kwa hiyo unataka kumwona mkewe ndiyo uwe na furaha siyo?Unaelewa maana ya kukimbia nchi? Familia yake ipo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo unataka kumwona mkewe ndiyo uwe na furaha siyo?Unaelewa maana ya kukimbia nchi? Familia yake ipo wapi?
Kweli Mkuu, mwenyewe pia nilishakuwa addicted!Nguli wa habari atastaafuje JF na news zake. Binafsi siwezi pitisha siku sijaingia JF hata kusoma tu post muhimu.
Sasa tuanze kusikia hoja zenye mashiko
Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?
Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Mkuu Pascal ukifanikiwa Kufanya naye Interview mwambie CHADEMA wakiwa majukwaani licha ya kupigania KATIBA MPYA pia watuelimishe na hii kitu ya CAGAfadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P