Mkumbushe maneno ya Marehemu Asha Bakari: "mwanangu jussa na mwanangu tundulissu wanacheza mchezo wasoujua". Zanzibar kutakuwa na majimbo mangapi? Wenzie hawataki kujua hayo mradi CHADEMA wajitawale kikabila.Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P