Lisu kaingizwa chaka, kaambiwa na mwenyekiti wake kuwa amuachie yeye aendelee kuwa mwenyekiti wa chama, halafu yeye (mwenyekiti atamuachia na kumuunga mkono Lisu kugombea uraisi.
Mwenyekiti katumia akili kuliko Lisu kwani anajua kuwa kushinda uenyekiti huku Lisu akiwa sio mgombea ni rahisi, kuliko kushinda uraisi huku CCM (yenye dola na tume) ikiwa na mgombea.
Mwenyekiti anajua Lisu hawezi kushinda uraisi, ila yeye anaweza kushinda uenyekiti na kuendelea kula mema ya chama kwa miaka mingine mi5 zaidi.