Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Yeye si alisema ushoga ni mambo ya faragha, tuache tusiingilie?Nilijua tuu utakimbilia kwenye hiki kichaka chenu hahaaaaa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye si alisema ushoga ni mambo ya faragha, tuache tusiingilie?Nilijua tuu utakimbilia kwenye hiki kichaka chenu hahaaaaa....
Lissu yupo sahihi
Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?
Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Sawa naendelea vizuri na kazi ya kuwasifia CCM ambayo sasa tunasaidiwa na washarika wetu mbalimbali.Akili alizonazo Lisu ni kubwa mno. Wewe endelea kuwasifia ccm, CHAMA ambacho kinawaumiza na kuwatesa wananchi
Mkuu mbona nilisha kuignore kwanini unaniquote tena ?Hizi kanyelamumo sababu ya ule uchafu wa chooni?
Ameshiba, mpaka shati linambana
Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?
Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Hata Mimi nashangaa, kwani pameshasafishwa?Mkuu mbona nilisha kuignore kwanini unaniquote tena ?
Unaelewa maana ya kukimbia nchi? Familia yake ipo wapi?ile mijamaa iliyosema kakimbia nchi kwa mara nyingine sasa ije hapa itueleze.
jipya unalo weweHana tena jipya
Jitahidi ufanye hivyo mkuu , wewe ni miongoni mwa waandishi Bora kabisa hapa Jf unayejihami na Kwa nchi yetu unastahili pongeziAfadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Lissu atabaki kuwa lissu, ndiye sauti ya wanyonge iliyobaki.
Jibu hoja wewe acha kumshambulia mtu, hizi ni dalili za mtu mwenye stress za maishaHuyu paschal mayala ameshapigwa njaa kama dr. Slaa.Jifunzeni hata kulima acheni kungojea teuzi
Kwani wewe ni Lisu?Wapi...
Pesa ya waliomchangia matibabu. Serikali imerudisha lkn yeye anasema harudishiwi mtu pesa kwani hakuna aliyemkopesha, mchana kweupee!Wapi...
HahahaRukhsa kuita watu majina yoyote. Be happy, barikiwa.
P
Uchaguzi mkuu wa 2020 uligubikwa na hujuma kutoka CHAMA Cha ccm, mtajibu mbele ya MOLA.Sawa naendelea vizuri na kazi ya kuwasifia CCM ambayo sasa tunasaidiwa na washarika wetu mbalimbali.
P
Mkuu si ulishatuaga wana Jf kwamba unastaafu?Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Keep it up my legend Journalist. Tunahitaji madini ya Lissu kwenye hii taarifa ya CAG iliyojaa maduduNo Sucker mkali sana, mimi nitamhoji kama Tim Sebastian, Jonathan Man or Larry King
P
Nguli wa habari atastaafuje JF na news zake. Binafsi siwezi pitisha siku sijaingia JF hata kusoma tu post muhimu.Mkuu si ulishatuaga wana Jf kwamba unastaafu?
Au umerudi tena?