Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shut up!Lisu kaingizwa chaka, kaambiwa na mwenyekiti wake kuwa amuachie yeye aendelee kuwa mwenyekiti wa chama, halafu yeye (mwenyekiti atamuachia na kumuunga mkono Lisu kugombea uraisi.
Mwenyekiti katumia akili kuliko Lisu kwani anajua kuwa kushinda uenyekiti huku Lisu akiwa sio mgombea ni rahisi, kuliko kushinda uraisi huku CCM (yenye dola na tume) ikiwa na mgombea.
Mwenyekiti anajua Lisu hawezi kushinda uraisi, ila yeye anaweza kushinda uenyekiti na kuendelea kula mema ya chama kwa miaka mingine mi5 zaidi.
Lini Lissu alikwambia anataka uenyekiti au we ni mkewe?Lisu kaingizwa chaka, kaambiwa na mwenyekiti wake kuwa amuachie yeye aendelee kuwa mwenyekiti wa chama, halafu yeye (mwenyekiti atamuachia na kumuunga mkono Lisu kugombea uraisi.
Mwenyekiti katumia akili kuliko Lisu kwani anajua kuwa kushinda uenyekiti huku Lisu akiwa sio mgombea ni rahisi, kuliko kushinda uraisi huku CCM (yenye dola na tume) ikiwa na mgombea.
Mwenyekiti anajua Lisu hawezi kushinda uraisi, ila yeye anaweza kushinda uenyekiti na kuendelea kula mema ya chama kwa miaka mingine mi5 zaidi.
Wasiojitambua wanaongezeka kila uchaoLini Lissu alikwambia anataka uenyekiti au we ni mkewe?
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Na wewe umetoa mchango mkubwa sana katika huu uzushi. Aibu yako hii Jo.Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kugombea Uenyekiti wa Chadema
Lisu amesema yeye na Mbowe hawana tofauti zozote ni Waandishi wa Habari wazushi tu ndio wanavumisha Uwongo huu
Baadae Mlale Unono ππ
Naunga mkono hoja.Lissu aongezewe ulinzi na Serikali ya Tanzania
Mpe za uso.Na wewe umetoa mchango mkubwa sana katika huu uzushi. Aibu yako hii Jo.
Unamfahamu ABDULAE WADE?Michael Sata aligombea mara kama 4 kabla ya kufanikiwa kuwa Raisi wa Zambia, Odinga ameanza kugombea enzi za Moi na bado hajakata tamaa
Ni desturi ya CCM kumuachia Rais miaka mingine mitano ili atekeleze ilani. Na pia kama CCM inakosea na nyie CHADEMA ndo muige? Nyie ni CCM B?Huko CCM demokrasia ndo ile ya form moja!!???
Kwahiyo hiyo ya "kumuachia" miaka mingine mitano ni demokrasia!? Kwanini asipite kwenye chujio na watia nia wengine? Lissu ametangaza nia wala hajamzuia mwanachama mwingine kutia nia so hiyo kwangu ni demokrasia komavu zaidi ya CCMNi desturi ya CCM kumuachia Rais miaka mingine mitano ili atekeleze ilani. Na pia kama CCM inakosea na nyie CHADEMA ndo muige? Nyie ni CCM B?
Usimwamini Mwanasiasa πNa wewe umetoa mchango mkubwa sana katika huu uzushi. Aibu yako hii Jo.
Weka Akiba ya Maneno πMpe za uso.
Umezidi umbea blaza hiyo waachie kina Juma LokoleUsimwamini Mwanasiasa π
Hata mchungaji Msigwa alisema ataendelea kuwatumikia Wanachama wa Chadema ππUmezidi umbea blaza hiyo waachie kina Juma Lokole