilo.
Uwekezaji, umesema mabilioni ya shilingi, kwa kufanya kazi gani? hapana umesema wanavijiji wanapata mabilioni. Hayo mabilioni wasingeweza kuyapata bila kunadisha hayo mapori? 'Alternatively', kama taifa, Tanzania haihitaji ku'offset carbon foot print yake' hata kama ni ndogo kwa sasa, kesho na kesho kutwa hatutahitaji?
kweli lakini angalao wamejali baada ya kugundua hawawezi kufunga viwanda kuepusha hiyo carbon emissions. Kila nchi yenye viwanda imepangiwa kiwango cha carbon cha kupunguza, sasa kama huyo beberu anaweza kutengeneza oxygen kwa kupanda miti Tanzania ambayo itafidia kiwango cha carbon anachopaswa kukikata, ubaya uko wapi
 
Sioni lolote nisilolijua katika post hiyo. Nime-'scheme through', sioni kitu kipya nisicho kijuwa tayari.
Kama unajuwa kila kitu, je umepanda miti mingapi nyumbani kwako?
 
Back
Top Bottom