Tundu Lissu arejea Nchini asema ripoti ya CAG ufisadi ni uleule, mambo ni yaleyale

Tundu Lissu arejea Nchini asema ripoti ya CAG ufisadi ni uleule, mambo ni yaleyale

Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Mkumbushe maneno ya Marehemu Asha Bakari: "mwanangu jussa na mwanangu tundulissu wanacheza mchezo wasoujua". Zanzibar kutakuwa na majimbo mangapi? Wenzie hawataki kujua hayo mradi CHADEMA wajitawale kikabila.
 
Hana tena jipya
Huu uzi wako unaukumbuka kabla Mods hawajabidi hicho kichwa cha habari!!??
Unakumbuka uliweka kuchwa gani cha habari!!??
 
Huu uzi wako unaukumbuka kabla Mods hawajabidi hicho kichwa cha habari!!??
Unakumbuka uliweka kuchwa gani cha habari!!??
tapatalk_1570946898001.jpg

Mboga ya ccm hiyo
 
No Sucker mkali sana, mimi nitamhoji kama Jonathan Man or Larry King
P
Kuna Inteview niliona Lema alifanya kipindi kinaitwa ''The big agenda'' cha Mwananchi. Nilisikitika sana. Bwana Mayalla hivi jamaa kama huyu aliyekuwa anamhoji na yeye yuko kwenye kundi la waandishi wa habari? Kwanza mwandishi mwenyewe anaonekana kama chinga aliyeokotwa Kidongochekundu au mpiga debe fulani hivi. Maswali anayouliza nayo hovyo kweli kweli.
 

Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?

Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Kiukweli mifumo ya nchi hii ni ya hovyo na ni aibu kubwa sn
 
Kuna Inteview niliona Lema alifanya kipindi kinaitwa ''The big agenda'' cha Mwananchi. Nilisikitika sana. Bwana Mayalla hivi jamaa kama huyu aliyekuwa anamhoji na yeye yuko kwenye kundi la waandishi wa habari? Kwanza mwandishi mwenyewe anaonekana kama chinga aliyeokotwa Kidongochekundu au mpiga debe fulani hivi. Maswali anayouliza nayo hovyo kweli kweli.

Tuache nongo jamaa kipindi anakitendea haki sn na siyo uongo
 

Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?

Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Tundu Lissu amekosa mvuto sana, Alipoulizwa kwamba sasa amerudi au ataondoka tena wiki ijayo kwa vile anadai eti huitwa mara kwa mara na madaktari hakuwa na jibu lolote amekimbia swali na kubabaisha lakini suala la CAG kalirukia faster,

Huyu jamaa amekwisha kisiasa hawezi tena kuishi Tz hata kwa dakika 1 kuwatetea Watanzania, ni wazi maisha yake sasa rasmi ni Belgium, huwez kufanya siasa Tanzania wakati kiongozi mkuu unaishi ulaya maisha yako alitakiwa awe wazi sio unafiki.,

Chadema imepuruchuka sana na kukatika vipande vipande mbowe hatoki Ikulu Lissu ndio hivyo wanachama wa Chadema sasa wanaishi kwa matumaini tu, Tanzania sijui wanafeli wapi kwenye kuanzisha upinzani ulio na nguvu, kwa mtindo huu ccm wanazidi kujichimbia hakuna namna ya kuwatoa madarakani

Uganda kuna upinzani wa maana sana japo wanapambana na dikteta lakini unaona sympathy ya viongozi wao wa upinzani na uvimilivu walio nao, hata maalim seif alikuwa strong zaidi, Kenya pia ni Tanzania tu vijihela kidogo mtu ata awe na status gani unamuona anapwaya sana, inasikitisha sana
 
Huu uzi wako unaukumbuka kabla Mods hawajabidi hicho kichwa cha habari!!??
Unakumbuka uliweka kuchwa gani cha habari!!??
Unatakaje?
 
Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Pascal,utakuwa umefanya jambo jema sana kama kweli utahojiana na huyu Mwamba.Wenye Akili zao wote wanamkubali Lissu kama Big Brain for our Country.
Mungu anazo njia zake za kutuonyesha ishara.
 
Back
Top Bottom