Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu kaingizwa chaka, kaambiwa na mwenyekiti wake kuwa amuachie yeye aendelee kuwa mwenyekiti wa chama, halafu yeye (mwenyekiti atamuachia na kumuunga mkono Lisu kugombea uraisi.

Mwenyekiti katumia akili kuliko Lisu kwani anajua kuwa kushinda uenyekiti huku Lisu akiwa sio mgombea ni rahisi, kuliko kushinda uraisi huku CCM (yenye dola na tume) ikiwa na mgombea.

Mwenyekiti anajua Lisu hawezi kushinda uraisi, ila yeye anaweza kushinda uenyekiti na kuendelea kula mema ya chama kwa miaka mingine mi5 zaidi.
Shut up!
 
Lisu kaingizwa chaka, kaambiwa na mwenyekiti wake kuwa amuachie yeye aendelee kuwa mwenyekiti wa chama, halafu yeye (mwenyekiti atamuachia na kumuunga mkono Lisu kugombea uraisi.

Mwenyekiti katumia akili kuliko Lisu kwani anajua kuwa kushinda uenyekiti huku Lisu akiwa sio mgombea ni rahisi, kuliko kushinda uraisi huku CCM (yenye dola na tume) ikiwa na mgombea.

Mwenyekiti anajua Lisu hawezi kushinda uraisi, ila yeye anaweza kushinda uenyekiti na kuendelea kula mema ya chama kwa miaka mingine mi5 zaidi.
Lini Lissu alikwambia anataka uenyekiti au we ni mkewe?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kugombea Uenyekiti wa Chadema

Lisu amesema yeye na Mbowe hawana tofauti zozote ni Waandishi wa Habari wazushi tu ndio wanavumisha Uwongo huu

Baadae Mlale Unono 😀😀
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kugombea Uenyekiti wa Chadema

Lisu amesema yeye na Mbowe hawana tofauti zozote ni Waandishi wa Habari wazushi tu ndio wanavumisha Uwongo huu

Baadae Mlale Unono 😀😀
Na wewe umetoa mchango mkubwa sana katika huu uzushi. Aibu yako hii Jo.
 
Kwa kupitia Chadema au chama kingine?
 
Ni desturi ya CCM kumuachia Rais miaka mingine mitano ili atekeleze ilani. Na pia kama CCM inakosea na nyie CHADEMA ndo muige? Nyie ni CCM B?
Kwahiyo hiyo ya "kumuachia" miaka mingine mitano ni demokrasia!? Kwanini asipite kwenye chujio na watia nia wengine? Lissu ametangaza nia wala hajamzuia mwanachama mwingine kutia nia so hiyo kwangu ni demokrasia komavu zaidi ya CCM

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Lisu, Lisu karibu tena nyumbani kwako.

Tunaomba Mungu akulinde, akuimarishe, sawa kama vile alivyokutendea muujiza siku ile ambapo shetani kwa mikono ya wanadamu wafuasi wake, walitaka kukuondoa katika Ulimwengu huu.

Nihesabie mie nitakuwa mpiga kampeni wa kujitegemea asiye kwenye timu maalum, na ambaye hahitaji malipo ya aina yeyote. Huo utakuwa mchango wangu kwa Taifa langu na vizazi vijavyo, maana hakika chini ya uongozi wa Lisu, sote tutakuwa na uhakika wa maslahi ya Taifa.

Nawaomba wanachama na viongozi wote wa CHADEMA, wakati ukifika, mpitisheni huyu bwana kuwa mgombea wa nafasi ya Urais. Naye hatakuwa mgombea wa CJADEMA bali mgombea wa Taifa la Tanganyika ambalo wasiolipenda wanagawana kama nchi isiyo na mwenyewe.
 
Back
Top Bottom